Simba SC Wahamia KMC Complex Kwa Mechi Za Nyumbani
Klabu ya Simba SC leo Mei 7, 2026 wametangaza kuhamishia mechi zao za nyumbani katika Uwanja wa KMC Complex kwa michezo ijayo, wakiachana kwa muda na matumizi ya Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo ambao ulikuwa ukitumika hapo awali. Taarifa hiyo imetolewa kupitia kurasa rasmi za klabu hiyo, ikiwa ni sehemu ya mabadiliko ya matumizi ya…