UKUTA WA SIMBA NGOMA NI NZITO

BAADA ya kucheza mechi 18 za Ligi Kuu Bara na kuruhusu mabao 18 benchi la ufundi la Simba limebainisha kuwa watafanyia kazi makosa yanayotokea kwenye mechi zao katika uwanja wa mazoezi. Ngoma ni nzito kwa ukuta wa Simba katika kutoruhusu mabao ya kufungwa kwenye mechi za ligi ambapo kwenye mechi tatu mfululizo imeshuhudia ikifungwa jumla…

Read More

YANGA 1-0 GEITA GOLD, AZAM COMPLEX

FT:Ligi Kuu Bara Azam Complex Yanga 1-0 Geita Gold Goal Aziz KI dakika ya 28 Bao moja ambalo amefunga linamfanya afikishe mabao 13 ndani ya Ligi Kuu Bara Aziz KI baada ya kufunga bao moja kwenye mchezo dhidi ya Geita Gold. Yanga ambao ni vinara wa ligi wamefikisha pointi 52 kwenye msimamo mchezo ujao ni…

Read More

SIMBA: LIGI INAKWENDA MWISHO KILA TIMU INAPAMBANA

SELEMAN Matola, kocha msaidizi wa Simba ameweka wazi kuwa ligi inakwenda ukingoni jambo ambalo linaongeza nguvu kwa kila timu kupambana kupata matokeo. Timu hiyo kwenye mechi tatu zilizopita ilipata ushindi katika mechi mbili na kupoteza mchezo mmoja dhidi ya Tanzania Prisons, Uwanja wa Jamhuri. Machi 15 2024 watakuwa na kibarua cha kusaka pointi tatu kwenye…

Read More

GAMONDI:SIFANYI KAZI YA UBASHIRI, TUNA TAKWIMU NZURI

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema wanatambua mchezo dhidi ya Geita Gold hautakuwa mwepesi licha ya kuwa na mwendo mzuri katika mechi zilizopita. Kocha huyo amebainisha kwamba hawezi kusema kwamba watafunga mabao mengi kwenye mchezo dhidi ya Geita Gold kwa kuwa yeye hafanyi kazi ya ubashiri. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex…

Read More

EUROPA Yaja na Mkwanja Mrefu Meridianbet

Leo wakubwa wote wapo dimbani kusaka tiketi ya kwenda hatua  ya Robo Fainali ya michuano ya EUROPA. Suka mkeka wako sasa na uweze kujiweka kwenye nafasi ya kuwa milionea leo hii. SL Benfica kutoka Ureno baada ya kulazimishwa sare mechi iliyopita akiwa nyumbani, leo hii atakuwa ugenini kusaka ushindi dhidi ya Glasgow Rangers katika dimba…

Read More

KOCHA GEITA GOLD: TUNATAMBUA UBORA WA YANGA ULIPO

AMEWEKA wazi kocha wa Geita Gold kwamba wanatambua ubora wa wapinzani wao ulipojambo linalowafanya waingie kwa tahadhari kwenye mchezo wa ligi. Katika mchezo wa mzunguko wa kwanza Geita Gold ilipoteza pointi tatu muhimu kwa kufungwa maba 3-0 inatarajiwa kuwa kwenye mwendo wa kisasi kusaka ushindi uwanjani. Denis Kitambi, Kocha Mkuu wa Geita Gold amebainisha kuwa…

Read More

TIMU ZILIZOFUZU ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA

Hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya imekamilika huku wababe 8 wa Ulaya wakitinga robo fainali. Atletico Madrid na Borussia Dortmund zimeungana na Real Madrid, Manchester City, Barcelona, Arsenal, Bayern Munich na PSG kwenye hatua hiyo kufuatia ushindi usiku wa kuamkia leo. Atletico Madrid imefikia hatua hiyo baada ya ushindi wa penalti 3-2…

Read More

ANAYEFUATA KUKUTANA NA YANGA KUKUTANA NA KITU KIZITO

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kasi ambayo wanaendelea nayo ndani ya Ligi Kuu Bara mpinzani wao anayefuata atakutana na kitu kizito kutokana na mipango waliyonayo. Ikumbukwe kwamba Yanga ni vinara wa ligi wakiwa na pointi 49 kibindoni baada ya kucheza mechi 18Machi 14 inatarajiwa kusaka pointi tatu dhidi ya Geita Gold,Uwanja wa Azam Complex

Read More

MUDA ASEPA NA TUZO YAKE FEBRUARI

KIUNGO wa Yanga ambaye mtindo wake wa ushangiliaji kila anapofunga ni kuonekana kama anaongea na simu amechaguliwa kuwa mchezaji bora ndani ya kikosi cha Yanga kwa Februari. Ni Mudathir Yahya ambaye katupia jumla ya mabao 8 ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24 amekuwa chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Miguel Gamondi kwenye mechi…

Read More

LIGI YA MABINGWA ULAYA SIO MCHEZO USIKU WA LEO

Ligi ya mabingwa ulaya usiku wa leo itapigwa michezo mikali sana mzunguko wa pili hatua ya 16 bora, Ambapo michezo hii itatamua hatma ya wa timu hizi katika safari yao ya kuitafuta hatua ya robo fainali. Michezo hii mikali itapigwa katika viwnaja viwili ambapo mchezo wa kwanza kati ya Borussia Dortmund dhidi ya PSV Eindhoven…

Read More