
SIMBA WATOA YA MOYONI, KUREJEA KWENYE UBORA
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa utafanyia kazi makosa ambayo yamepita ili kurejea kwenye ubora wao kwa kuwa nyakati ambazo wamepita zimewaumiza. Ipo wazi kuwa Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda imegotea nafasi ya tatu kwenye msimamo wa ligi ikiwa na pointi 69. Imepishana na taji la ligi pamoja na Ligi ya Mabingwa Afrika…