MKATABA WA GSM NA TFF UNACHUNGUZWA

TUME ya Ushindani wa Biashara (FCC) imesema imepokea malalamiko kutoka kwa wadau wa mpira wakiitaka kuchunguza udhamini uliofanywa na kampuni ya GSM kwa Ligi Kuu ya NBC kama hautaathiri ushindani wa soka nchini.   Wadau hao wamewasilisha malalamiko yao kwa maandishi ndani ya tume hiyo Jumatatu ya Novemba 29, 2021 wiki hii kwa mujibu wa…

Read More

ISHU YA USAJILI AZAM FC IPO HIVI

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa masuala yote yanayohusu usajili yapo mikononi mwa benchi la ufundi hivyo wao wakitoa ripoti uongozi unafanya kazi ya kuwaleta wachezaji hao. Kwa msimu wa 2021/22 mabosi wa Azam FC wameshudia timu hiyo ikiwa kwenye mwendo wa kusuasa baada ya kucheza mechi sita imekusanya pointi saba na safu ya…

Read More

MATAIFA MANNE YAIMALIZA RED ARROWS

MATAIFA manne yalitosha kuwatuliza Wazambia kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho uliochezwa Uwanja wa Mkapa ubao uliposoma Simba 3-0 Red Arrows. Ni Bernard Morrison kutoka Ghana aliweza kuwapa tabu Wazambia kwa kuwa alihusika kwenye mabao yote matatu, alifunga mawili na kutoa pasi moja ya bao. Meddie Kagere raia wa Rwanda aliweza kufunga bao moja kwa…

Read More

KIUNGO SIMBA AKUBALI KUSAINI YANGA

NICHOLAS Gyan kiungo wa zamani wa Klabu ya Simba ambaye kwa sasa anakipiga ndani ya kikosi cha DTB kinachoshiriki Championship amesema kuwa hana tatizo ikiwa Yanga watampa ofa yeye atasaini kwa kuwa mpira ni kazi yake. Novemba 29 Gyan aliweza kufunga bao lake la kwanza akiwa na timu yake ya DTB kwenye mchezo dhidi ya…

Read More

YANGA INAUWAZA UBINGWA

BAKARI Mwamnyeto, nahodha wa Yanga ameweka wazi kuwa mipango ya timu hiyo kwa msimu wa 2021/22 ni kuweza kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara. Yanga ni namba moja kwenye msimamo ikiwa na pointi 19 baada ya kucheza mechi 7 na imekusanya jumla ya mabao 12 ambayo yamefungwa na timu hiyo. Safu ya ulinzi imekuwa imara…

Read More

AZAM FC WAMEKIWASHA HUKO,DUBE NDANI

BAADA ya kumaliza kazi ya kusepa na pointi tatu muhimu mbele ya Mtibwa Sugar, matajiri wa Dar hesabu zao kwa sasa ni kuelekea kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar. Azam FC iliibuka na ushindi wa bao 1-0 katika mchezo wao uliopita dhidi ya Mtibwa Sugar ilikuwa ni Novemba 30, Uwanja wa…

Read More

MZEE WA KUCHETUA ATUMA UJUMBE KWA WAZAMBIA

BERNARD Morrison, mzee wa kuchetua ametuma ujumbe kwa Red Arrows ya Zambia kwa kuweka wazi kwamba wanahitaji ushindi kwenye mchezo wao wa marudio katika Kombe la Shirikisho. Morrison alikuwa ni nyota wa mchezo ule wa kwanza walipokutana Uwanja wa Mkapa licha ya kuwa na changamoto ya maji kwenye ule uwanja aliweza kuhusika kwenye mabao yote…

