
HAYA HAPA MATOKEO YA RAUNDI YA 30, MWISHO WA RELI KIGOMA KUGUMU
MZUNGUKO wa 30 umegota mwisho huku yakikusanywa mabao 26 uwanjani ni Uwanja wa Lake Tanganyika Kigoma pekee ngoma ilikuwa ngumu kwa wababe hao kushuhudia bao kwa upande wowote ule ikiwa ni funga kazi ndani ya msimu wa 2024/25. Katika raundi ya 29 ni mabao 22 yalifungwa hivyo kasi imeongezeka raundi ya 30 yakiongezeka mabao manne…