
VIDEO:SABABU YA YANGA KUMPA KAZI KOCHA IBENGE
AHMED Abdallah afunguka Yanga kumpa kazi Ibenge kuinoa timu hiyo,Yanga kwa sasa ipo kwenye hesabu za kumsaka mbadala wa Nasreddine Nabi aliyekuwa akiinoa Yanga
AHMED Abdallah afunguka Yanga kumpa kazi Ibenge kuinoa timu hiyo,Yanga kwa sasa ipo kwenye hesabu za kumsaka mbadala wa Nasreddine Nabi aliyekuwa akiinoa Yanga
RAIS wa Yanga, Injinia Hersi Said amesema kuwa hawana jambo dogo linapokuja suala la kuboresha kikosi hicho kwa kuhakikisha kila wanayemhitaji anabaki. Timu ya Yanga imekamilisha msimu wa 2022/23 ikiwa na mafanikio ya kutwaa taji la ligi, Ngao ya Jamii, Azam Sports Federation na imecheza fainali Kombe la Shirikisho Afrika. Kuna wachezaji ambao wanatajwa kutaka…
MZEE wa kuchetua Bernard Morrison kiungo aliyezivuruga kwa nyakati tofauti nyavu za makipa wa Bongo akiwa mitaa miwili tofauti. Akiwa ndani ya Yanga alimtungua Aishi Manula kwenye Kariakoo Dabi na hapo jina la mchetuaji likapatikana. Uwezo wake ukwavutia mabosi wa Simba wakampa dili la miaka miwili akiwa huko alionyesha uwezo ikiwa ni kwenye mechi za…
KIFAA cha kwanza rasmi Yanga, Robertinho avujisha usajili Simba ndani ya Spoti Xtra Alhamisi
KUELEKEA msimu wa 2023/24 mabosi wa Azam FC wamemuongezea dili la miaka mitatu nyota Sospeter Bajana. Nyota huyo bado ataendelea kusalia ndani ya Azam FC inayotumia Uwanja wa Azam Complex mpaka 2026. Ikumbukwe kwamba Azam FC iligotea nafasi ya pili kwenye fainali ya Azam Sports Federation baada ya kupoteza kwenye mchezo dhidi ya Yanga. Yanga…
KWA kila aina ya nyakati ambazo zinapita ni muhimu kuwa na mwendelezo mzuri ambao utaleta matokeo chanya kila idara kwenye sekta ya michezo sio Yanga tu bali Singida Big Stars. Namungo mpaka Geita Gold wakati wa kuanza maandalizi ni sasa kwani kila timu ni muhimu kufanya maandalizi mazuri. Wapo ambao wanaamini kwamba kufika mwisho kwa…
LEGENDI kwenye masuala ya habari za michezo Bongo na nje ya Bongo amezungumzia kuhusu usajili wa nyota Adebayo ambaye anatajwa kuwa kwenye rada za Simba. Ikumbukwe kwamba Simba inafanya mpango wa kuboresha kikosi baada ya kukos ubingwa uliopo mikononi mwa Yanga
KWENYE Nifuate ya Samakiba huku mgeni rasmi akiwa ni rais mstaafu wa Tanzania, Jakaya Kikwete amekuwa shuhuda ubao ukisoma Timu Samatta 4-2 Timu Kiba. Mchezo huo wa hisani maalumu kwa ajili ya kurejesha kwa jamii umepamba moto huku kila mmoja akionesha ujuzi wake ndani ya uwanja. Mchezo huo wa hisani ulichezwa Uwanja wa Azam Complex…
BEKI wa Simba Mohamed Outtara hatakuwa sehemu ya kikosi hicho kwa msimu wa 2023/24. Nyota huyo alikuwa kwenye kikosi kilichopoteza Ngao ya Jamii mbele ya watani za jadi Yanga uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Katika mchezo huo Yanga iliibuka na ushindi wa mabao mawili yote yakifungwa na Fiston Mayele ambaye alimtungua Beno Kakolanya. Ni Pape Sakho…
KUTOKA Dodoma mpaka Dar kutokana na uwezo wake ambao uliwavutia mabosi wa Yanga wakampa dili kuitumikia timu hiyo. Alikuwa anacheza ndani ya Dodoma Jiji akaanza changamoto mpya Yanga yenye maskani yake Jangwani, Kariakoo. Mafanikio makubwa akiwa na timu hiyo ni pamoja na kuwa miongoni mwa wachezaji walioandika historia ya kutinga hatua ya fainali katika Kombe…
MUONEKANO ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatano
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa umepokea ofa nyingi ambazo zinahitaji huduma ya nyota Fiston Mayele. Mayele wa Yanga mkononi ana tuzo ya ufungaji bora wa ligi baada ya kufunga mabao 17 pia katika Kombe la Shirikisho Afrika ni namba moja kwa utupiaji akiwa na mabao 7. Ana hat trick moja kwenye ligi aliwatungua Singida…
KOCHA Mkuu wa KMC Jamhuri Khiwelo, ‘Julio’ amesema kuwa hana hofu na timu yoyote anafanya kazi kubwa kusuka kikosi kwa ajili ya msimu mpya. Julio amewahi kuifundisha Simba iliyogotea nafasi ya pili kwenye msimamo na aliwahi kuingoza timu hiyo kwenye mchezo wa dabi dhidi ya Yanga. Yanga ni mabingwa wa ligi msimu wa 2022/23 wamekusanya…
LEGEND kwenye uandishi wa masuala ya michezo Bongo kitaifa na kimataifa Saleh Jembe amefungukia kuhusu viongozi wa Yanga pamoja na nyota wa Yanga. Miongoni mwa wachezaji wa Yanga ambao wanatajwa kuwa kwenye hesabu za kuondoka ni Djigui Diarra, Yannick Bangala na Fiston Mayele mshambuliaji namba moja wa Yanga
KISUGU amfungukia Mayele wa Yanga ambao ni mabingwa wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23. Yanga imetwaa ubingwa huo ikiwa chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi
ABDI Banda nyota wa timu ya Taifa ya Tanzania ameweka wazi kuhusu suala la mashabiki wa timu hiyo ambayo ilipata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Niger kwenye mchezo wa kuwania kufuzu AFCON
ADEBAYO asaini miaka miwili Simba, Yanga mpya balaa ndani ya Spoti Xtra Jumanne