SIMBA:WAPINZANI WANA WASIWASI KUPANGWA NASI KIMATAIFA

PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wapinzani wao kimataifa katika hatua ya robo fainali ambao ni Orlando Pirates wana wasiwasi kutokana na kupangwa na timu bora. Jana Aprili 5 nchini Misri ni droo ya mechi za kimataifa ambapo Simba imepangwa kucheza na Orlando Pirates ya Afrika Kusini. Simba iliweza kutinga hatua ya robo…

Read More

KOCHA AZAM FC AKUBALI MUZIKI WA YANGA

KOCHA Mkuu wa Klabu ya Azam Abdi Hamid Moallin amekubali ubora wa kikosi cha Yanga na kuweka wazi kwamba anaandaa mbinu ili kuwakabili vinara wa Ligi Kuu Bara. Moallin amesema kuwa anatambua kwamba wameachwa kwa pointi nyingi na wapinzani hao ambao wanaongoza ligi kwa wakati huu. “Ninatambua kwamba Yanga ni timu imara na inaongoza ligi…

Read More

SIMBA NDANI YA TANGA,MKWAKWANI KUKIWASHA

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara Simba baada ya kumaliza mchezo wao wa kimataifa dhidi ya USGN kituo kinachofuata ni Aprili 7 dhidi ya Coastal Union. Kwenye mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Mkapa Simba ilifanikiwa kuwatoa kimasomaso Watanzania na Afrika Mashariki kiujumla kwa kuweza kutimiza msemo wa ‘Kwa Mkapa Hatoki Mtu’. Mchezo huu wa Alhamisi…

Read More

MBEYA KWANZA WANA REKODI YAO BONGO

KIKOSI cha Mbeya Kwanza kinashikilia rekodi ya kuwa timu namba moja iliyoshinda mechi chache ndani ya ligi kwa msimu wa 2021/22. Ikiwa imecheza mechi 18 ni mechi mbili pekee imeshinda ambazo ni dakika 180 huku ikiwa imeambulia kichapo kwenye mechi 8. Sare imeambulia kwenye mechi 8 na kibindoni ina pointi 14 ikiwa nafasi ya 16…

Read More

SIMBA ROBO FAINALI KUKIPIGA NA ORLANDO PIRATES

BAADA ya kutinga hatua ya robo fainali Simba imepangwa kukutana na Orlando Pirates ya Afrika Kusini. Simba inayonolewa na Kocha Mkuu,Pablo Franco ina kibarua cha kuanza kusaka ushindi Uwanja wa Mkapa, Aprili 17 mchezo ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Kete ya mwisho itakayoamua Simba kutinga hatua ya nusu fainali itakuwa ni Aprili 24,Uwanja wa…

Read More

NABI HUYO MPANGO WAKE HUU HAPA

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa anahitaji kushinda kwenye mechi zake zote ikiwa ni pamoja na dabi mbili mbele ya Azam FC na Simba. Aprili 6, Yanga itamenyana na Azam FC Uwanja wa Azam Complex kisha itakuwa na kibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya Simba Aprili 30. Akizungumza na Spoti Xtra,Nabi…

Read More

KIUNGO HUYU WA KAZI AINGIA ANGA ZA VINARA WA LIGI

RASHID Nortey raia wa Ghana anatajwa kuwa kwenye hesabu za kusajiliwa na Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Yanga ni vinara wa ligi wakiwa na pointi 48 aada ya kucheza mechi 18 msimu wa 2021/22. Nyota huyo anacheza katika Klabu ya Medeama inayoshiriki Ligi Kuu ya Ghana. Rekodi zinaonyesha kuwa ni moja ya kiungo…

Read More

YANGA WANAHESABU NDEFU KWA AZAM FC

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa upo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa kesho dhidi ya Azam FC unaoatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex. Kwa sasa Yanga inafanya maandalizi ya mwisho kabla ya kumenyana na Azam FC mchezo wa mzunguko wa pili kwa msimu wa 2021/22. Haji Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa…

Read More

BANDA APEWA MILIONI SIMBA

PETER Banda kiungo mshambuliaji wa Simba amesema kuwa ni jambo kubwa kwake kuweza kuchaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Machi. Banda ni Mchezaji Bora wa Mashabiki (Emirate Aluminium Simba ACP Fans Player of the Month) na amepewa zawadi yake baada ya kuwashinda Shomari Kapombe na Pape Sakho ambao aliingia nao fainali. Banda amepewa zawadi ya…

Read More

VIDEO:SHABIKI SIMBA ALITAJA BENCHI LA UFUNDI,YANGA

SHABIKI wa Simba,Issa Azam amesema kuwa ushindi walioupata ni furaha kwao kwa kuwa walikuwa wanahesabu mabao tu mbele ya USGN huku wakirejesha shukrani kwa benchi la ufundi,wachezaji ambao waliweza kupata ushindi wa mabao 4-0. Ameongeza kwa kusema Watanzania wote wanastahili shukrani kwa jambo ambalo walifanya usiku wa kuamkia leo Aprili 4,2022.

Read More

VIDEO:PABLO AWASHURUKU MASHABIKI USHINDI WA 4G KIMATAIFA

PABLO Franco,Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa ni pongezi kubwa wanastahili wachezaji,mashabiki pamoja na uongozi kwa kuweza kushuhudia timu hiyo ikipata ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya USGN na kuweza kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho usiku wa kuamkia leo Aprili 4,2022. Pia Pablo amesema kuwa wapinzani wao walikuwa imara kwa kuwa…

Read More