
VIDEO: HII HAPA MBINU YA DODOMA JIJI KUIMALIZA SIMBA KWA MKAPA
KOCHA msaidizi wa Dodoma Jiji, Mohamed ameweka wazi kuwa watatumia mechi zilizopita za Simba kuikabili timu hiyo kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji
KOCHA msaidizi wa Dodoma Jiji, Mohamed ameweka wazi kuwa watatumia mechi zilizopita za Simba kuikabili timu hiyo kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji
DAKIKA 180 ambazo Simba imezitumia kwenye mechi za kirafiki Zanzibar zimewapa nguvu ya kupambana dhidi ya Dodoma Jiji. Leo kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda kitatupa kete yake kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Dodoma Jiji unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Mgunda amesema kuwa mechi mbili ambazo wamecheza Zanzibar zinawapa nguvu kwa ajili…
KIUNGO wa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi raia wa Tunisia, Stephane Aziz KI anatarajiwa kuukosa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ruvu Shooting. Nyota huyo hayupo kambini na wachezaji wengine ambao wanajiaandaa na mechi hizo kutokana na kuwa kwenye majukumu ya timu ya taifa ya Burkina Faso. Anatarajiwa kuripoti kambini siku ya…
Hauhitaji kuwa gwiji wa ubashiri kushinda beti! Watu wengi Duniani wamekuwa wakipenda kubashiri mechi mbalimbali na kujiweka katika nafasi ya kushinda pesa kubwa, ambazo wakati mwingine hubadilisha kabisa maisha yao. Lakini je ulishawahi kubashiri kwa kutumia kitochi au bila bando? Tunaweza kusema kwa simu ya batani, kwa kitochi, au kiswaswadu uukiwa huru bila kutumia Intaneti? …
MASTAA watatu wa Simba kesho wanatarajia kuukosa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa kwa mujibu wa Kocha Msaidizi wa Simba, Seleman Matola ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo huo licha ya hao wachezaji kukosekana
MOHAMED Muya, Kocha Msaidizi wa Dodoma Jiji amebainisha kuwa wapo tayari kwa mchezo wa kesho dhidi ya Simba unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa
MOHAMED Hussein, nahodha msaidizi wa Simba amesema wapo tayari kwa mchezo wa kesho dhidi ya Dodoma Jiji. Huo ni mchezo wa Ligi Kuu Bara ambao unatarajiwa kuchezwa saa 1:00 usiku Uwanja wa Mkapa. Beki huyo amebainisha kwamba wanatambua ukubwa wa Dodoma Jiji kweye ushindani hivyo watajitahidi kutafuta ushindi. “Tupo tayari kwa ajili ya mchezo wetu…
KOCHA Mkuu wa Al Hilal, Ibenge ameshtuka kuhusu rekodi yake ya kushindwa kupata matokeo akiwa ardhi ya Tanzania jambo ambalo linamfanya ajipage kuikabili Yanga, Oktoba 8,2022 mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika
MICHEZO mitatu ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23 itapangiwa tarehe mpya tofauti na ile ya awali ambayo imepangwa. Kwa mujibu wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara, (TPLB) imeeleza kuwa imeamua kufanya hivyo kuzipa muda timu shiriki kimataifa kufanya maandalizi. Mechi hizo ilikuwa ni pamoja na ule mchezo wa Singida Big Stars dhidi ya…
MATHEO Anthony, mzawa anayekipiga ndani ya KMC akiwa na tuzo yake ya mchezaji bora wa mwezi ndani ya KMC kwa Septemba anatarajiwa kukutana na staa namba moja wa Namungo Relliats Lusajo. Lusajo yeye ana tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Agosti ndani ya ligi na ni namba moja kwa utupiaji akiwa na mabao matano msimu…
AZAM FC imeyeyusha pointi tatu kwa mara ya kwanza msimu wa 2022/23 kwa kukubali kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Tanzania Prisons. Mchezo huo wa ligi ulichezwa Uwanja wa Sokoine ambapo dakika 45 za mwanzo ngoma ilikuwa ngumu kwa timu zote mbili. Bao la ushindi lilifungwa na mshambuliaji Jeremia Juma ambaye alitumia pasi ya Ezikiel…
BONDIA Mtanzania Ibra class amefanikiwa kumchapa bondia Alan Pina anayetoka Mexico kwenye Pambano la raundi 12. Pambano hilo lilikuwa na vuta nikuvute nyingi lakini halikuwa la ubingwa lililofanyika Mlimani City jijini Dar es salaam. Tangu Mwanzo wa pambano hilo Pina alionyesha upinzani mkali kwa Ibrahimu Class mpaka ilipofika raundi ya 9 na kumfanya Mtanzania huyo ashinde kwa…
UZI mpya wa Simba baada ya kuzinduliwa Agosti 7,2022 ulikuwa adimu kupatikana kutokana na bidhaa hiyo kuletwa kwa namba ndogo na iliwafanya wauzaji kuuza jezi moja kwa mtu mmoja pekee, lakini kwa sasa bidhaa hiyo inapatikana madukani
WANIGERIA wawachongea Al Hilal Yanga, winga Mghana ampa jeuri bosi Simba ndani ya Championi Jumamosi.
SHABIKI wa Yanga ameabinisha kuwa hakutarajia kuhusu ujio wa Ally Kamwe ndani ya Yanga na amefurahi kuskia kwamba amepewa nafasi hiyo, kuhusu Priva akiwa na jezi za Simba wamebainisha kuwa kijana huyo ni msomi na mwanasheria ana jezi nyingi amazo amevaa ikiwa ni pamoja na Coastal Union haina maana kwamba yeye ni Simba lialia
JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amebainisha kuwa amefanya mabadiliko kwenye safu ya ulinzi ili kupata kikosi cha kwanza kwa kuwa bado hajakipata
ALLY Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga ameweka wazi kuwa Yanga ni kubwa kuliko Al Hilal