FEISAL:SUTI YANGU MBONA IPO FRESH,MWAKALEBELA ATAJWA

KIUNGO wa Yanga, fundi wa mipira migumu inayowashinda makipa Bongo akiwa nje ya 18, mzawa Feisal Salum amesema kuwa suti yake aliyotupia ni kali huku watu wakizusha kwamba ameazima kwa Mwakalebela, (Fredrick). Heshima kubwa ilikuwa kutoka kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ambaye ni mwanafamilia, mzalendo anayependa michezo alikuwepo kwenye usiku wa tuzo hizo na alipata…

Read More

STAA WA CITY HAALAND AITWA UNITED

HIVI karibuni, staa wa Manchester City, Erling Haaland akiwa anakatiza mitaa ya Jiji la Manchester, shabiki mmoja wa Manchester United alisikika akimwambia ‘njoo United msimu ujao’. Shabiki huyo alikuwa akimfuata Haaland huku akimpigia kelele za kumtaka ahamie United. Ikumbukwe kwamba nyota huyo aliwahi kutajwa kuingia kwenye hesabu za United wakati anatoka RB Salzburg akasajiliwa na…

Read More

SIMBA YAPETA MBELE YA WAKUSANYA MAPATO

WAKIWA kwenye maandalizi kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy, Simba imepeta mbele ya wakusanya mapato kutoka Kilimanjaro. Kwenye mchezo wa raundi ya tatu iliambulia ushindi wa mabao 6-0 TRA Kilimanjaro katika mchezo wa Azam Sports Federation Cup. Katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex ni Ladack Chasambi alifungua kurasa za…

Read More

SIMBA KUCHEZA MWINGINE WA KIMATAIFA

BAADA ya kurejea kutoka nchini Sudan kikosi cha Simba kesho kinatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya AS Arta Solar, Uwanja wa Mkapa.   Simba ilialikwa kwenye michuano maalumu iliyoandaliwa na Al Hilal ambapo iliweza kucheza mechi mbili za kirafiki. Mchezo wa kwanza Kocha Mkuu wa Simba, Zoran Maki alishuhudia timu hiyo ikishinda mabao 4-2…

Read More

KIUNGO WA KAZI YAMEMKUTA YANGA

IMEELEZWA kuwa Yanga ipo katika hatua za mwisho na kiungo wake mshambuliaji, Mghana Augustine Okrah ya kusitisha kusitisha mkataba au kumtoa kwa mkopo ndani au nje ya nchi mwishoni mwa msimu huu. Kiungo huyo alikuwepo katika kikosi cha Simba, katika msimu uliopita kabla ya kuomba mkataba wake uvunjwe ili aende akatafute changamoto nyingine mpya nyumbani…

Read More

SIMBA WAIVUTIA KASI ORLANDO PIRATES

KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco kimeanza kuwavutia kasi wapinzani kimataifa kwa ajili ya mchezo wao wa marudio. Simba ina kazi ya kusaka ushindi ama sare katika mchezo wao ujao dhidi ya Orlando Pirates baada ya ule wa awali ambao ni wa robo fainali ya kwanza kuweza kushinda bao 1-0. Meneja wa…

Read More

YANGA WATAJA SABABU YA KUAMBUIA POINTI MOJA

BAKARI Mwamnyeto nahodha wa Yanga ameweka wazi kuwa moja ya sababu kubwa iliyofanya wakakosa ushindi kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya JKT Tanzania ni sehemu ya kuchezea kutokuwa rafiki. Mchezo wa mzunguko wa pili kati ya JKT Tanzania na Yanga ulichezwa Aprili 24 2024 ambapo awali ulitarajiwa kuchezwa Aprili 23 lakini uliahirishwa kutokana…

Read More

KOCHA MPYA SIMBA KUANZA NA WAMALAWI KIMATAIFA

 JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa anaamini watafanya vizuri kwenye mechi yao dhidi ya Big Bullets inayotarajiwa kuchezwa kesho Jumamosi nchini Malawi ukiwa ni mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Mgunda amekabidhiwa mikoba kwa muda ndani ya Simba ambayo kwa sasa inatafuta kocha mpya baada ya kuachana na Zoran Maki aliyechukua mikoba ya…

Read More

SIMBA QUEENS WAIPIGA BITI YANGA PRINCES

JOTO la mechi ya Watani wa Jadi kwa upande wa soka la wanawake limezidi kutanda ambapo Yanga Princess watakuwa wenyeji wa Simba Queens katika mchezo utakaopigwa keshokutwa Jumamosi kwenye Dimba la Uhuru, Dar. Kuelekea mchezo huo wa raundi ya nne kunako Ligi Kuu ya Wanawake, Kocha Mkuu wa Simba Queens, Sebastian Nkoma ametamba kuendeleza rekodi…

Read More

BOSI YANGA AFICHUA JAMBO KUHUSU USAJILI

BOSI wa Yanga kwenye idara ya Habari na Mawasiliano, Ali Kamwe amefichua jambo kuhusu usajili wa timu hiyo kuelekea msimu wa 2024/25. Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga ameweka wazi kuwa wanatambua namna ilivyo kwenye suala la usajili hawana presha bali watafanya kazi hiyo kwa umakini mkubwa. Tayari Yanga ina uhakika kuendelea na Kocha Mkuu…

Read More

VIDEO:FEI TOTO AMTAJA SAMATTA NA KIBA

KIUNGO wa Yanga,Feisal Salum ameweka wazi kuwa matamasha ya NIFUATE ni mazuri na amewaomba mashabiki waendelee kujitokeza kwa wingi ili kuweza kutoa msaada kwa wengine hiyo ilikuwa ni kwenye mchezo wa Team Kiba na Team Samatta ambapo yeye alikuwa ni kwa upande wa Team Kiba na amemtaja Kiba kuwa mmoja ya wachezaji ambao walifanya vizuri

Read More

AIR MANULA NI NAMBA MOJA

AISHI Manula, ‘Air Manula’ kipa wa Simba ni namba moja kwa makipa waliokaa langoni kwenye mechi zote 15 za mzunguko wa kwanza na kusepa na clean sheet, (cheza bila kufungwa) nyingi. Manula amekaa langoni kwenye mechi zote 15 ambazo Simba imecheza na amefungwa mabao 6 katika mechi hizo ambazo amekaa langoni. Katika mechi hizo ni…

Read More