YANGA WANATAKA YOTE KWA MPIGO, KUKIPIGA LEO NA GEITA

UONGOZI wa Yanga SC, umefunguka kuwa, unayahitaji makombe yote wanayoshiriki msimu huu ambayo ni Ligi Kuu Bara pamoja na Kombe la Shirikiso la Azam Sports (ASFC). Leo Jumapili, Yanga wanatarajiwa kukipiga dhidi ya Geita katika mchezo wa robo fainali ya ASFC, unaotarajiwa kufanyika Uwanja wa Mkapa, Dar. Akizugumza na Spoti Xtra, Mjumbe wa Kamati ya…

Read More

MAYANGA V KAGERE KWENYE VITA YAO LEO

LEO ni mwendo wa msako wa rekodi nyingine kwa nyota wawili ambao ni vinara wa utupiaji kwenye timu zao kati ya Vitalisi Mayanga wa Polisi Tanzania na Meddie Kagere wa Simba. Mayanga ni nyota wa kwanza kusepa na tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Septemba huku Kagere akiwa hajasepa na tuzo kwa msimu huu kati…

Read More

YANGA V GEITA KUKIWASHA KWA MKAPA

UWANJA wa Mkapa leo Aprili 10 unatarajiwa kuchezwa mchezo wa Kombe la Shirikisho kati ya Yanga dhidi ya Geita Gold. Huu ni mchezo wa hatua ya robo fainali na mshindi anatinga hatua ya nusu fainali ili kuweza kusaka timu itakayotinga hatua ya fainali. Bingwa mtetezi ni Simba akiwa naye yupo kwenye hatua ya robo fainali…

Read More

KAGERE,MUGALU WAFUNGIWA KAZI SIMBA

SELEMAN Matola, Kocha Msaidizi wa Simba, amesema wanayafanyia kazi makosa ya wachezaji wao ikiwa ni pamoja na tatizo la umaliziaji wa nafasi wanazozipata. Wakati Simba ikishinda 1-2 dhidi ya Coastal Union Alhamisi wiki hii, wachezaji wa timu hiyo walikosa nafasi 10 za kufunga akiwemo Chris Mugalu, Meddie Kagere, Bernard Morrison na Clatous Chama. Mabingwa hao…

Read More

SIMBA YATAMBA KUTINGA HATUA YA NUSU FAINALI

UONGOZI wa kikosi cha Simba, umetamba kuwa walikuwa tayari wamejiandaa kukutana na mpinzani yeyote kwenye Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika na wanaamini wana uwezo wa kuwaondoa Orlando Pirates ya Afrika Kusini na kutinga nusu fainali ya michuano hiyo. Katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika Simba wamefuzu hatua ya robo fainali baada ya…

Read More

UBINGWA YANGA MWANGA 85 ASILIMIA

BAADA ya ushindi wa mabao 2-1 ambao Yanga wameupata dhidi ya Azam FC Aprili 6, sasa kocha wa timu hiyo, Nassredine Nabi, anaamini wana asilimia 85 za kutwaa ubingwa msimu huu wa 2021/22. Lakini amewasisitiza wachezaji wake waendelee kupambana ili kuhakikisha wanakamilisha asilimia zote za ubingwa msimu huu. Yanga katika mchezo wa mzunguko wa pili…

Read More

MORRISON NA SAKHO WAWATISHA WASAUZI

UONGOZI wa Orlando Pirates, umewataja wachezaji kama Bernard Morrison na Pape Ousmane Sakho kuwa ni wachezaji wa kuchungwa katika mchezo wao kutokana na ubora wao waliouonyesha katika mchezo uliopita ambapo Simba waliibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya USGN ya nchini Niger. Orlando Pirates ambao wamepangwa kucheza na Simba katika hatua ya robo fainali…

Read More

DJUMA APEWA KAZI NYINGINE YA MAYELE NA NTIBANZOKIZA

BEKI mkongwe wa Yanga, Mkongomani, Shaaban Djuma, amepewa majukumu mapya ya kupiga penalti zote itakazozipata timu hiyo inayowaniwa ubingwa wa Ligi Kuu Bara. Aprili 6,2022 Djuma alipiga penalti na kufunga bao la kwanza dhidi ya Azam katika ushindi wa 2-1, Chamazi. Hiyo ni penalti ya pili kwa beki huyo kuipiga katika msimu huu tangu ajiunge…

Read More

SIMBA KUWA TIMU YA KWANZA KUTUMIA VAR BONGO

WAWAKILISHI wa Tanzania Simba kwenye mashindano ya kimataifa wanakwenda kuandika rekodi ya kuwa timu ya kwanza kutumia mfumo wa msaada wa VAR kwenye Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam. Tokea VAR ianze kutumika katika mchezo wa soka duniani, haijawahi kutumika kwenye Uwanja wowote nchini na Simba iliyofikia hatua ya robo fainali Kombe la Shirikisho…

Read More

YANGA YAPANIA KUSEPA NA UBINGWA

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa mpango kazi wao namba moja ni kuweza kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara ulio mikononi mwa Simba. Kwenye msimamo, Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Nasreddine Nabi ni namba moja ikiwa na pointi 51 baada ya kucheza mechi 19 ndani ya Ligi Kuu Bara. Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa Habari…

Read More