DULLAH MBABE KAPIGWA TENA NA UBABE WAKE

BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Abdallah Pazi ‘Dullah Mbabe ameendelea kuwa mteja wa mpinzani wake Tshimanga Katompa raia wa DR Congo kufuatia kukubali kichapo kwa mara ya pili mfululizo. Katika pambano hilo ambalo limepigwa juzi usiku kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Mount Meru jijini Arusha chini ya promosheni ya Red in Lady Promotion inayoongozwa…

Read More

BOSI SIMBA AMEFUNGUKA MWENDO WA TIMU NA UGUMU ULIOPO

MENEJA wa idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally ameweka wazi kuwa mwendo ambao wanakwenda nao kwenye mechi za kimataifa haujawa mzuri jambo linalowaongezea ugumu kupata matokeo kwenye mechi zijazo. Timu hiyo Novemba 25 ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Mkapa ukisoma Simba 1-1 ASEC Mimosas katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Hatua ya Makundi….

Read More

MWANZO MBAYA KIMATAIFA IWE NI SOMO KWA VITENDO

WAWAKILISHI wa kimataifa kwenye mechi za kimataifa nyumbani na ugenini hakuna ambaye ameanza kwa mwendo mzuri.Ipo wazi kuwa ni mwendo mbovu wameanza nao kwa kushindwa kupata matokeo. Kutokana na kuanza hivyo kwa kushindwa kushinda huku wachezaji wakionekana kutotumia nafasi wanazotengeneza ni muhimu kutumia ubovu huo kuwa darasa huru kwenye mechi zinazofuata. Yanga na Simba katika…

Read More

SIMBA WASIKITIKIA MATOKEO YAO KIMATAIFA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa matokeo ambayo wameyapata kwenye mchezo dhidi ya ASEC Mimosas sio mazuri kwa upande wao kwa namna yoyote. Novemba 25 ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba 1-1 ASEC Mimosas ikiwa ni mchezo wa hatua ya makundi. Kwenye msako wa pointi tatu Simba ilikomba moja ikiwa nyumbani na kupoteza pointi…

Read More

UKUTA WA SIMBA KUSUKWA UPYA

WAKIWA kwenye maandalizi kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy benchi la ufundi la Simba limeweka wazi kuwa kila idara makosa yake yanafanyiwa kazi. Miongoni mwa sekta ambazo zinafanyiwa kazi ni pamoja na ile ya ukuta chini ya Che Malone, Kennedy Juma, Shomary Kapombe na Mohamed Hussein unasukwa upya kuwa na…

Read More

KAZI BADO IPO KWA MASTAA HAWA YANGA NA SIMBA KIMATAIFA

KUNA mambo mengine ni magumu kuyafanya sio kama sikukuu ya kumbukizi ya kuletwa duniani, ukiwa na keki inafanyika. Haina maana haiwezekani inawezekana kwa kuamua kufanya kweli, hivyo tu basi. Mastaa wa Yanga na Simba kwenye mechi za ligi ya ndani wamekuwa wakifanya kweli, anga la kimataifa ushindani unakuwa tofauti hivyo ni lazima waamue kufanya kweli…

Read More

SIMBA WATOSHANA NGUVU KWA MKAPA

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika ni mashuhuda wakigawana pointi mojamoja na  wapinzani wao ASEC Mimosas wakiwa nyumbani. Licha ya kuanza kupachika bao la kuongoza hali haikuwa njema kwa upande wao walitunguliwa pia bao kipindi cha pili na wapinzani wao. Dakika 90 ubao wa Uwanja wa Mkapa umesoma Simba 1-1 ASEC Mimosas mchezo…

Read More

AZAM FC YAKOMBA POINTI, FEI ATUPIA

KIUNGO wa Azam FC, Feisal Salum amefikisha mabao sita ndani ya Ligi Kuu Bara baada ya kuongeza akaunti yake ya mabao. Bao hilo alifunga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara walipocheza dhidi ya Mtibwa Sugar. Ilikuwa ni siku mbaya kazini kwa Mtibwa Sugar abaada ya kuyeyusha pointi tatu ugenini na kichapo kikubwa wakapokea. Novemba 24…

Read More

SIMBA: KIMATAIFA TUTAWAFURAHISHA

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba ameweka wazi kuwa watawafurahisha mashabiki watakaojitokeza kushuhudia mchezo wao dhidi ya ASEC Mimosas pamoja na wale watakaokuwa nyumbani. Ipo wazi kwamba Novemba 25 Simba itakuwa na kibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya ASEC Mimosas ya Ivory Coast mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa.  Ally…

Read More

YANGA YAANZA KWA KUPOTEZA UGENINI

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa Yanga kete yao ya kwanza hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika wameanza kwa kupoteza mchezo huo. Ni usiku wa kuamkia leo Novemba 25 Yanga ilitupa kete yake ya kwanza ugenini kusaka pointi tatu dhidi ya CR Belouizdad ya Algeria. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi ilikuwa…

Read More

HUYU HAPA KOCHA MPYA SIMBA

Klabu ya Simba imemtangaza ABDELHAK BENCHIKHA kuwa kocha mkuu klabuni hapo akichukua mikoba ya Robert Oliveira ‘Robertinho’ aliyeoneshwa mlango wa kutokea. Benchikha (60) raia wa Algeria aliiongoza USM Alger kuwaa kombe la Shirikisho Afrika kwa faida ya magoli ya ugenini dhidi ya Young Africans SC kwenye fainali. Benchikha pia aliiongoza USM Alger kutwaa CAF Super…

Read More