WASHINDI WA BONUS WA JACKPOT YA SPORTPESA HAWA HAPA

ZAWADI zimeendelea kutolewa kwa washindi wa Jacpot bonus ya SportPesa wiki ambapo washindi wawili wametangazwa kusepa na mamilioni hayo baada ya kubashiri vizuri. Ni Mjuane Ally Mkumba mkazi wa Dar pamoja na Josep Mustaoha Joseph naye pia kutoka Dar. Mshindi wa Jackpot bonus Joseph Mustaoha Joseph  kutoka Tegeta, Dar es Salaam akishikilia mfano wa hundi…

Read More

YANGA 0-0 RIVERS UNITED, (YANGA 2-0 RIVERS)

UBAO wa Uwanja wa Mkapa unasoma Yanga 0-0 Rivers United ikiwa ni mapumziko kwa sasa. Huu ni mchezo wa pili wa hatua ya robo fainali ambapo wawakilishi wa Tanzania wanapeperusha bendera. Kwenye kipindi cha kwanza dakika ya 24 mchezo ulisimama kwa muda kutokana na tatizo la mwanga katika eneo la kuchezea kuwa hafifu na walipolishughulikia…

Read More

WATANI WA JADI VITANI KUSAKA POINTI TATU

LIGI ya Wanawake Tanzania inaendelea ambapo watani wa jadi wote Simba Queens na Yanga Princess mechi zao za ufunguzi walipasuka. Kesho Desemba 22 unatarajiwa kuchezwa mchezo wa watani wa jadi wenye rekodi zinazofanana. Simba Queens wao walinyooshwa mabao 2-1 dhidi ya JKT Queens huku Yanga Princess wao wakinyooshwa bao 1-0 dhidi ya Fountain Gate Princess…

Read More

SIMBA YATAMBIA USHINDI MBELE YA AZAM FC

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa umefurahia ushindi wao katika mchezo wa Mzizima Dabi uliochezwa Uwanja wa New Amaan Complex kwa kukomba pointi tatu muhimu kwenye mchezo huo. Ni Septemba 26 2024 mchezo huo ulichezwa baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa New Amaan Complex ulisoma Azam FC 0-2 Simba mabao yakifungwa na Leonel…

Read More

MOROCCO KUKUTANA NA MOROCCO, KIVUMBI CHAN 2024

TIMU ya Taifa ya Tanzania inayofundishwa na Kocha Mkuu, Hemed Suleman maarufu kwa jina la Morocco itacheza na timu ya taifa ya Morocco kwenye mchezo wa robo fainali CHAN 2024 Uwanja wa Mkapa. Tanzania inaongoza kundi B ikiwa na pointi 10 baada ya mechi nne ambapo katika mechi hizo ilipata ushindi mechi tatu na kugawana…

Read More

TWIGA STARS KAZINI LEO, HAKUNA KIINGILIO

KOCHA Mkuu wa Timu ya Taifa ya wanawake ya Tanzania, Twiga Stars, Bakari Shime amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo dhidi ya timu ya Afrika Kusini. Shime ameweka wazi kuwa muda wa maandalizi waliopata walitumia kufanyia kazi makosa na kupeana mbinu ambazo zitakuwa kielelezo kwenye mchezo ndani ya dakika 90. Mchezo huo unatarajiwa…

Read More

KARIAKOO DABI IWE YENYE NIDHAMU NA UBORA

KARIAKOO Dabi ipo karibu ambapo kila timu kwa sasa inafanya maandalizi kupata matokeo mazuri. Kikubwa ambacho kinatakiwa ni umakini kwenye kila hatua. Maandalizi mazuri kwa kila timu kwa sasa ni jambo ambalo linahitajika ili kupata matokeo mazuri. Mashabiki wanapenda kuona timu yao inashinda hilo lipo wazi. Si wao tu hata wachezaji furaha yao ni kupata…

Read More

MAPUMZIKO: PRISONS 0-0 SIMBA, UWANJA WA SOKOINE

UWANJA wa Sokoine dakika 45 zimekamilika kwa timu zote kukamilisha bila kupata bao la uongoza. Ubao unasoma Tanzania Prisons 0-0 Simba huku kila timu zikitengeneza mashambulizi kwa kushtukiza. Ni Ezekiel Mwashilindi ni mwiba kwa Simba kutokana na kutibua mipango huku beki Henock Inonga akiwa na kazi ya kuongoza safu ya ulinzi akishirikiana na Kenned Juma….

Read More