GAMONDI ATAJA TATIZO LA YANGA LILIPO

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa tatizo kubwa ambalo lilikuwa kwenye mchezo wao wa kwanza ndani ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar ni kushindwa kutumia nafasi ambazo walizipata ndani ya uwanja. Ni Agosti 29 2024 ilikuwa Uwanja wa Kaitaba baada ya dakika 90 ulisoma Kagera Sugar 0-2 Yanga na mabao…

Read More

PIRA PAPATUPATU LAKOMBA POINTI UGENINI

KUTOKANA na mashabiki wa Simba kueleza kuwa mpira unaochezwa kwa sasa chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira ni mwendo wa papatupapatu, hivyo zimejibu na kupata ushindi ugenini. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Liti umesoma Singida Fountain Gate 1-2 Simba. Bao la Saido Ntibanzokoza dakika ya 26 lilikuwa la mipango na bao la…

Read More

LIVERPOOL MABINGWA MBELE YA CHELSEA FA

LIVERPOOL inayonolewa na Kocha Mkuu, Jurgen Klopp imeweza kushinda taji la FA kwenye mchezo uliokuwa na mvutano mkubwa mwanzo mwisho. Ubao wa Uwanja wa Wembley baada ya dk  90 kukamilika ulisoma 0-0, zikaongezwa 30 ambazo nazo zilimalizika kwa matiokeo hayohayo. Liverpool wamelinyakua kombe hilo ikiwa ni mara ya pili mfululizo baada ya kulinyakua tena katika…

Read More

BREAKING:SIMBA YATAMBULISHA MCHEZAJI MPYA

HABIB Kyombo nyota aliyekuwa anakipiga ndani ya Klabu ya Mbeya Kwanza leo Julai 9 ametambulishwa ndani ya kikosi cha Simba. Nyota huyu anakuwa ni mzawa wa kwanza kuweza kutambulishwa ndani ya kikosi hicho ambacho msimu wa 2021/22 ulikuwa ni mbaya kwao kwa kukosa kila kitu walichokuwa wanapambania. Kombe la Shirikisho, Ngao ya Jamii na lile…

Read More

ANAKUWA MCHEZAJI WA KWANZA KUTAMBULISHWA UNYAMANI

INAELEZWA kuwa Simba ipo kwenye mpango mkubwa wa kufanyia maboresho kikosi hicho ambapo inakwenda kuongeza viungo na washambuliaji.Miongoni mwa nyota ambaye anatajwa kupewa dili la miaka mitatu ni kutoka viunga vya Mtibwa Sugar Chasambi. Ikiwa dili lake litakamilika atakuwa mchezaji wa kwanza kutambulishwa unyamani.

Read More

FELIX MINZIRO APEWA MKONO WA ASANTE

RASMI Tanzania Prisons imeachana na aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo, Freddy Felix Kataraiya Minziro kufuatia matokeo yasiyoridhisha na sasa Maafande hao watabaki chini ya msaidizi, Shaban Mtupa. Minziro alijiunga na Wajelajela hao mapema msimu huu ambapo ameiongoza mechi tisa za mashindano ya Ligi Kuu akishinda mechi moja, sare nne na kupoteza minne na kuwa…

Read More

USAJILI SIMBA WAVUJA

KOCHA Mkuu wa Simba, Mbrazili, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amesema jumla ya wachezaji watatu tayari usajili wao umekamilika na kilichobaki ni kuwatambulisha. Timu hiyo imeshuhudia ubingwa ukienda Yanga iliyokamilisha msimu ikiwa namba moja na pointi 78. Yanga ipo kwenye mchakato . Wachezaji wanaotajwa kumalizana na Simba hadi hivi sasa kwa kuwapa mikataba ya miaka miwili ni…

Read More

KISIKI YAKWAA BARCELONA KUMNASA KIUNGO CITY

 PEP Guardiola, Kocha Mkuu wa Manchester City amebainisha kuwa kiungo Bernardo Silva hatajiunga na Barcelona kwa sababu mpaka sasa hakuna mbadala wake. Kocha huyo amebainisha kuwa mchezaji huyo ni kiungo wa kipekee ndani ya timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu England hivyo timu hiyo inakutana na kisiki kupata saini ya mwamba Silva. Nyota Silva alikuwa kwenye…

Read More

TRY AGAIN USO KWA USO NA RAIS FIFA

RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), Gianni Infantino akiwa na Mwenyekiti wa Bodi, Salim Muhene baada ya kushiriki moja ya vipindi vinavyoendelea kwenye kozi ya Diploma katika Uongozi wa Klabu inayotolewa na FIFA (Diploma in Club Management). Kozi hiyo inafanyika mjini Tangier, Morocco. Try Again ni mmoja wa wajumbe watatu kutoka Afrika…

Read More

TAIFA STARS YAFUNGASHIWA VIRAGO CHAN

MWENDO wa kuwania kufuzu CHAN kwa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars umegotea Uganda baada ya kufungwa mabao 3-0 na kufanya itolewe kwa jumla ya mabao 4-0. Mchezo wa leo Stars ilikuwa na mzigo wa kusaka mabao zaidi ya mawili na kupambana kujilinda wasifungwe jambo ambao liliweza kudumu katika dakika 14 za mwanzo pekee….

Read More

MANCHESTER UNITED YAMEWAKUTA TENA

MANCHESTER United mkeka umechanika tena baada ya kupoteza dhidi ya Manchester City kwenye Dabi mbele ya Newcastle United wamepoteza tena. Mwendo wa timu hiyo kwa sasa haupendezi ambapo mabosi wanatajwa kufikiria kuachana na Kocha Mkuu, Ten Hag ambaye alikuwa anapewa nafasi ya kufanya makubwa ndani ya kikosi hicho. Uwanja wa Old Trafford umesoma Manchester United…

Read More