AZAM FC WANA IMANI KUBWA KINOMANOMA

HASHEEM Ibwe, Ofisa Habari wa Azam FC amesema kuwa maandalizi ambayo yanafanyika kuelekea msimu ujao yanawapa nguvu ya kuamini kwamba watafanya vizuri kwenye mashindano ambayo watashiriki. Azam FC inanolewa na Kocha Mkuu,Yusuph Dabo imeweka kambi Morocco kuelekea msimu mpya unaotarajiwa kuanza Agosti 16 2024 na ratiba ya Ngao ya Jamii tayari imeshatoka. Ngao ya Jamii…

Read More

KAMPUNI YA MICHEZO BETWINNER YAZINDULIWA TANZANIA

 KAMPUNI ya michezo ya kubashiri ya Betwinner imezinduliwa rasmi nchini Tanzania, ikileta fursa mpya na za kipekee kwa wateja wa michezo ya kubahatisha. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi, Mkurugenzi Mkuu wa Betwinner, Jesse Ndambala, amesema kuwa ujio wao umelenga kuwapa wateja Odds nzuri zaidi kulinganisha na kampuni nyingine za kubashiri. Ndambala amesisitiza kuwa Bet Winner…

Read More

YANGA KAMILI KWA MECHI ZA KIMATAIFA AFRIKA KUSINI

NAHODHA msaidizi wa Yanga Dickson Job ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa mechi zote za kirafiki kimataifa ambazo watacheza nchini Afrika Kusini ikiwa ni mwendelezo wa maandalizi ya msimu wa 2024/25. Ipo wazi kwamba Job ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Miguel Gamondi anaingia kwenye orodha ya mchezaji wa kwanza kufunga bao ndani ya…

Read More

SIMBA YATAMBIA MASHINE MPYA ZA KAZI

UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa wachezaji wapya ambao wametambulishwa watafanya kazi kubwa kwa kushirikiana na wengine katika mechi za ushindani kitaifa na kimataifa. Simba imeweka kambi nchini Misri ikiwa ni maandalizi ya kuelekea msimu wa 2024/25 unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kutokana na kila timu kujipanga kufanya vizuri. Ipo wazi kwamba katika anga la kimataifa…

Read More

Leo Ni Siku ya Kupiga Maokoto na Meridianbet

Jumamosi ya kibabe imefika na wewe unaweza kuwa mbabe kwa kutusua na Meridianbet endapo utatengeneza jamvi lako la maana kwani kua mechi kibao leo za kukufanya tajiri. Ingia na ubeti sasa Klabu ya Manchester United baada ya kupoteza mchezo wake wa kirafiki uliopita, leo atakuwa ugenini dhidi ya Glagow Rangers ya Scotland ambao walimaliza nafasi…

Read More

KARIAKOO DABI HII HAPA, RATIBA NGAO YA JAMII

BURUDANI ya Ligi Kuu Bara ipo njinai kurejea baada ya ratiba ya mechi za ufunguzi kutolewa hivyo ni muda wa kila mmoja kutambua kipi ambacho atavuna kwa msimu mpya wa 2024/25. Ni Agosti 8 2024 ambapo wababe wawili  Simba na Yanga watakutana hatua ya nusu fainali ya Ngao ya Jamii, Uwanja wa Mkapa. Ikumbukwe kwamba…

Read More

SIMBA KAZI IPO HUKO, KOCHA KUANZA NA HILI

FADLU Davids Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kazi kubwa iliyopo kwa sasa ni kuwaandaa wachezaji kuwa tayari kwa ushindi kwenye mechi zao za ushindani zijazo. Kuelekea msimu wa 2024/25 Simba imeweka kambi Misri ikiwa na wachezaji kama Mzamiru Yassin, Zimbwe, Ally Salim na ligi inatarajiwa kuanza Agosti 16 2024 huku mabingwa wakiwa ni Yanga…

Read More

YANGA HAO AFRIKA KUSINI

UONGOZI wa Yanga umebainisha kwamba utakwenda Afrika Kusini kwa ajili ya mwendelezo wa maandalizi ya msimu wa 2024/25 wakiwa wamealikwa kutokana na thamani ya timu hiyo kupanda. Chini ya Kocha Mkuu Miguel Gamondi, Yanga msimu wa 2023/24 iliweka kambi Bongo na ikafanikiwa kutwaa taji la ligi ikimaliza msimu ikiwa na pointi 80 baada ya kucheza…

Read More

VIDEO: LIVE ISHU YA YANGA NA SAKATA LA UONGOZI WA MADARAKANI

UONGOZI wa Yanga umefungukia ishu ya sakata la kesi yao mahakamani pamoja na mpango kazi kuhusu mzee Magoma huku wakibainisha kwamba kila kitu kipo sawa kwa sasa na uongozi bado una mamlaka ya kuendelea na kazi kupitia kwa Mwanasheria Patric Saimon huku wakibainisha kuwa kuna masuala ambayo hayazuiliwi kusikilizwa kwenye Mahakama yanayouhusu mpira ikiwa ni…

Read More