NENO LA PABLO KUHUSU MCHEZO WA TAIFA STARS V DR CONGO
PABLO Franco, Kocha Mpya wa Simba ameweka wazi kuwa mchezo uliowaachia maumivu Watanzania wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia ulikuwa ni wa viwango vikubwa. Novemba 11, jana Uwanja wa Mkapa, Stars ilishuhudia Uwanja wa Mkapa ukisoma Tanzania 0-3 DR Congo ulikuwa ni mchezo wenye ushindani mkubwa na umewatoa kwenye reli Stars. Katika mchezo huo moja…