ATEBA NA KAPOMBE WANA JAMBO LAO

LEONEL Ateba mshambuliaji wa Simba amejenga ushikaji mkubwa na mwamba Shomari Kapombe kwenye anga la kimataifa kutokana na kutumia kwa umakini pasi ambazo zinatoka kwenye miguu ya mwamba huyo. Ipo wazi kwamba Simba katika anga la kimataifa baada ya kucheza mechi sita kwenye hatua ya makundi ni mabao 8 safu ya ushambuliaji imefunga kinara wa…

Read More

YANGA KAMILI GADO KUWAKABILI KAGERA SUGAR

WALTER Harrison, Meneja wa Yanga amesema kuwa maandalizi kuelekea mchezo wao wa Kagera Sugar unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC, Complex yapo tayari na wanaendelea kufanya kwa umakini mkubwa. Huo utakuwa ni mchezo wa pili kwa wababe hawa kukutana ndani ya ligi kwa kuwa katika mzunguko wa kwanza kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Kaitaba baada ya…

Read More

SIMBA YAIPIGIA HESABU HIZI TABORA UNITED

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Awesu Awesu amesema kuwa wanatambua mchezo wao dhidi ya Tabora United utakuwa na ushindani mkubwa lakini watacheza kama fainali kupata ushindi. Kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids baada ya kucheza mechi 15 za ligi ni pointi 40 kimekusanya kibindoni huku kikipoteza mchezo mmoja ilikuwa dhidi ya Yanga uliochezwa…

Read More

MSAADA WA MASHUKA WATOLEWA ZAHANATI YA ALIMAUA

Kampuni ya Meridianbet, kwa mara nyingine tena, imeonyesha dhamira yake ya kusaidia jamii kupitia mchango mkubwa kwa Zahanati ya Alimaua ambapo safari hii  kampuni hiyo ilikabidhi msaada wa mashuka kwa zahanati hiyo, kama sehemu ya juhudi za kuboresha huduma za afya na mazingira ya kutolea huduma kwa wananchi wa eneo la Alimaua. Akizungumza wakati wa…

Read More

RATIBA YA LIGI KUU BARA BONGO HII HAPA

BURUDANI ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo inadhaminiwa na NBC inarejea kwa mara nyingine tena baada ya muda kidogo kusimama kutokana na ratiba ya Mapinduzi Cup na Fainali za Mataifa ya Afrika, kwa wachezaji wa Ndani, (CHAN) ambapo Tanzania ni wenyeji. Hapo awali ilitarajiwa kuwa ingerejea Machi Mosi na mechi za mwisho ilikuwa ni Desemba…

Read More

AZIZ KI KWENYE HESABU ZA WYDAD

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Aziz Ki anatajwa kuwa kwenye rada ya Klabu ya Wydad Casablanca ambayo inahitaji saini yake.   Ki msimu wa 2023/24 mezani alikuwa na ofa zaidi ya mbili kutokana na kiwango ambacho alionyesha akiwa Yanga na mwisho alisaini dili jipya kuendelea kuwa ndani ya Yanga.   Ikiwa Wydad Casablanca watakakuwa wanahitaji saini…

Read More

SIMBA YAIVUTIA KASI TABORA UNITED

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa hesabu kubwa kwa sasa ni kupata matokeo mazuri dhidi ya Tabora United mchezo wao wa Ligi Kuu Bara inayodhaminiwa na NBC. Ipo wazi kuwa Tabora United kwenye mechi zake zilizopita dhidi ya timu ambazo zipo ndani ya tatu bora ilipata matokeo kwa kukomba pointi tatu mazima ilikuwa dhidi ya…

Read More

PACOME MTAMBO WA KAZI KWENYE HESABU ZA MNYAMA

MWAMBA mwenye kucheza na kutoa maelekezo ndani ya kikosi cha Yanga, Pacome Zouzoah ni pasua kichwa kutokana na uwezo wake kwenye kupiga pasi ndefu na fupi akiwa uwanjani. Nyota huyo kwenye dirisha dogo ilikuwa inatajwa kuwa yupo kwenye rada za mabosi wa Simba kwa kuwa mkataba wake unagota mwisho inaelezwa kuwa mabosi wa Yanga walifanya…

Read More

ZIMBWE JR KUSEPA SIMBA, ISHU IPO HIVI

MOHAMED Hussen Zimbwe Jr nahodha wa Simba chaguo la kwanza la Kocha Mkuu Fadlu Davids ngoma bado ni nzito kwake kwenye ishu ya kuongeza mkataba mpya na amebainisha kuwa ikitokea ofa anaweza kuondoka kwenda nje kupata changamoto mpya. Inatajwa kuwa kwa sasa mabosi wa timu hiyo hesabu kubwa ni kwenye mechi zilizopo mbele yao ikiwa…

Read More

CAF YAONGEZA MKATABA WA MIAKA 3 NA TOTAL ENERQIES

Shirikisho la soka Barani Afrika CAF limeongeza kandarasi ya miaka mitatu [3] na mdhamini wake mkuu kampuni ya mafuta ya Total Energies utakaotamatika rasmi mwaka 2028. Kampuni ya Total Energies imekuwa ikidhamini michuano mbalimbali ambayo ipo chini ya CAF ikiwemo Ligi ya mabingwa Afrika, kombe la Shirikisho na pamoja na AFCON.

Read More

WAKIPEWA PENATI HAWA JAMAA NI KAMBA

KUNA mastaa ndani ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids wakipewa majukumu ya kupiga penati asilimia 100 wamekuwa wakiwapa tabu makipa kwa kufunga kwenye mchezo husika iwe kitaifa ama kimataifa. Simba kwenye penati ambazo wamepata kwa msimu wa 2024/25 ndani ya uwanja hakuna ambayo wamekosa miongoni mwa waliyofunga ni katika anga la…

Read More

HAYA MAKUNDI SITA YA AFCON, TANZANIA KUNDI C

JANUARI 27 2025 nchini Morocco ilichezwa droo kwa ajili ya makundi ya Afcon 2025 ambapo timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars nayo imo na imepangwa kundi C. Haya hapa makundi:- Kundi “A” Morocco, Comoro, Zambia na Mali Kundi “B” Misri, Afrika Kusini, Angola na Zimbabwe, Angola Kundi “C” Tunisia, Nigeria, Uganda na Tanzania Kundi…

Read More

BEKI HUYU SIMBA ANA BALAA ZITO

KWENYE eneo la ulinzi ndani ya kikosi cha Simba kuna mtu wa kazi ngumu anayezidi kuimarika kila leo kutokana na kujituma kwake katika kutimiza majukumu licha ya makosa ambayo amekuwa akifanya kwenye baadhi ya mechi. Ni Abdlazack Hamza, beki wa kazi ndani ya kikosi cha Simba ambaye amekuwa ni chaguo la kwanza katika kikosi cha…

Read More

SIMBA YAMALIZANA NA WONDERS KWA MTINDO HUU

KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids kimemalizana na wapinzani wao Kilimanjaro Wonders kwa maajabu ya mtoto wa maajabu Chasambi kupachika bao huku David Kameta akitoa pasi mbili za mabao kwenye ushindi wa mabao 6-0 katika mchezo wa CRDB Federation Cup. Simba walianza kupata bao la mapema kwenye mchezo wa leo ikiwa ni…

Read More