BEKI LA KAZI LIPOLIPO SANA YANGA

MZAWA Dickosn Job beki wa kazi ngumu bado yupo ndani ya kikosi cha Yanga baada ya kuongeza dili jipya la kuendelea kuitumikia timu hiyo. Awali kulikuwa na mvutano mkubwa kwenye upande wa maslahi jambo lililofanya asubiri kwanza kusaini mkataba mpya. Alikuwa anatajwa kuingia rada za mabosi wa Dar, Azam FC ambao walikuwa wanahitaji saini yake….

Read More

PAMPA WAZITAKA POINTI ZA MASHUJAA

KOCHA Mkuu wa Pamba, Yusuph Chippo amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa Championship dhidi ya Mashujaa FC  unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Nyamagana. Pamba ya Mwanza ipo nafasi ya tatu kwenye msimamo ikiwa na pointi 48 baada ya kucheza mechi 23 inakutana na Mashujaa iliyo nafasi ya 4 na pointi 41. Tippo amesema:“Tunamshukuru…

Read More

ALLY NYOTA WA MCHEZAO, ULINZI TATIZO SIMBA

KWENYE mchezo dhidi ya Ihefu mchezaji bora kwa upande wa Simba alikuwa ni Ally Salim na hii inatokana na makosa ya safu ya ulinzi ya Simba yaliyokuwa yakifanywa kila dakika. Salim ikiwa ni mchezo wake wa kwanza kayeyusha dakika 90 bila kutunguliwa akiokoa hatari ngumu ikiwa ni dakika ya 5,6,10,15 zote kutoka kwa washambuliaji wa…

Read More

KAZI KIMATAIFA BADO IPO

KUPATA ushindi kwenye mechi za hatua ya makundi na kutinga hatua ya robo fainali hakika hili ni kubwa kwa timu zote ambazo zimefanikisha jambo hilo. Unaona kila mchezaji alikuwa anajituma kwenye mechi za nyumbani na ugenini katika kusaka ushindi na mwisho imekuwa hivyo. Mashindano ambayo yanafuatiliwa na watu wengi yameleta matokeo mazuri kwa kila timu…

Read More

AZAM FC WANAWATAKA SIMBA NUSU FAINALI

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa kwenye hatua ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho inahitaji kucheza na Simba. Aprli 3 Azam FC ilishinda mabao 2-0 dhidi ya Mtibwa Sugar na kukata tiketi ya kutinga hatua ya nusu fainali inamsubiri mshindi kati ya Simba na Ihefu icheze naye hatua ya nusu fainali. Ofisa Habari…

Read More

YANGA:HATUNA MASHAKA KIMATAIFA, TUPO TAYARI

ALI Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amebainisha kuwa hawana mashaka na hatua ya robo fainali waliyofikia zaidi ni hesabu kwenye mechi za hatua hiyo kupata matokeo chanya. Yanga imakamilisha kundi D ikiwa ni namba moja kibindoni ilikusanya pointi 13 huku safu yake ya ushambuliaji ikiwa imetupia mabao 9. Inakibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Rivers…

Read More

MBILI ZA KAGERA MOJA TAMU MOJA CHUNGU

MWAMBA Anuari Jabir amepata dili a kwenda kufanya majaribio kwa muda wa siku 14 kutoka Klabu ya Ligi Kuu ya Ubelgiji (Pro League Belgium) Jumatatu ya Aprili 3 aliwasili salama Ubegiji kwa kwa ajili ya majaribio ya kuchezea timu hiyo na mipango ikienda sawa anaweza kumwaga wino huko. Jabir ni chaguo la kwanza la Kocha…

Read More

YANGA YAZIFUATA POINTI TATU DR CONGO

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa mchezo wao wa Kombe la Shirikisho dhidi ya TP Mazembe ambao ni wa hatua ya makundi kikubwa wanachohitaji ni pointi tatu. Timu hiyo inakumbuka kwamba mchezo wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Mkapa iliibuka na ushindi wa mabao 3-1 hivyo wanakwenda ugenini kulinda ushindi na kusaka rekodi mpya wakiwa wanaongoza…

Read More