YANGA HAINA HOFU NA MANUNGU

HASSAN Bumbuli, Ofisa Habari wa Yanga,amesema kuwa Uwanja wa Manungu ambao unatarajiwa kutumika leo kwamchezo wao wa ligi dhidi ya Mtibwa Sugar kwao sio tatizo. Yanga ambao ni vinara wa ligi wakiwa na pointi 36, wanatarajia kukutana na Mtibwa Sugar iliyokusanya pointi 12 na zote zimecheza mechi 14.   Akizungumza na Championi Jumatano, Bumbuli alisema kila mechi wanazocheza kwao ni muhimu bila kujali wanacheza wapi kwa…

Read More

SIMBA NA YANGA ZASHINDANA KUCHANGA MKWANJA

WATANI wa jadi Yanga na Simba kupitia Azam TV wamefungua kampeni ya NANI ZAIDI ambayo itakuwa inawahusisha mashababiki wa timu hizo mbili ambao watakuwa wanashindana kuchangia pesa kwenye timu zao. Watachangia pesa hizo kupitia mitandao ya simu ikiwa ni Tigo, Airtel na Vodacom kisha baadaye mshindi atachaguliwa na kutangazwa. Mtendaji Mkuu wa Simba,(CEO), Barbra Gonzalez…

Read More

MATAIFA YALIYOIPELEKA YANGA KIMATAIFA

MATAIFA matatu yalifanya kazi kubwa kuipaisha Yanga kimataifa na kuipeleka kwenye hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika. Ni kupitia bao pekee la ushindi la Aziz Ki raia wa Burkina Faso ambaye alifunga bao hilo dakika ya 79 akitumia pasi ya Fiston Mayele raia wa DR Congo. Ikumbukwe kuwa kabla ya bao kupatikana lilipita kwenye…

Read More

RASTA WA MTIBWA SUGAR ATUA DODOMA JIJI

KAZI bado inaendelea kwa walima Zabibu, Dodoma Jiji baada ya leo Julai 23,2022 kumtambulisha winga mshambuliaji, Salum Kihimbwa rasta kutoka Mtibwa Sugar. Nyota huyo anatajwa kupewa dili la mwaka mmoja ni miongoni mwa mastaa ambao walikuwa ndani ya Mtibwa Sugar msimu wa 2021/22 na wakatimiza lengo la timu hiyo kubaki ndani ya Ligi Kuu Bara…

Read More

EUROPA ya Leo una nafasi ya kutusua mkwanja leo

EUROPA imefika mapema tuuh na wewe mteja wa meridianbet una nafasi ya kutusua mkwanja leo hii endapo utabashiri kwa usahihi mechi zako zote huku kukiwa na machaguo zaidi ya 1000. Michezo ya Kasino pia ipo cheza sasa. West Ham United atamleta nyumbani kwake Bayer Leverkusen ambaye ndiye bingwa wa Bundesliga ambalo alilichukua wiki iliyopita. Mechi…

Read More

HERI YA MWAKA MPYA 2024

JANUARI Mosi,2024 Neema ya Mungu imetuzunguka na kutufanya tuwe hapa kwa wakati mwingine katika hili tunapaswa kusema asante. Hakika ni wakati mwingine mzuri kwa ajili ya kuanza kupambania malengo ambayo yalianza kuandikwa tangu wakati ule unapambania yale unayohitaji. Kwenye ulimwengu wa mpira kila timu imefunga kwa mpango wake katika mechi za funga mwaka na wengine wana kazi…

Read More

GHANA WAONDOLEWA AFCON

TIMU ya Taifa ya Ghana imeondolewa rasmi kwenye mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika AFCON 2021 na timu ya taifa ya Comoros katika mchezo wa mwisho wa Kundi C kwa kipigo cha mabao 3-2 katika mchezo uliopigwa Jumanne Januari 18. Ghana ni washindi wa Kombe la Afcon mara nne wametolewa na timu ambayo ni…

Read More

UBAYA UBWELA UWANJA WA MKAPA KITAUMANA

UBAYA ubwela itakuwa Uwanja wa Mkapa kwa kucheza mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya APR kutoka Rwanda kitaumana kwa wababe hao ndani ya uwanja kusaka ushindi na utambulisho wa wachezaji wapya na wale waliokuwa na kikosi hicho kwa msimu wa 2023/24. Katika usajili Simba haijatikisa kwenye anga la Bongo kutokana na kuwa na wachezaji…

Read More

PUMZIKA KWA AMANI DAMIANO KOLA MZAZI WA RODGERS WA AZAM

JANA Juni 12,2022 ilikuwa ni safari ya mwisho duniani ya baba mzazi wa mashambuliaji wa Azam FC, Rodgers Kola aitwaye Damiano Kola Senior. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu, mahala pema peponi. Amen. Taarifa ya kutangulia kwa haki kwa mzazi huyo wa Kola ilitolewa na Azam FC Juni 10,2022. Msimu huu mshambuliaji huyo amekuwa kwenye ubora wake…

Read More

LAUTARO AVUNJA MWIKO WA LIVERPOOL

LAUTARO Martinez nyota wa kikosi cha Inter Milan alivunja rekodi ya Klabu ya Liverpool kutopoteza mchezo wa ushindani katika mechi zake za Uwanja wa Anfield baada ya kuwatungua bao dakika ya 61. Ni katika mchezo wa UEFA Champions League uliochezwa Uwanja wa Anfield ambao ulikuwa ni wa raundi ya 16 ukiwa ni mchezo wa pili….

Read More

BARCELONA YAWAPIGA CHUMA NNE BAYERN MUNICH

Raphinha amefunga hat-trick huku Robert Lewandowski akifunga bao lake la 97 kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya wakati Bayern Munich ikipokea kichapo cha 4-1 dhidi ya Barcelona katika dimba la Olímpic Lluís Companys. FT: Barcelona 🇪🇸 4-1🇩🇪 Bayern Munich ⚽ 1’ Raphinha ⚽ 36’ Lewandowski ⚽ 45’ Raphinha ⚽ 18’ Kane ⚽ 56’ Raphinha 𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐓𝐈𝐌𝐄:…

Read More

ISHU YA GAMONDI NA THANK YOU UPEPO UPO HIVI

WAKATI kukiwa na fukuto kwamba huenda Miguel Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga atakutana na mkono wa Thank You, kocha huyo bado yupoyupo kwa kuwa ameanza kuwanoa wachezaji wa timu hiyo kuelekea mechi za Ligi ya Mabingwa Afrika. Yanga imetinga hatua ya makundi ambapo inatarajiwa kupeperusha bendera ya Tanzania kwenye anga hilo na itakuwa na kazi…

Read More