>

AZAM FC KAMILI KUWAVAA WAARABU WA MISRI LEO

GEORGE Lwandamina, Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa vijana wake wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo Oktoba 23 dhidi ya Waarabu wa Misri, Pyramids FC ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Azam FC, Zakaria Thabit amesema kuwa vijana wapo tayari kwa ajili ya kupata ushindi kwenye…

Read More

KOCHA YANGA AIPA ONYO SIMBA

KOCHA wa Yanga Princes Mohamed Hussein, ‘Mmachinga’ amewapa onyo Simba kuelekea mchezo wao wa kesho dhidi ya Jwaneng Galaxy kwa kuwataka kucheza kwa kujilinda na kusaka ushindi mapema ili kuongeza hali ya kujiamini. Akizungumza na Saleh Jembe, Mmachinga amesema kuwa ushindi wa ugenini ni ishara mbaya kwamba hata wageni wao wanaweza kufunga wakiwa nyumbani hivyo…

Read More

SIMBA YASAHAU MATOKEO YA BOTSWANA,KAZI KESHO

SHOMARI Kapombe, beki wa Klabu ya Simba ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy ya Botswana huku wakiwa wamesahau matokeo ya mchezo wao uliochezwa nchini Botswana. Oktoba 17 kikosi hicho kiliweza kushinda mchezo wa mtoano jambo ambalo linawapa nguvu ya kujiamini kuelekea kwenye mchezo…

Read More

BONGO ZOZO AMPA TUZO YAKE HAJI MANARA

BONGO Zozo amesema kuwa ingekuwa ni suala la yeye kuchagua nani angempa tuzo ambayo ameipokea katika kipengele cha Mhamasishaji Bora angempa Haji Manara. Kwenye tuzo za Shirikisho la Soka Tanzania,(TFF) zilizopewa jina la usiku wa Tuzo za TFF 2021 Tuzo ya Mhamasishaji Bora ilikwenda kwa Nick Leonard, ‘Bongo Zozo’. Bongo Zozo amebainisha kuwa hakutarajia kutwaa…

Read More

FEISAL:SUTI YANGU MBONA IPO FRESH,MWAKALEBELA ATAJWA

KIUNGO wa Yanga, fundi wa mipira migumu inayowashinda makipa Bongo akiwa nje ya 18, mzawa Feisal Salum amesema kuwa suti yake aliyotupia ni kali huku watu wakizusha kwamba ameazima kwa Mwakalebela, (Fredrick). Heshima kubwa ilikuwa kutoka kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ambaye ni mwanafamilia, mzalendo anayependa michezo alikuwepo kwenye usiku wa tuzo hizo na alipata…

Read More

SIMBA YAWAVUTIA KASI WABOTSWANA

KIKOSI cha Simba leo Oktoba 22 kimeendelea kuivutia kasi timu ya Jwaneng Galaxy ya Botswana kuelekea kwenye mchezo wao wa marudio wa Ligi ya Mabingwa Afrika unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Oktoba 24. Miongoni mwa nyota ambao walikuwepo kwenye mazoezi ya leo yaliyofanyika Uwanja wa Boko Veterani, Bunju ni pamoja na kiungo mkata umeme mpaka…

Read More

TAMBWE APEWA TUZO YA UFUNGAJI BORA

RAMADHAN Nswazurimo, Kocha Mkuu wa Klabu ya DTB inayoshiriki Championship ameweka wazi kuwa mshambuliaji wake Amisi Tambwe anaweza kutwaa tuzo ya ufungaji bora. Tambwe kwa sasa anakimbiza kwa kucheka na nyavu akiwa na mabao sita, aliweza kuzifunga African Lyon mabao manne,Green Warrior bao moja na bao lake la sita aliwatungua African Sports. Akizungumza na Saleh…

Read More

REKODI ZA AIR MANULA BONGO ZIPO NAMNA HII

AISHI Manula, anapenda kujiita Air Manula kipa namba moja wa Simba amezidi kuwa bora langoni ambapo mpaka sasa kwa rekodi zake hakuna kipa ndani ya Ligi Kuu Bara ambaye ameweza kumfikia na ni yeye amesepa na tuzo yake ya kipa bora kwa msimu wa 2020/21. Aliweza kuwashinda Jeremiah Kisubi ambaye alikuwa Tanzania Prisons na sasa…

Read More

KIKOSI BORA CHA LIGI YA WANAWAKE TANZANIA

UTOAJI wa tuzo umefanyika Oktoba 21 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere uliopo Posta, Dar es salaam.Tuzo hizo ziligawanyika katika makundi makuu matatu ambayo ni ligi kuu, Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC), maarufu kama FA na Ligi ya Wanawake. Kutokana na timu ya taifa ya Wanawake kuwa na majukumu ya taifa wengi…

Read More

FEI TOTO ATOA SIRI YA MABAO YA KIDEONI

KIUNGO mzawa wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’, amebainisha kuwa amezoea kufunga mabao magumu jambo ambalo halikumpa shida kuwatungua KMC.   Nyota huyo ambaye juzi Jumanne alifunga bao la kideoni nje ya 18 na kutoa asisti katika ushindi walioupata Yanga wa mabao 2-0, amesema ataendelea kufunga kwa staili hiyo kila akipata nafasi.   Akizungumza na…

Read More

KIKOSI BORA CHA LIGI YA WANAUME

Utoaji wa tuzo umefanyika Oktoba 21 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere uliopo Posta, Dar es salaam.Tuzo hizo ziligawanyika katika makundi makuu matatu ambayo ni ligi kuu, Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC), maarufu kama FA na Ligi ya Wanawake. Kikosi bora cha Ligi ya Wanaume 1. Aishi Manula 2. Shomari Kapombe 3….

Read More