KIUNGO YANGA AINGIA ANGA ZA SINGIDA BIG STARS

BAADA ya mabosi wa Yanga kumpa mkono wa kwa kheri nyota wao Deus Kaseke Julai 14 inaelezwa kuwa nyota huyo yupo kwenye mazungumzo na Singida Big Stars ili aweze kuwa ndani ya timu hiyo kwa msimu ujao wa 2022/23.  Taarifa rasmi iliyotolewa na Yanga iliweka wazi kwamba; “Umekuwa sehemu kubwa ya mchango wa mafanikio kwenye…

Read More

KIPA CAMARA KUKUTANA NA THANK YOU SIMBA SC

MOUSA Camara kipa namba moja wa Simba SC anatajwa kuwa kwenye hesabu za kukutana na Thank You ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu,Fadlu Davids. Camara ni chaguo la kwanza ndani ya Simba SC ambayo ipo kwenye maandalizi kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KenGold unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi,…

Read More

YANGA WAKOMBA POINTI ZA SINGIDA FOUNTAIN GATE

YANGA imekomba pointi tatu mazima mbele ya Singida Fountain Gate kwenye mchezo wa ligi uliokuwa na ushindani mkubwa hasa kipindi cha pili. Ni mchezo wa ligi ikiwa ni mzunguko wa 7 kwa msimu wa 2023/24. Chuma cha kwanza ilikuwa dakika ya 30 na kile cha pili dakika ya 38 yalidumu mpaka mwisho wa mchezo huo….

Read More

FEI TOTO ANA BALAA HUYO

NYOTA Feisal Salum (Fei Toto) ana balaa huyo ndani ya uwanja kwa kuwa namba moja kwenye utupiaji wa mabao ndani ya Azam FC. Ndani ya Ligi Kuu Bara katupia mabao manne ambapo ni mchezaji wa kwanza kufunga hat trick ndani ya ligi alipofunga kwenye mchezo wa kwanza Uwanja wa Azam Complex. Alianza kucheka na nyavu…

Read More

EPL, SERIE A, BUNDESLIGA NA LA LIGA KUENDELEA WIKIENDI HII

Baadhi ya mataifa yameshajihakikishia kucheza Kombe la Dunia mwakani. Wengine, wataendelea kujitafuta mwezi Machi mwakani. Ligi Soka barani Ulaya kuendelea wikiendi hii, karata ya ushindi inapatikana Meridianbet! Mkeka wako wikiendi hii, upambe kwa namna hii; Augsburg kuwaalika Bayern Munich katika muendelezo wa Bundesliga Ijumaa hii. Huu ni mchezo ambao unazalisha magoli ya kutosha. Lolote linaweza…

Read More

MWAKINYO ATUMA SALAMU KWA TWAHA

BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Hassan Mwakinyo amefanikiwa kushinda mkanda wa ubingwa wa WBO Afrika kwa kumchapa Mghana, Elvis Ahorga kwa KO ya raundi ya sana katika pambano la raundi kumi kwenye uzani wa super middle ambalo limepigwa New Amaan Complex, Zanzibar. Mwakinyo ameshinda pambano hilo huku akiweka rekodi za kushinda mkanda wa ubingwa…

Read More

SIMBA 2-0 YANGA

MCHEZO wa Ligi Kuu Bara, Uwanja wa Mkapa ni Kariakoo Dabi Ubao unasoma Simba 2-0 Yanga, goal limepachikwa na  Henock Inonga dakika ya kwanza na lile la pili Kibu Dennis kapachika dakika ya 33. Mwamuzi wa kati ni Jonesia Rukya ambaye anafanya kazi ya kutafsri sheria 17 za mpira na mashabiki wamejitokeza kwa wingi.

Read More

VIDEO:MWALIMU YANGA AMCHAMBUA MAXI

MWALIMU Yanga amemchambua nyota mpya wa Yanga Maxi ambaye ameonekana kuwa nyota wa mchezo dhidi ya Kaizer Chiefs. Katika kilele cha SportPesa Wiki ya Mwananchi Julai 22 Maxi aliupiga mwingi ndani ya dakika 45 na ubao ukasoma Yanga 1-0 Kaizer Chiefs ukiwa ni mchezo wa kimataifa wa kirafiki.

Read More

PITSO:YANGA INAHITAJI MUDA KUWA IMARA

KOCHA mwenye uzoefu mkubwa Afrika raia wa Afrika Kusini ambaye aliweza kubwaga manyanga ndani ya Klabu ya Al Ahly ya Misri,Pitso Mosimane amesema kuwa Klabu ya Yanga ina wachezaji bora lakini wanahitaji muda kuwa imara. Pitso alikuwepo kwenye Tamasha la Wiki ya Mwananchi,Agosti 6,2022 alishuhudia Uwanja wa Mkapa ubao ukisoma Yanga 0-2 Vipers kwenye mchezo…

Read More

YANGA:TUNASHUSHA BEKI WA KAZI NA MSHAMBULIAJI

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kwenye dirisha dogo la usajili wanashusha wachezaji wawili wa kazi kwa ajili ya timu hiyo kuboresha kikosi chao. Ni Nasreddine Nabi anakinoa kikosi hicho ambacho kinaongoza ligi kikiwa na pointi 50 kibindoni na mtupiaji wao namba moja ni Fiston Mayele mwenye maao 14. Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga…

Read More

MCHEZO MPYA WA KASINO KUTOKA EXPANSE STUDIOS HUU HAPA

Expanse Studios ina mchezo mpya wa kasino mtandaoni utakaoupenda! Unaitwa Super Heli! Mbingu ni kikomo lakini ushindi hauna kikomo ukiwa na Meridianbet, na Expanse Studios imezidi mipaka yote ya furaha na msisimko kwa mchezo huu. Je nini kinapatikana kwenye kasino mtandaoni hii ya Super Heli ambayo unaweza kukushawishi kuucheza bila kujutia. Super Heli Kasino Mtandaoni…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA SC DHIDI YA YANGA SC

SIMBA SC imefika Uwanja wa Mkapa kwa Kariakoo Dabi dhidi ya Yanga SC na kikosi kimeanza namna hii:- Moussa Camara, Shomari Kapombe, Mohamed Hussen Zimbwe Jr, Chamou Karaboue, Che Malone, Kagoma, Ellie Mpanzu, Fabrince Ngoma, Steven Mukwala, Jean Ahoua na Joshua Mutale Wachezaji wa akiba ni Ally Salim, Nouma, Hamza, Okejepha, Kibu, Mavambo, Ateba, Awesu,…

Read More