KOCHA YANGA AIPA ONYO SIMBA
KOCHA wa Yanga Princes Mohamed Hussein, ‘Mmachinga’ amewapa onyo Simba kuelekea mchezo wao wa kesho dhidi ya Jwaneng Galaxy kwa kuwataka kucheza kwa kujilinda na kusaka ushindi mapema ili kuongeza hali ya kujiamini. Akizungumza na Saleh Jembe, Mmachinga amesema kuwa ushindi wa ugenini ni ishara mbaya kwamba hata wageni wao wanaweza kufunga wakiwa nyumbani hivyo…