
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Ijumaa
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Ijumaa
JOTO la mechi ya Watani wa Jadi kwa upande wa soka la wanawake limezidi kutanda ambapo Yanga Princess watakuwa wenyeji wa Simba Queens katika mchezo utakaopigwa keshokutwa Jumamosi kwenye Dimba la Uhuru, Dar. Kuelekea mchezo huo wa raundi ya nne kunako Ligi Kuu ya Wanawake, Kocha Mkuu wa Simba Queens, Sebastian Nkoma ametamba kuendeleza rekodi…
HITIMANA Thiery amesaini dili la mwaka mmoja kuinoa Klabu ya KMC inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara. Kocha huyo hivi karibuni alisitisha mkataba wake na Klabu ya Simba ambayo inanolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco. Alijiunga na Simba kwa ajili ya mashindano ya kimataifa kwa kuwa aliyekuwa kocha wa wakati huo Didier Gomes hakuwa na vigezo…
OFISA Habari wa Mtibwa Sugar, Thobias Kifaru, ameweka wazi juu ya maandalizi yao kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ruvu Shooting utakaochezwa Januari 14, mwaka huu kwenye Uwanja wa Mabati, Pwani. Mtibwa Sugar ikiwa na kumbukizi nzuri ya kutoka kuichapa Costal Union 1-0, inashika nafasi ya 13 kwenye msimamo wa Ligi Kuu…
Mwaka 2022 unaanza na habari njema kwa wateja wa DStv! Kuanzia tarehe 5 Januari 2022, DStv itaanza promosheni yake kabambe ijulikanayo kama ‘Panda Tukupandishe’ ambapo wateja wa DStv watapatiwa vifurushi vya juu ili kufurahia zaidi burudani katika kipindi hiki cha mwanzo wa mwaka. Promosheni hii itadumu kwa miezi mitatu na ni kwa wateja wa…
HAJI Manara Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa hajui jambo lolote kuhusu Ofisa Habari mpya wa Simba, Ahmed Ally. Manara mwaka jana alisepa kwenye majukumu yake ndani ya Simba kutokana na mvutano uliokuwa ndani ya timu yake hiyo ya zamani ambayo aliwahi kusema kwamba anaipenda tangu akiwa mgogo. Kwa sasa Manara anatimiza majukumu yake ndani…
MOSES Phiri, mshambuliaji wa Zanaco FC ya Zambia anatajwa kuzichonganisha timu kongwe Bongo, Simba na Yanga ambazo zote zinatajwa kuisaka saini yake. Nyota huyo anatajwa kwamba amezungumza na mabosi wa Simba ambao wanahitaji huduma yake ila kabla hajamwaga wino na Yanga nao wanatajwa kubisha hodi. Mambo yamebadilika kwa sasa na ushindani wa kuisaka saini…
KIUNGO Mshambuliaji Dennis Nkane ingizo jipya ndani ya Yanga ameweka wazi kuwa muda utaongea na amefurahi kuweza kufunga bao la kwanza ndani ya kikosi hicho kwenye mchezo wa kwanza wa Kombe la Mapinduzi dhidi ya Taifa Jang’ombe. Yanga ilishinda mabao 2-0 katika mchezo uliochezwa Januari 5. Nkane ameibuka Yanga akitokea Biashara United.
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa mpango wa usajili upo na anahitaji kumpata mbadala wa Kibwana Shomari. Pendekezo lake ni kuwapata wazawa wenye vipaji ili waweze kukomaa zaidi kwa kuwa amewaona wengi na wanauwezo mkubwa wa kufanya mambo mazuri kwa ajili ya mashabiki na timu kiujumla.
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Alhamisi, mtaani nakala yake ni 500.
KATIKA michezo wa kwanza leo Yanga wameweza kuibuka na ushindj wa mabao 2-0 mbele ya Taifa Jang’ombe. Mabao ya Yanga yametupiwa na Heritier Makambo dakika ya 32 na lile la pili limepachikwa na Dennis Nkane. Ni bao la kwanza kwa Nkane baada ya kuibuka hapo akitokea kikosi cha Biashara United na amefunga bao hilo dakika…
MABINGWA watetezi wa Kombe la Mapinduzi Yanga wanakwenda mapumziko wakiwa mbele kwa bao moja kwa nunge. Dakika 45 zimekamilika na ubao unasoma Yanga 1-0 Taifa Jang’ombe. Bao la kuongoza limefungwa na Heritier Makambo dakika ya ya 32 akiwa nje ya 18. Pia nyota mpya wa Yanga Dennis Nkane ameanza kikosi cha kwanza leo Januari 5,2022…
SELEMAN Matola kocha msaidizi wa Simba amesema kuwa ushindi ambao wameupata leo ni furaha kwao na pongezi kwa wachezaji. Ushindi wa mabao 2-0 dhidi Selem View ambao walikwama kupiga shuti ambalo limelenga lango mbele ya Simba. Ni mabao ya Pape Sakho dakika ya 24 na liliweza kudumu mpaka dakika 45 za kipindi cha kwanza. Kipindi…
UWANJA wa Amaan kwa sasa ni mapumziko mchezo wa Kombe la Mapinduzi na timu zote zimeyeyusha dakika 45. Ubao unasoma Simba 1-0 Selem View na mashabiki wengi wamejitokeza kushuhudia mchezo huu. Ni bao la Pape Sakho aliyepachika bao hilo dakika ya 24 na kuifanya Simba kuwa mbele kwa bao hilo. Leo langoni kwa Simba ni…
AHMED Ally, Ofisa Habari wa Simba ameweka wazi kuwa malengo yake makubwa ni kuweza kuona timu hiyo inaweza kufanya vizuri zaidi kwenye ulimwengu wa mitandao ya kijamii licha ya kwamba kwa sasa inafanya vizuri zaidi pamoja na kuweza kuwazungumzia kwa ukaribu wachezaji wa timu hiyo ikiwa ni pamoja na Aishi Manula, Pape Sakho na Kibu…
KLABU ya Yanga leo Januari 5 imeingia makubaliano na Kampuni za KILINET na N-Cards kwa ajili ya kutengeneza kadi za kidigitali zitazokuwa zinatumiwa na Wanachama wa timu hiyo. Hiyo ni sehemu ya hatua za awali kwenye mfumo mpya wa uendeshaji ambapo kadi moja itauzwa shilingi 29,000. Kaimu Mtendaji Mkuu wa Yanga, Senzo Mbatha amesema kuwa…
PAMOJA na kuwepo na tetesi nyingi za kuachwa pale Yanga, kipa chaguo la pili Ramadhani Kabwili, amevunja ukimya kwa kusema yeye bado ni mali ya Wanajangwani hao na kwamba ameomba tu mapumziko kwa muda kisha atarudi kukiwasha kikosini hapo. Kabwili aliyejiunga na Yanga mwanzoni mwa msimu wa 2016/17 akiwa kinda kabla ya kupandishwa kikosi cha…