
BALEKE MNYAMA MKALI, YANA WANA KISASI NA WAARABU
BALEKE mnyama mkali, Yanga SC wana kisasi na Waarabu ndani ya Spoti Xtra Jumapili
BALEKE mnyama mkali, Yanga SC wana kisasi na Waarabu ndani ya Spoti Xtra Jumapili
MAAJABU ya mpira kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika yameendelea ikiwa ni hatua ya makundi. Ni Marcelo Allende alipachika bao la mapema dakika ya 4, ngoma nyingine ilijazwa kimiani na Themba Zwane dakika ya 24, Teboho Mokoena alipachika dakika ya 40 kwenye mchezo dhidi ya Al Ahly. Ni Peter Shalulile alijaza kimiani mara mbili dakika ya…
DAKIKA 45 za mwanzo zimekamilika Uwanja wa Manungu kwa timu zote kuvuja jasho kusaka mabao ya kuongoza. Mtibwa Sugar 0-3 Simba unasoma ubao wa Uwanja wa Manungu kwa sasa huku mashabiki wakiwa wamejitokeza kwa wingi. Ni Jean Baleke mshambuliaji wa Simba katupia mabao yote matatu hivyo anajihakikishia nafasi ya kusepa na mpira wake. Huu ni…
KIKOSI cha Simba dhidi ya Mtibwa Sugar mchezo wa Ligi Kuu Bara, Uwanja wa Manungu, Morogoro Aishi Manula Shomari Kapombe Mohamed Hussein Joash Onyango Henock Inonga Sadio Kanoute Clatous Chama Mzamiru Jean Baleke Moses Phiri Saidi Ntibanzokiza
KUELEKEA mchezo wa kesho Machi 12 wa Ligi Kuu Bara kati ya Yanga dhidi ya Geita Gold kuna mastaa watakosekana kikosi cha kwanza kutokana na sababu mbalimbali
KMC inayonolewa na Hitimana Thiery iliambulia pointi moja kwenye sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Mtibwa Sugar huku mechi sita wakiambulia kichapo mazima. Timu hiyo KMC ilishuhudia ubao ukisoma KMC 1-3 Simba, Desemba 26,2022,Ihefu 1-0 KMC, Januari 3,2023,Mtibwa Sugar 1-1 KMC, Januari 13,2023. KMC 1-3 Namungo, Januari 24,2023,Ruvu Shooting 2-1 KMC, Februari 5,KMC 0-1 Yanga Februari 22 na Azam FC 1-0 KMC Februari 25….
ROBERTINHO akili nyingi Simba,mabosi Yanga washtuka, waingia msituni ndani ya Championi Jumamosi
KWA mara ya pili Kocha Mkuu wa Yanga, Mtunisia Nasreddine Nabi amekutana na winga Real Bamako ya nchini Mali, Cheickna Diakite na kufanya naye kikao cha siri. Jana baada ya mchezo huo, kigogo wa Yanga alimwambia mwandishi wa gazeti hili kuwa, Diakite ni mchezaji mzuri ambaye amekuwa akimfuatilia tangu zamani kwa lengo la kumsajili kikosini…
BEKI Yanga aitikisa Afrika kwenye anga za kimataifa ambaye ni nahodha wa kikosi hicho akiwa kwenye mwendo wake
KIKOSI cha Simba leo Machi 9 2023 kimeibukia Morogoro kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa Sugar. Chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira mapema leo kilifanya mazoezi kabla ya kuanza msafara wa kuelekea Moro mji kasoro bahari. Huu ni mchezo wa mzunguko wa pili ambao unatarajiwa kuchezwa Jumamosi saa 10:00 jioni…
Haijawahi kuwa kinyonge pale Meridianbet wanapoanzisha jambo lao, mwezi huu tena wamekuja na sloti ya Aviator, ndani ya Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet unambiwa sloti hii inatoa hela balaa unaanzaje kuikosa hii. Kwa dau la kuanzia Tsh 200 unaweza kuizalisha na kuwa mamilioni ya hela kupitia mizunguko 500 ya bure inayotolewa kila siku baada ya…
KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ameweka wazi kuwa hakufurahishwa tabia ya ubinafsi iliyokuwa ikifanywa na mshambuliaji wa timu hiyo, Fiston Mayele licha ya kumuweka chini ya kumueleza juu ya jambo hilo. Nabi ametoa kauli hiyo kufuatia mshambuliaji huyo kulazimisha kufunga mwenyewe katika nafasi alizokuwa anapata licha ya kutokuwa kwenye nafasi nzuri ya kufunga katika…
YANGA SC Winga Bamako mambo safi,Simba:Horoya msijisahau, mna tiketi yetu CAF
HATIMAYE leo Machi 9,2023 KMC imepata ushindi mbele ya Kagera Sugar na kusepa na pointi tatu mazima. KMC haikuwa kwenye mwendo mzuri kwenye mechi zake za hivi karibuni ambapo ilipotoka kunyooshwa bao 1-0 dhidi ya Yanga ikapoteza pia mbele ya Azam FC kwenye mechi za ligi ilizocheza Dar. Ni mabao ya Daruesh Saliboko dakika ya…
NI kocha bora wa Februari Mecky Maxime leo Machi 9,2023 ana kibarua cha kuongoza kikosi chake dhidi ya KMC. Kocha huyo ambaye anapenda kuona vijana wakicheza kwa kujiamini mchezo wake uliopita wa ligi alishuhudia ubao wa Uwanja wa Kaitaba ukisoma Kagera Sugar 1-0 Namungo. Ilikuwa ni Februari 18 ambapo bao pekee la ushindi lilijazwa kimiani…
MMELIONA shangwe? Baleke, Phiri wampasua kichwa Mbrazil Simba ndani ya Spoti Xtra Alhamisi.