
HAJI:KUPATA SARE MFULULIZO KULITUPA SOMO
HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa sare tatu mfululizo ambazo walizipata ziliwapa presha kidogo jambo ambalo liliweza kuwafanya wajipange kwa mara nyingine. Kwenye mechi tatu ambazo ni dk 270 Yanga walikwama kushinda zaidi ya kuambulia sare mazima kwenye msako wa pointi 9 waliambulia pointi tatu. Ilikuwa mbele ya Yanga, Ruvu Shooting na Tanzania…