
MABINGWA WATETEZI MOROCCO WAJIONDOA KWENYE CHAN HUKU KUKIWA NA MVUTANO NA ALGERIA
Morocco imejiondoa katika kutetea taji lao la Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) mwezi huu baada ya kukataliwa kusafiri moja kwa moja hadi taifa mwenyeji Algeria. Uhusiano wa kidiplomasia kati ya majirani hao wa kaskazini mwa Afrika ulikatishwa na Algeria mnamo 2021, na kwa hatua hiyo, safari zote za ndege za moja kwa moja kati…