
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMAMOSI
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumamosi
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumamosi
BONGANI bondia aliyempiga Tonny Rashid ameweka wazi kwamba alimpa mtihani mpinzani wake hivyo amerudi tena kusahihisha mtihani ambao alimuachia kijana huyo.
BARBARA Gonzalez, Mtendaji Mkuu wa Simba amesema kuwa wapo tayari wa ajili ya mchezo wao dhidi ya RS Berkane ya Morocco unaoatarajiwa kuchezwa Jumapili na wanaamini kwamba watashinda. Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco, Februari 27 inakibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya RS Berkane kwenye mchezo wa hatua ya makundi wakiwa katika kundi…
HASSAN Bumbuli, Ofisa Habari wa Yanga ameweka wazi kwamba ushindi ambao wameupata mbele ya Mtibwa Sugar ni muhimu kwao na wameweza kupata ushindi huo mbele ya Uwanja wa Manungu ambao unatajwa kuwa ni machinjio ya Mtibwa. Yanga ilifunga mzunguko wa kwanza kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mtibwa Sugar na mabao yalifungwa na Said…
AISHI Manula, ‘Air Manula’ kipa wa Simba ni namba moja kwa makipa waliokaa langoni kwenye mechi zote 15 za mzunguko wa kwanza na kusepa na clean sheet, (cheza bila kufungwa) nyingi. Manula amekaa langoni kwenye mechi zote 15 ambazo Simba imecheza na amefungwa mabao 6 katika mechi hizo ambazo amekaa langoni. Katika mechi hizo ni…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Ijumaa
BAADA ya kukamilisha mzunguko wa kwanza wakiwa ni vinara na pointi zao 39 sasa wamebakiwa na mechi 6 ugenini na nne wanatarajiwa kuzicheza nje ya Dar. Katika mechi 15 mzunguko wa kwanza Yanga ilicheza mechi 9 ugenini na nyumbani ilicheza mechi 6, ilishinda mechi 12, sare 3 huku ikitupia jumla ya mabao 25. Mzunguko wa…
Majogoo watawika mbele ya Chelsea? Wikiendi ya kibabe inakuletea soka bomba kutoka ligi mbali mbali ulimwenguni. Mida ya ya kuchakata majamvi ya ushindi inaanza mapema kabisa, na Meridianbet wao wamekuhakikishia Odds kubwa mapema kabisa na machaguo lukuki. Wikiendi hii Chelsea anavaana uso kwa uso na majogoo wa Uingereza Liverpool kwenye fainali ya Carabao Cup. Pande…
MMOJA wa mashabiki wa Yanga, mwenye asili ya Kimasai anayefahamika kwa jina la Mauya mkazi wa Dakawa, amemzawadia ng’ombe mzima mshambuliaji wa Yanga Fiston Mayele. Mayele ni mtupiaji namba moja ndani ya Yanga akiwa na mabao 7 na kinara ni Relliats Lusajo ambaye ametupia kibindoni mabao 10. Ushindi wa mabao 2-0 waliopata jana mbele ya…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Alhamisi
UWANJA wa Manungu Complex mchezo umekamilika na ubao umesoma Mtibwa Sugar 0-2 Yanga. Ni dakika ya 45+5 bao hilo lilipachikwa na kuwafanya Mtibwa Sugar wasiwe na chaguo la kufanya. Mtupiaji wa bao la kuongoza ni Said Ntibanzonkiza ambaye ametumia pasi ya Feisal Salum. Hakuna timu iliyoonyeshwa kadi ya nyekundu huku timu zote mbili zikicheza kwa…
LEO Uwanja wa Manungu, Mtibwa Sugar ina kazi ya kusaka pointi 3 mbele ya Yanga ambao nao pia wanahitaji hizo pointi. Hiki hapa kikosi cha Yanga:- Diarra Djuma Farid Bangala Mwamnyeto Aucho Sure Boy Nkane Said Feisal Mayele Akiba Mshery Boxer Yassin Bacca Kaseke Ambundo Balama Mauya Makambo
HASSAN Bumbuli, Ofisa Habari wa Yanga,amesema kuwa Uwanja wa Manungu ambao unatarajiwa kutumika leo kwamchezo wao wa ligi dhidi ya Mtibwa Sugar kwao sio tatizo. Yanga ambao ni vinara wa ligi wakiwa na pointi 36, wanatarajia kukutana na Mtibwa Sugar iliyokusanya pointi 12 na zote zimecheza mechi 14. Akizungumza na Championi Jumatano, Bumbuli alisema kila mechi wanazocheza kwao ni muhimu bila kujali wanacheza wapi kwa…
LEO Februari 23, Uwanja wa Manungu unatarajiwa kuchezwa mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Mtibwa Sugar v Yanga majira ya saa 10:00. Timu hizo zimekuwa na matokeo ya kushangaza kila zinapokutana uwanjani hivyo leo dakika 90 zitaamua nani atakuwa nani. Haya hapa ni matokeo ya mechi za hivi karibuni walipokutana kwenye ligi:- Yanga imeshinda…
MWINYI Zahera, Mkurugenzi wa benchi la Ufundi kwa Yanga upande wa Vijana amesema kuwa mchezo wa kesho kati ya Mtibwa Sugar dhidi ya Yanga utakuwa ni mgumu kwa timu zote kulingana na plan, (mpango) wa timu huku akitaja kuwa maandalizi ya kila timu yapo tofauti. Ameweka wazi kwamba wachezaji wote wa Yanga wanajua kwamba mchezo…
NYOTA wa zamani wa kikosi cha Yanga, Jerry Tegete ameweka wazi kwamba miongoni mwa timu ambazo zilikuwa zinahitaji saini yake ni pamoja na Simba lakini ilikwama akaweza kuibukia Yanga.
HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa kuelekea kwenye mchezo wao wa ligi dhidi ya Mtibwa Sugar unaotarajiwa kuchezwa kesho Februari 23, Uwanja wa Manungu wapo tayari na benchi la ufundi linahitaji ushindi. Manara ameweka wazi kwamba Mtibwa Sugar ilishawahi kuwa bingwa wa ligi mara mbili mfululizo na uzoefu katika kushiriki mashindano makubwa na…