
KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA KMC
KIKOSI cha Simba dhidi ya KMC, mchezo wa Ligi Kuu Bara Uwanja wa Kirumba Aishi Manula Shomari Kapombe Mohamed Hussein Onyango Inonga Kanoute Chama Mzamiru Bocco Sakho Okra
KIKOSI cha Simba dhidi ya KMC, mchezo wa Ligi Kuu Bara Uwanja wa Kirumba Aishi Manula Shomari Kapombe Mohamed Hussein Onyango Inonga Kanoute Chama Mzamiru Bocco Sakho Okra
KALI Ongala, Kaimu Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa walikwama kushinda mbele ya Yanga kutokana na kushindwa kuwa makini. Azam FC jana Desemba 25 ilinyooshwa mbele ya Yanga kwenye mchezo wa ligi na kuyeyusha mazima pointi tatu. aada ya dakika 90 ubao ulisoma Azam FC 2-3 Yanga ambapo bao la ushindi lilifungwa na Farid…
KUELEKEA kwenye uchaguzi mkuu wa Simba unaotarajiwa kufanyika Januari 29,2023 kamati ya uchaguzi jana Desemba 25,2022 imetoa orodha ya wagombea 14 waliopitishwa kuwania nafasi mbalimbali. Kamati hiyo inayoongozwa na Mwenyekiti Boniface Lihamwike imebainisha kuwa majina ya waliopitishwa ni wale ambao wamekidhi vigezo huku idadi ya wanaowania nafasi ya mwenyekiti ikiwa na wagombea wawili, 12 kwa…
MASHABIKI Yanga walivamia gari Azam, hawamtaki Feisal
ZAWADI ya Chritmas imetolewa kwa mashabiki wa Yanga baada ya timu hiyo kutoka nyuma ilipoanza kufungwa na Azam FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara, Uwanja wa Mkapa na mwisho ukasoma Azam FC 2-3 Yanga. Ni Abdul Seleman, ‘Sopu’ alianza kumtungua kipa namba moja wa Yanga, Djigui Diarra dakika ya 27 akitumia pasi ya Prince…
MABAO 11 ya Simba leo yanatarajiwa kukosekana uwanjani kutokana na matatizo ya wachezaji hao. Ni Moses Phiri ambaye ni mshambuliaji namba moja akiwa ametupia mabao 10 na Peter Banda yeye ametupia bao moja. Mastaa hawa wote hawatakuwa kwenye mchezo wa leo dhidi ya KMC kwa kuwa hawapo fiti jambo litakalowafanya wakosakane kwenye mchezo huo. Ikumbukwe…
Wakati ukimalizia kula nyama na pilau la sikukuu ya Krismasi, itakuwa siku nzuri sana kwako mpenzi wa soka pale ambapo utafungua boksi la zawadi kutoka Meridianbet likiwa na Odds Bombaa!! Kwenye mechi zote za EPL kuanzia leo 26 Desemba 2022. Ni Chelsea, Arsenal, Manchester United Man City, Newcastle, Tottenham zitakuwa dimbani. Odds za Meridianbet zikoje?…
DAKIKA zake 71 zilitosha kufanya ubao wa Uwanja wa Mkapa ukasoma Azam FC 2-3 Yanga. Ni Abdul Seleman, ‘Sopu’ nyota wa Azam FC alikuwa kwenye ubora lakini timu yake ya Azam FC imetunguliwa ikiwa nyumbani na kuyeyusha pointi tatu mazima. Mabao ya Yanga yalifungwa na Fiston Mayele dakika ya 31 na Aziz KI dakika ya…
MOJA ya sehemu ambazo Azam FC wanapaswa kuboresha pia kwa sasa kwenye usajili wa dirisha dogo ni upande wa mlinda mlango kutokana na makosa mengi anayoyafanya akiwa langoni. Weka kando mechi ya leo dhidi ya Yanga ambayo amefungwa mabao mawili ndani ya dakika mbili kwenye mchezo dhidi ya Coastal Union aliruhusu mabao ambayo yaliipa tabu…
NYOTA Abdul Seleman,’Sopu’ kiungo wa Azam FC ameanza kikosi cha kwanza kwenye mchezo wa leo Desemba 25,2022 dhidi ya Yanga. Ikumbukwe kwamba alipokuwa Coastal Union Sopu alifunga hat trick kwenye mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Yanga jambo lililowavutia mabosi wa Azam FC. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa ukisubiriwa kwa…
KIKOSI cha Yanga dhidi ya Azam FC hiki hapa ambapo kiungo wao Feisal Salum hayupo kikosi cha kwanza wala bench:- Diarra Djigui Kibwana Shomari Joyce Lomalisa Yannick Bangala Dickson Job Khalid Aucho Jesus Moloko Sure Boy Fiston Mayele Aziz KI Morrison
CEDRICK Kaze, kocha msaidizi wa Yanga amesema kuwa mchezo wao dhidi ya Azam FC utakuwa mgumu lakini wamefanyia kazi makosa waliyofanya kwenye mzunguko wa kwanza hasa katika mipira ya adhabu. Dakika 90 zitatoa majibu kwenye mchezo wa leo ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa timu hizo mbli. Kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza uliochezwa…
KABLA ya mabox kuanza kufunguliwa tayari Ihefu wameshakamilisha kutoa zawadi yao kwa mashabiki zao. Ni msimu wa sikukuu wa Christmas na Mwaka Mpya 2023 pointi tatu waliziweka kibindoni na kuwapa zawadi ya furaha mashabiki zao. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Highland Estate, Septemba 24 ulisoma Ihefu 3-1 Mtibwa Sugar. Mabao kwenye mchezo…
KINARA wa pasi za mwisho ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara, Clatous Chama ana hatari kila baada ya dakika 104 akiwa uwanjani. Ni mabao matatu katupia kibindoni akiwa ametoa jumla ya pasi 9 anafuatiwa na Ayoub Lyanga wa Azam FC ambaye ametoa pasi 7 na katupia bao moja. Simba ikiwa imetupia mabao 37 baada ya…
BENCHI la ufundi la Yanga limeweka wazi kuwa wachezaji wao wote ikiwa ni pamoja na Fiston Mayele mwenye mabao 13 na pasi moja, kiungo Aziz KI mwenye pasi tatu za mabao na mawili wanaandaliwa kuwakabili Azam FC. Mbali na hao pia kwenye safu ya ulinzi Yannick Bangala mwenye mabao mawili, Dickson Job ni miongoni mwa…
FEI Toto:Kwaherini Yanga SC, Merry Chritmas, ndani ya Spoti Xtra Jumapili