Hapa ndipo kambi ya Yanga SC itakapokuwa
MABINGWA watetezi wa NBC Premier League kwa msimu mpya wa 2026/27 wamebainisha watakapoweka kambi kwa maandalizi ya msimu ujao. Ikumbukwe kwamba Yanga SC wametwaa ubingwa wakiwapoteza kwa pointi 2 wapinzani wao wa karibu Simba SC, ni pointi 75 walikusanya baada ya mechi 30 huku Simba SC wakiwa na pointi 73. Kuelekea kwenye maandalizi ya msimu…