Argentina 3-2 Misri, FIFA Kombe la Dunia 2026

Argentina 3-2 Misri, FIFA Kombe la Dunia 2026 ni matokeo ambayo yamekuwa pigo kwa timu ya Misri kutoka Afrika iliyoanza kwa kuongoza katika 67 za mchezo huku V.A.R ikifuta bao moja kwa upande wao. Magoli ya Misri yamefungwa na Yasser Ibrahim dakika ya 15 na Mostafa Ziko dakika ya 67. Walikwenda mapumziko wakiwa wanaongoza. Nyota…

Read More

Nado afungukia ishu ya kuikamia Simba SC

KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Idd Nado amefunguka kuhusu kudaiwa kuwa anaikamia sana Simba SC kwenye mechi ambazo wanakutana. Nado amekuwa kwenye ubora msimu wa 2025/26 ambapo timu hiyo imemaliza kwenye msimamo ikiwa nafasi ya 3 baada ya kukusanya jumla ya pointi 64. Dhidi ya Simba SC kwenye mechi mbili walipata ushindi mchezo mmoja na…

Read More

Ureno ndo basi tena Kombe la Dunia 2026

Mchezo wa hatua ya 16 bora, Portugal vs Spain FIFA Kombe la Dunia 2026 umewaachia maumivu timu Ronaldo. Mikel Merino aliingia akiwa ni mchezaji wa akiba na kufunga bao la ushindi kwa Hispania, wakishinda Ureno ya Cristiano Ronaldo 1-0 jijini Dallas Jumatatu usiku na kukatisha safari ya gwiji huyo katika Kombe la Dunia huku Hispania…

Read More

Tunisia vs Netherlands Juni 26,2026 Kombe la Dunia

Tunisia vs Netherlands FIFA Kombe la Dunia 2026 unayakutanisha mataifa yenye historia tofauti, Juni 26, 2026 saa 8:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki. Mchezo huu utachezwa Uwanja wa Kansas City huku Tunisia wakiwa na kibarua kusaka ushindi kwa mara ya kwanza. Tunisia hawajashinda mechi yoyote katika michezo mitano iliyopita. Netherlands wanaingia wakiwa katika kiwango…

Read More

Matokeo ya Muungano Cup 2026

Muungano Cup 2026 inatarajiwa kufika tamati Aprili 29, 2026 kwa mchezo wa fainali Yanga SC vs Simba SC, saa 2:15 usiku Uwanja wa New Amaan Complex. Hapa tunakuletea matokeo ya timu zote 8 kuanzia hatua ya robo fainali namna hii:- Matokeo Muungano Cup 2026 Timu Tarehe Mechi Hatua Matokeo Yanga SC Aprili 21, 2026 Yanga…

Read More

Singida Black Stars vs Azam FC kinawaka leo

Singida Black Stars vs Azam FC NBC Premier League kinawaka leo kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Wababe hawa wanakutana Aprili Mosi 2026 ikiwa ni mchezo pekee utakaochezwa mara baada ya mapumziko yaliyotokana na kalenda ya FIFA. Katika mechi mbili kubwa wenyeji wakiwa nyumbani ndani ya mwezi Machi waliangasuha pointi tatu baada ya dakika 90….

Read More

Paa Sasa, Ushindi Kila Sekunde Ni Uhakika Ukiwa Na Super Heli Premium

Meridianbet sasaimeamua kukupeleka kwenye ulimwengu mpya wa burudani na ushindi kupitia Super Heli Premium.Mchezo umeundwa kukupa kasi, ujasiri na msisimko. Kila raundi ni fursa ya kushinda zaidi, kila uamuzi ni hatua ya kuelekea kilele cha furaha. Hapa, kila sekunde inahesabiwa, kama jackpot yenye uwezekano halisi. Helikopta inapoanza kupaa, shauku ya wewe kujiongezea faida inapanda pia….

Read More

Kocha Stars abainisha sababu yakupoteza

Miguel Gamondi, Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars amesema kuwa kushindwa kutumia nafasi mbili ambazo walipata kwenye mchezo ni sababu kushindwa kupata ushindi. Tanzania 0-1 Liechtenstein ni matokeo kwenye mchezo uliochezwa Machi 26,2026 kwenye FIFA Series, Uwanja wa Kigali, Rwanda. Gamondi amesema: “Kila mwenye macho ameona, tulipata nafasi mbili tukashindwa kuzitumia…

Read More