
CHAMA LA SIMBA CAF HILI HAPA, NABI ACHARUKA
CHAMA la Simba CAF hili hapa, Nabi acharuka, atembeza mkwara kambini Yanga ndani ya Championi Ijumaa
CHAMA la Simba CAF hili hapa, Nabi acharuka, atembeza mkwara kambini Yanga ndani ya Championi Ijumaa
TAYARI makundi ya michuano ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho Afrika yamewekwa hadharani huku wawakilishi wetu Simba na Yanga wakiwafahamu wapinzani wao ambao watachuana nao kuisaka hatua ya robo fainali ya mchuano hiyo. Simba wamepangwa na timu za Horoya, Raja Casablanca na Vipers huku Yanga wakiwa kundi moja na miamba Real Bamako, TP…
KALI Ongala, Kaimu Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa wamejiandaa vizuri kwa ajili ya mchezo wa leo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar. Azam FC inaanza leo mzunguko wa pili baada ya kufunga mzunguko wa kwanza na rekodi ya kushinda mechi 8 mfululizo chini ya Ongala. Kwenye msako wa pointi 24, Ongala…
BAADA ya kuwaaga mabosi wake Mtibwa Sugar beki wa kazi Nickson Kibabage anatajwa kuwa kwenye rada za kuibukia ndani ya Singida Big Stars. Nyota huyo aliwaaga wachezaji na viongozi wake rasmi Desemba 13 kwa kueleza kuwa anashukuru kwa muda wote ambao alikuwa ndani ya timu hiyo. Pia alikuwa anavaa kitambaa cha unahodha jambo ambalo liliwafanya…
ISHU ya Manzoki kutua Simba ipo hivi, mambo matatu yatajwa
SIMBA SC yapewa winga wa Ubelgiji, Yanga SC yaitisha TP Mazembe ndani ya Spoti Xtra Alhamisi
Promosheni ya Expanse Kasino Kama kawaida wakali wa kasino BOMBA za mtandaoni kampuni ya Meridianbet kwa kushirikiana na Expanse studio wanakuletea mpaka kiganjani mwako Promosheni ya Expanse kasino itakayoanza kutimua vumbi Disemba Tarehe 19, 2022 mpaka Disemba 25. 2022, uwanja wa Promosheni hii ni tovuti ya www.meridianbet.co.tz pamoja APP ya simu. Hii sio ya kukosa…
KOCHA msaidizi wa Kurugenzi FC, Bernard Magogo amesema kuwa sababu kubwa iliyowavuruga wachezaji wake wakapoteza kwa kufungwa mabao 8-0 ni safu ya kiungo ya Yanga iliyokuwa inaongozwa na Aziz KI. Desemba 11,2022 Kurugenzi FC ilikubali kupoteza mchezo wa raundi ya Pili jambo lililoifanya ikafungashiwa virago na mabingwa watetezi. Magogo amesema kuwa walikuwa na mbinu walizopanga…
KWENYE ulimwengu wa mpira kwa sasa kinachozungumzwa ni kuhusu makundi ambayo yamepangwa huko Misri ambapo wawakilishi wa Tanzania kila mmoja ameona atakayecheza naye. Simba yupo kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika na Yanga yupo kwenye Kombe la Shirikisho Afrika, hapa kazi ipo hasa ukizingatia inapokuja suala la mashindano ya kimataifa ni lazima kila mmoja afanye kweli….
KAY Mziwanda afunguka ishu ya Manzoki/Ntibanzokiza
YANGA:Haponi mtu, Barbara apewa mtihani mzito Simba ndani ya Championi Jumatano.
Kama ilivyoada kwa Meridianbet kukuletea michezo yenye bonasi kubwa, Odds kubwa na Promosheni za kumwaga. Wiki hii kwenye kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inakuletea mchezo wa kukata na shoka na utakao kutengenezea faida uitwao Pumpkin Patch. Pumpkin Patch ni mchezo wenye maudhui ya siku ya Halloween uliotengenezwa na watengenezaji maarufu wa michezo ya kasino Habanero….
UTEPE:Makundi CAF balaa/Yanga/Simba/ Morocco kutinga fainali/Ronaldo Neymar kilio
HUU hapa ushauri kwa TFF kutoka kwa Kurugenzi iliyopoteza kwa 8-0
JEMBE azungumzia ishu ya makundi, amvaa Barbara/Manzoki, Saido ndani Simba
KLABU ya Yanga kwenye hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika imedondokea kundi D ambalo lina timu nne ikiwa ni pamoja na wawakilishi hawa kutoka Tanzania. Timu nyingine ambazo zipo kwenye Kundi D ni TP Mazembe, US Monastir na Real Bamako. Ikumbukwe kwamba US Monastri wao waliwafungashia virago RS Berkane huku Mazembe wao waliwahi kukutana…
KITASA hiki cha kazi kutoka DR Congo kupewa mkataba Simba