MERIDIANBET KASINO MGODI WA MADINI NA MAOKOTO

Dhahabu ni moja kati ya utajiri wenye thamani kubwa sana, Mabenki na wafanyabiashara wakubwa hutumia dhahabu kutunza ukwasi wao, Meridianbet kasino ya mtandaoni ni mgodi bora wa madhini yenye pesa kibao, cheza mchezo wa Black Gold uwe moja kati ya mabilionea wakubwa. Jisajili hapa kama hauna akaunti ya Meridianbet. Black Gold ni sloti ya kasino…

Read More

EUROPA ya Leo una nafasi ya kutusua mkwanja leo

EUROPA imefika mapema tuuh na wewe mteja wa meridianbet una nafasi ya kutusua mkwanja leo hii endapo utabashiri kwa usahihi mechi zako zote huku kukiwa na machaguo zaidi ya 1000. Michezo ya Kasino pia ipo cheza sasa. West Ham United atamleta nyumbani kwake Bayer Leverkusen ambaye ndiye bingwa wa Bundesliga ambalo alilichukua wiki iliyopita. Mechi…

Read More

MASTAA WALIOFUNGA KARIAKOO DABI

NGOMA inatarajiwa kupigwa Uwanja wa Mkapa, Aprili 20 2024 kwenye Kariakoo Dabi ambapo kila timu itakuwa kazini kusaka pointi tatu ndani ya uwanja. Ikumbukwe kwamba kwenye mzunguko wa kwanza mchezo uliochezwa Novemba 5 2023 baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba 1-5 Yanga. Hawa hapa waliofunga Kariakoo Dabi tukianza na wenyeji Yanga namna hii:- Kennedy…

Read More

AZAM FC WABANANA NA MASHUJAA

AZAM FC matajiri wa Dar wametoshana nguvu dhidi ya Mashujaa kutoka Kigoma, mwisho wa reli katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Azam Complex. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Azam FC 0-0 Mashujaa kwenye mchezo wa mzunguko wa pili. Azam FC inasalia nafasi ya pili ikiwa na pointi 51 Mashujaa nafasi ya…

Read More

HUU HAPA MTAMBO WA MABAO SIMBA

NDANI ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Abdelhak Benchikha kuna mitambo mingi ya mabao lakini kwa sasa namba moja ni Clatous Chama. Ipo wazi kwamba kasi ya Chama msimu wa 2023/24 imeporomoka licha yakuwa na uhakika kikosi cha kwanza kuna sababu nyingi zinasababisha yote hayo ikiwa ni pamoja na wachezaji wa Simba kuongoza…

Read More

YANGA WAIPIGA MKWARA SIMBA

JOTO la Kariakoo Dabi linazidi kupanda ikiwa ni siku nne kwa sasa zinahesabiki kabla ya mchezo huo kuchezwa Uwanja wa Mkapa na kila timu ikiwa kwenye hesabu za kupata pointi tatu. Yanga ambao ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara na vinara wa ligi wamewapiga mkwara watani zao wa jadi kwa kubainisha kuwa wanhitaji pointi…

Read More

NYOTA YANGA NA OFA KIBAO MEZANI

INAELEZWA kuwa nyota wa Yanga ambaye ni chaguo la kwanza ndani ya benchi la ufundi la timu hiyo ana ofa kibao mezani kwa timu mbalimbali kuwania saini yake. Ni Clement Mzize anatajwa kuwa na ofa zaidi ya tatu mezani kwa timu kubwa barani Afrika kuhitaji saini yake kutokana na mwendelezo wake ndani ya uwanja kwenye…

Read More

Nani ni Nani Leo Usiku wa Ulaya?

Leo hii viwanja viwili vitawaka moto kwenye michuano ya Ligi za mabingwa barani Ulaya [UEFA] ikiwa ni mechi za marudiano na maamuzi nani aende Nusu Fainali na nani abaki. Tengeneza jamvi lako la maana hapa maan leo ndiyo leo asemaye kesho muongo. Barcelona ataumana dhidi ya PSG ambapo mechi ya kwanza Xavi aliondoka na ushindi…

Read More

CHELSEA WAMEKIWASHA HUKO

CHELSEA ni kicheko mwanzo mwisho baada ya kushuhudia ubao ukisoma Chelsea 6-0 Everton kwenye mchezo wa Ligi Kuu England. Mabao ya Cole Palmer aliyekuwa katika ubora wake na alitupia mabao manne ilikuwa dakika ya 13, 18, 29, 64 kwa mkwaju wa penalti. Nicolas Jackson alitupia bao moja dakika ya 44 sawa na Alfie Gilchrist dakika…

Read More

AZAM FC SIO KINYONGE UJUE

MATAJIRI wa Dar Azam FC sio kinyonge ndani ya Ligi Kuu Bara kutokana na kasi wanayokwenda nayo kwenye mechi za ushindani msimu wa 2023/24. Timu hiyo imekuwa kwenye ubora ndani ya uwanja kutokana na rekodi bora inazopata na mchezo wake uliopita ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Majaliwa ukisoma Namungo 0-2 Azam FC mabao yote yakifungwa…

Read More