Read More

YANGA, SIMBA ZAMUWANIA KIUNGO WA KAZI

UONGOZI Klabu ya DC Motema Pembe ya nchini DR Congo,unaomiliki kiungo wa kazi Karim Kimvuid Kiekie umebainisha kwamba kuna timu kubwa Bongo zinahitaji saini yake.  Kiekie kwa sasa ana umri wa miaka 19, ni miongoni mwa wachezaji wanaotamba kwa sasa nchini DR Congo ambapo akiwa katika umri huo tayari amefanikiwa kuitumikia timu ya taifa katika michuano ya CHAN iliyofanyika mwaka jana nchini Cameroon.  …

Read More

WAPINZANI WA SIMBA WAPANIA KULIPA KISASI ZAMBIA

UONGOZI wa timu ya Red Arrows ya Zambia, umeweka wazi kuwa umepanga kulipa kisasi katika mchezowa marudiano dhidi ya Simba licha ya kufungwa mabao mengi kutokana na mvua iliyoharibu hali ya uwanja na kukwamisha mipango yao. Timu hiyo inayomilikiwa na Jeshi la Anga la Zambia, imepoteza mchezo wa kwanza wa Kombe la Shirikisho kwa mabao 3-0 dhidi ya Simba kabla ya mchezo wa marudiano unaotarajiwa kupigwa Jumapili ya…

Read More

YANGA YAANZA MAZUNGUMZO NA CHAMA

UONGOZI wa Yanga umeanza rasmi mazungumzo na wakala wa kiungo mshambuliaji Mzambia, Clatous Chamaanayekipiga Klabu ya RS Berkane ya nchini Morocco. Hiyo ikiwa ni siku chache tangu uongozi wa Yanga kuanza mazungumzo na Berkane inayommiliki baada ya kumnunua kutoka Simba kwa dau la Sh 1Bil. Mzambia huyo alijiunga na Berkane katika msimu huu  baada ya timu hiyo kufikia muafaka mzuri na Simba kwa ajili ya kumnunua. Mmoja wa mabosi wa Yanga, amesema kuwa,…

Read More

MORRISON ATOA NENO BAADA YA KUPATA MILIONI ZAKE

KUNGO mshambuliaji wa Simba Bernard Morrison,amesema kuwa wachezaji wote ambao aliingia nao kwenye fainali ya kuwania tuzo bora kwa mchezaji chaguo la mashabiki walistahili tuzo hiyo lakini mwisho wa siku yeye amechaguiwa kuwa mshindi. Jana Desemba Pili, Morrison aliweza kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi Novemba wa Simba.   Morrison amekabidhiwa kitita…

Read More

CHEKA,ALKASUSU WAPIMA UZITO,LEO VITASA VINAPIGWA

Cheka, Alkasusu wapima uzito, kupasuana leo MABONDIA Cosmas Cheka na Muhsini Swalehe ‘Alkasusu’ wamepima uzito jana tayari kwa pambano la ubingwa wa taifa wa TPBRC litakalopigwa leo kwenye Uwanja wa Kinesi, Dar. Mabondia wamepima uzito katika pambano hilo ambalo limeandaliwa na kampuni ya Grobox Sports Promotion lililopewa jina la Usiku wa Mishindo ambapo kiingilio cha…

Read More

NTIBAZONKIZA ATUMA UJUMBE HUU SIMBA

SAID Ntibanzokiza, kiungo mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa kuelekea katika mchezo wao wa Kariakoo Dabi dhidi ya Simba wapi tayari. Kiungo huyo alianza katika kikosi cha kwanza kulichoibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mbeya Kwanza ameanza kuingia kwenye mfumo wa Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi. Katika mabao hayo mawili nyota huyo alifungua…

Read More

MAKAMBO ATAJA SABABU YA KUTOFUNGA,ASHUSHA PRESHA

HERITIER Makambo mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa sababu ya kushindwa kufunga ndani ya Ligi Kuu Bara kwa wakati huu ni kutokana na muda kutofika ila ukifika atafunga tu.   Nyota huyo kwa msimu wa 2021/22 Yangaikiwa imecheza mechi 7 ndani ya ligi na yeye akicheza katika mechi tano hajaweza kufunga bao wala kutoa lasi pia…

Read More