YANGA NDANI YA LINDI,KUIKABILI NAMUNGO

KIKOSI cha Yanga kimewasili salama Ruagwa, Lindi kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo FC. Desemba 5,2022 kikosi kilisepa Dar na kuibukia Mtwara kwa ajili ya kufanya maandalizi ya mchezo huo. Yanga inatarajiwa kumenyana na Namungo ukiwa ni mchezo wa kufungia mzunguko wa kwanza 2022/23 mpaka sasa…

Read More

MZUNGUKO WA KWANZA SOMO KWA WALIOKOSA NAFASI

HAKUNA ambaye anapenda kukaa benchi kwenye mechi ambazo zinaendelea kwa kuwa mchezaji kazi yake kubwa ni kutumia dakika 90 uwanjani. Imekuwa hivyo kwenye mzunguko wa kwanza ambapo wapo wachezaji waliokwama kuwa kwenye chaguo la kwanza la kocha. Benchi la ufundi linahitaji wachezaji ambao wanajitoa muda wote kutafuta ushindi na haya yote yanayotokea kwenye mechi lazima…

Read More

MRITHI MIKOBA YA MKWASA ATANGAZWA

 UONGOZI wa Klabu ya Ruvu Shooting umemtangaza Kocha Mkuu Mbwana Makataa ambaye atakuwa ndani ya kikosi hicho kwa sasa.   Ni mkataba wa mwaka mmoja amepewa akibeba mikoba iliyoachwa wazi na Charles Boniface Mkwasa ambaye ajiuzulu nafasi yake hapo jana, Desemba 5,2022 kutokana na mwenendo mbaya wa matokeo katika mzungumko wa kwanza wa ligi kuu ambao…

Read More

HUYU HAPA MCHEZAJI BORA YANGA V PRISONS, ALIKIWASHA

WEKA kando kutunguliwa bao moja mbele ya Yanga kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa, bado uimara wa kipa aliyeanza ulikuwa kwenye kiwango. Desemba 4, wakati ubao wa Uwanja wa Mkapa ukisoma Yanga 1-0 Tanzania Prisons,mchezaji bora kwa upande wangu alikuwa ni kipa Hussein Abel. Jitihada zake ndani ya dakika 89 zilikuwa kubwa mwanzo mwisho akikamilisha…

Read More

PUMZIKA KWA AMANI NYOTA WA MPIRA

UONGOZI wa Ruvu Shooting umeweka wazi kuwa umempoteza shujaa ambaye alikuwa mchezaji wa timu hiyo. Ni Graham Enock Naftari ambaye alikuwa mchezaji wa timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu Bara Tanzania alitangulia mbele za haki Desemba Mosi. Taarifa iliyotolewa na Ruvu Shooting ilieleza kuwa nyota huyo alipatwa na umauti akiwa kwenye matibabu Hospitali ya Taifa ya…

Read More

ENDORPHINE FAIRYTALE -SHANGWE LA SLOTI DISEMBA HII! CHEZA NA UJISHINDIE ZAWADI KABAMBE ZA FEDHA!

Amini mwezi Desemba ni mwezi wa maajabu ya kujishindia mawindo yako kirahisi! Waandaaji wa michezo ya sloti Endorphine wanaopatikana Meridianbet pekee wanakuletea zawadi kibao za mkwanja. Meridianbet wanadhihirisha tena kuwa wao ndio sehemu pendwa kwa wachezaji wa sloti. Hii inachangiwa na promosheni nyingi ambazo wachezaji watafurahia Desemba hii. Endorphin’s FAIRY TALE ni ushaidi tosha! Kama…

Read More

VINARA WA LIGI KUU BARA NDANI YA MTWARA

 BAADA ya ushindi ambao wameupata mbele ya Tanzania Prisons kikosi hicho kimeibukia Mtwara. Yanga ilipata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Tanzania Prisons mtupiaji akiwa ni Feisal Salum dakika ya 89 na kuipa ushindi timu hiyo. Sasa Yanga ni vinara wa ligi wakiwa wamecheza mechi 14 n kibindoni wana pointi 35 wanakutana na Namungo ambayo…

Read More

YANGA WAWAPIGISHA KWATA WAJELAJELA

MOJA ya mchezo bora uliokamilika kwa Yanga kuitungua Tanzania Prisons dakika ya 89 bao 1-0 Uwanja wa Mkapa. Prisons ambao wnanolewa na Patrick Odhiambo nidhamu ya kujilinda ilikuwa kubwa dakika 45 za mwanzo huku umakini kwenye safu ya ushambuliaji ukiwa ni mdogo kwao. Pongezi kwa kipa wa Prisons Abel ambaye umakini wake kwenye kulinda lango…

Read More

KIKOSI CHA PRISONS DHIDI YA YANGA

 HIKI hapa kikosi cha Tanzania Prisons kinachotarajiwa kuanza kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Yanga, Uwanja wa Mkapa:- Hussein Abel Ezekiel Mwashilindi Ibrahim Abraham Jumnne Elifadhili Yusuph Mlipili Omary Omary Salum Kimenya Ismail Mgunda Jermeia Juma Oscar Paul Edwin Balua

Read More