32 BORA SIMBA, YANGA NA AZAM WAWAJUA WAPINZANI WAO

TAYARI timu ambazo zimetinga hatua ya 32 bora zimewajua wapinzani wao kwenye Kombe la Azam Sports Federation. Simba SC itacheza dhidi ya Coastal Union, Yanga SC itacheza dhidi ya Rhino Rangers, Azam FC itakipiga dhidi ya Dodoma Jiji. Singida Big Stars wao watamenyana na Ruvu Shooting, Kagera Sugar v Ken Gold, Geita Gold v Nzega…

Read More

MNYAMA KUSHUSHA CHUMA KINGINE

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa bado haujamaliza usajili na kabla ya dirisha dogo kufungwa watashusha chuma cha kazi kwa ajili ya kuboresha kikosi hicho. Simba kwa sasa ipo Dubai kwa ajili ya kambi ambayo itatumia siku 7 ikiwa ni mualiko maalumu kutoka kwa Rais wa heshima wa timu hiyo Mohamed Dewji, ‘Mo’.  Ahmed Ally,…

Read More

NYOTA KIBU AMKOSHA KOCHA MPYA SIMBA

ROBERT Oliviera Kocha Mkuu wa Simba amekoshwa na maufundi ya mshambuliaji wa timu hiyo Kibu Dennis. Katika mazoezi yaliyofanyika jana Januari 11, raia huyo wa Brazil alimchangua Kibu kuwa mchezaji bora wa siku hiyo na kumpa zawa. Kibu alikabidhiwa zawadi hiyo mbele ya wachezaji wa Simba wakiongozwa na nahodha John Bocco mwenye mabao 9 ndani…

Read More

YANGA YAIVUTIA KASI IHEFU

BAADA ya kuenguliwa kwenye Kombe la Mapinduzi kwa tofauti ya mabao ya kufunga na kufugana dhidi ya Singida Big Stars kikosi cha Yanga kimeanza maandalizi kuikabili Ihefu. Mchezo huo ni wa Ligi Kuu Bara unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Jumatatu ya wiki ijayo. Ihefu ambayo mchezo wa mzunguko wa kwanza iliwatungua Yanga mabao 2-1 itakabiliana…

Read More

LILE BEKI LA KAZI YANGA HILI HAPA

YANGA ipo kwenye hatua za mwisho kukamilisha dili la beki wa kati kutoka Mali ili kujiunga na timu hiyo kwenye dirisha hili dogo. Ni beki wa kati raia wa Mali Mamhadou Doumbia umri wake ni miaka 27. Doumbia moja kati ya mabeki bora ambao wamekuwa wakiitwa katika kikosi cha Mali kinachoshiriki mashindano ya CHAN akiwa…

Read More

CHUMA KIPYA CHATAMBULISHWA IHEFU FC

ADAM Adam nyota wa zamani wa kikosi cha JKT Tanzania kwa sasa atakuwa ni mali ya Klabu ya Ihefu. Nyota huyo anaibukia ndani ya Ihefu FC akitokea kikosi cha Mtibwa Sugar chenye maskani yake pale Morogoro. Leo Januari 11,2023 Ihefu wamemtambulisha rasmi mshambuliaji huyo. Ni moja ya washambuliaji wazawa wenye uwezo mkubwa uwanjani na alikuwa…

Read More

YANGA:TUNASHUSHA BEKI WA KAZI NA MSHAMBULIAJI

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kwenye dirisha dogo la usajili wanashusha wachezaji wawili wa kazi kwa ajili ya timu hiyo kuboresha kikosi chao. Ni Nasreddine Nabi anakinoa kikosi hicho ambacho kinaongoza ligi kikiwa na pointi 50 kibindoni na mtupiaji wao namba moja ni Fiston Mayele mwenye maao 14. Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga…

Read More

MBWANA SAMATTA KUGOMBEA URAIS TFF

NAHODHA wa Taifa Stars na mshambuliaji wa KRC Genk anayecheza hapo kwa mkopo akitokea Fernebache ya Uturuki Mbwana Samatta amefunguka kuwa, siyo ajabu siku moja akwa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF). Samatta aliyasema hayo wakati alipohojiana na Salama Jabir kwenye kipindi cha Salama Na, aliweka wazi kuwa yeye ana uchu wa mafanikio na…

Read More

BANDA ANAREJEA MDOGOMDOGO

NYOTA wa Simba, Peter Banda anaendelea na program maalumu itakayomrejesha kwenye ubora wake. Mchezaji huyo hajaonekana uwanjani kwenye mechi za Ligi Kuu Bara na ushindani kwa muda mrefu baada ya kupata maumivu. Ni kwenye mchezo dhidi ya Singida Big Stars alipata maumivu alipoingia akitokea benchi na alifunga bao moja. Ngoma ilikuwa nzito katika mchezo huo…

Read More