SIMBA SC:TUNAIVUA UBINGWA WYDAD
Simba SC: Tunaivua ubingwa Wydad, ndugu wa Mayele wampa dili Fei Toto ñdani ya Championi Jumatano
Simba SC: Tunaivua ubingwa Wydad, ndugu wa Mayele wampa dili Fei Toto ñdani ya Championi Jumatano
MWAKINYO kuzichapa na Twaha afungukia ishu ya sumu
WAKATI wachezaji wa Simba wakitarajia kuanza mazoezi leo Aprili 18,2023 kwa ajili ya mechi ya kwanza ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wydad Club Athletic ya Morocco, wadhamini wakuu wa timu hiyo, kampuni ya michezo ya kubahatisha ya M-Bet Tanzania imekabidhi bonasi ya Sh milioni 100. Wachezaji wa Simba walikuwa kwenye…
ALLY Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa kupoteza mchezo wao dhidi ya Simba sio mwisho wa kazi maisha lazima yaendelee. Kabla ya mchezo Aprili 16 Kamwe alimwambia Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba Ahmed Ally kuwa wiki ya Jumatatu ya Aprili 17/2023 itakuwa ni ya masimango kwa mmoja huku mwingine akiwa na…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kwa sasa umeanza maandalizi kuelekea mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wydad ambao utachezwa Uwanja wa Mkapa. Huo ni mchezo wa hatua ya robo fainali Ligi ya Mabingwa ambapo Simba inaipeperusha bendera ya Tanzania kwenye anga hilo. Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed…
Siku zote kwenye Maisha unaambiwa usipende sana kuomba hela ya kula bali omba kazi, huwa iko hivi hata uchawa una mwisho wake kama huwezi kujishughulisha na kufanya kazi. Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet imekuja na promosheni kabambe itakayokupatia hela kirahisi kwa dau dogo sana. Promosheni ya kasino ya mtandaoni inakuja na kiasi cha Tsh Milioni…
FISTON Mayele moja ya washambuliaji wenye akili na wanalijua lango dhidi ya Simba Aprili 16 anashikilia rekodi ya kupiga mashuti mengi yaliyolenga lango. Ni ubora wake kwenye kutafuta kufunga kumemfanya kipa wa Simba aonekane ni bora kutokana na kuwa makini kwenye kuokoa hatari hizo. Ingekuwa angekwama kuokoa hatari alizopigiwa na Mayele ingekuwa ni habari nyingine…
LEGEND kwenye ulimwengu wa uandishi wa Habari za Michezo Bongo, Jembe amebainisha kuhusu mchez wa Kariakoo Dabi Simba 2-0 Yanga akizungumzia mabao pamoja na kocha wa Yanga Nasreddine Nabi
Mayele ampa mamilioni kipa Simba ñdani ya Spoti Xtra Jumanne
ULIONA alichofanya Inonga alichofanya kwa Yanga Uwanja wa Mkapa?
JEMBE amchambua Mzamiru Yassin, Onyango na ubora wake ndani ya uwanja
Wahenga waliwahi kusema Usiku wa deni hauchelewi, ni sasa kule kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya kitaeleweka nani mbambe dhidi ya mwenzake, raundi ya pili hatua ya robo fainali, Katika dimba la Stamford Bridge Chelsea vs Madrid, Napoli vs AC Milan, Bayern vs Man City. Kamata odds kubwa na machaguo mengi kutoka Meridianbet ukibashiri mechi hizi….
HAIWEZI kuwa kazi nyepesi kwa kuwa lazima mapambano yawe makubwa katika kufanya hilo jambo ambalo unalihitaji kwa wakati. Kila mmoja kwenye Ligi Kuu Bara kwa sasa anapambana kuweza kufikia malengo ambayo alianza nayo mwanzo wa msimu wa 2022/23 ambao unakaribia kugota mwisho. Hakika ni moja ya msimu wenye ushindani mkubwa na kila timu inafanya vizuri…
SIMBA yaomba radhi kwa ushindi dhidi ya Yanga Uwanja wa Mkapa
MWIJAKU na Privadinho Uwanja wa Mkapa katika dakika 45 kila mmoja alikuwa akivutia kwake ambapo Baba Levo aliamini Yanga wangepindua meza kibabe mwisho ubao ulisoma Simba 2-0 Yanga
MECKY Maxime, Kocha Mkuu wa Kagera Sugar amesema kuwa waterejea kwenye mechi zilizobaki wakiwa imara kwa kupata matokeo chanya. Timu hiyo haina bahati dhidi ya Yanga msimu huu wa 2022/23 kwa kufungwa nje ndani mchezo wa kwanza ilitunguliwa bao 0-1 na ule mzunguko wa pili ubao wa Uwanja wa Azam Complex ulisoma Yanga 5-0 Kagera…
NYOTA wa Azam FC, Idd Suleiman, ‘Nado’ ni mkali wa kucheka na nyavu kwenye mechi za ligi akitokea benchi. Nyota huyo rekodi zinaonyesha kuwa ameanza kikosi cha kwanza mechi nne ilikuwa dhidi ya Ruvu Shooting,Dodoma Jiji,Mbeya City na KMC. Kwenye mchezo dhidi ya Coastal Union,Novemba 27,2022 ubao wa Azam Complex uliposoma Azam FC 3-2 Coastal…