DODOMA JIJI YAIPIGIA HESABU RUVU SHOOTING

UONGOZI wa Dodoma Jiji  FC umeweka wazi kuwa  mchezo wao wa mwisho dhidi ya Ruvu Shooting  unaotarajiwa kupigwa Juni  9 Uwanja wa Jamuhuri, Morogoro wataingia kwa tahadhari kuwakabili. Timu hiyo imekusanya pointi 34 baada ya kucheza mechi 29 nafasi ya 10 vinara ni Yanga wenye pointi 74 kibindoni. Yanga wao kete yao ya mwisho itakuwa…

Read More

MGHANA HUYU AINGIA ANGA ZA YANGA

COLLINS Opare nyota wa Dodoma Jiji anatajwa kuwa kwenye hesabu za kusajiliwa na Yanga kwa ajili ya kuongeza makali kwenye safu ya ushambuliaji. Raia huyo wa Ghana ni miongoni mwa washambuliaji wenye mchango mkubwa ndani ya Dodoma Jiji akiwa ametupia kambani mabao 9. Kwenye mchezo uliopita dhidi ya Namungo wakiwa ugenini bao pekee la ushindi…

Read More

ISHU YA FEI TOTO IMEFIKIA HAPA

IMEELEZWA kuwa Yanga na Feisal Salum wamekutana kutekeleza agizo la Rais Samia Suluhu Hassan ambaye aliweka wazi kuwa angependa kuona mgogogoro baina ya taaisis na Fei Toto unamalizika. Rais Samia aliwaambia Yanga kwenye hafla ya pongezi ya kutinga fainali Kombe la Shirikisho Afrika na kuwa washindi wa pili Juni 5 kuwa ni aibu kuwa kwenye…

Read More

MUONEKANO WA KOMBE JIPYA LA NBC

HILI hapa kombe jipya la NBC Premier League ambalo watakabidhiwa mabingwa wa Ligi Kuu Bara Yanga. Leo Juni 7,2023 limezinduliwa kombe hilo mbele ya Waandishi wa Habari makao makuu ya benki hiyo, Posta. Yanga imetwaa taji hilo mara ya pili mfululizo ikiwa ni msimu wa 2021/22 na msimu huu pia wa 2022/23 lipo mikononi mwa…

Read More

YANGA WAPIGIWA GWARIDE LA HESHIMA

MABINGWA wa Ligi Kuu Bara Yanga chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi kwenye mchezo wao dhidi ya Mbeya City walipigwa gwaride la heshima. Gwaride hilo Yanga walipigiwa kabla ya mchezo wao wa mzunguko wa pili dhidi ya Mbeya City Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Dakika 90 zilikamilikwa kwa sare ya kufungana mabao 3-3 na kugawana pointi…

Read More

VITA MPYA IMEIBUKA YANGA V SIMBA

WAKATI vita ya ubingwa ikiwa imefungwa kwa Yanga kufanikisha lengo la kutwaa ubingwa suala la kiatu cha ufungaji bora kwa sasa kina sura mpya. Ni Fiston Mayele mshambuliaji wa Yanga huyu anaongoza kwenye orodha akiwa ametupia mabao 16 na pasi tatu za mabao. Anayemfuatia ni Saido Ntibanzokiza wa Simba mwenye mabao 15 kibindoni na pasi…

Read More

FISTON MAYELE BALAA LAKE LIPO HAPA

MZEE wa kutetema Fiston Mayele wa Yanga mguu, ‘guu’ lake la kulia lina balaa kitaifa na kimataifa kwenye kutupia mabao kutokana na kufunga mabao mengi kwenye mechi za ushindani. Nyota huyo wa Yanga ana tuzo ya mfungaji bora kwenye mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika akiwa ametupia jumla ya mabao 7 na kuvaa medali ya…

Read More

AZAM FC YAITULIZA COASTAL UNION, MBOMBO ATUPIA

IDRIS Mbombo nyota wa Azam FC amefikisha bao lake la 8 Uwanja wa Mkwakwani wakisepa na pointi tatu dhidi ya Coastal Union. Katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa leo ubao umesoma Coastal Union 0-2 Azam FC. Mbombo alitupia kambani bao la kuongoza dakika ya 58 ambalo liliwaongezea nguvu Azam FC. Kwenye mchezo huo dakika…

Read More

SIMBA 3-0 POLISI TANZANIA

UBAO wa Uwanja wa Azam Complex unasoma Simba 3-0 Polisi Tanzania. Ni mchezo wa mzunguko wa pili wa ligi kukamilisha msimu wa 2022/23. Ni mabao ya Saido Ntibanzokiza ambaye amefunga hatrick ndani ya dakika 10 za mchezo huo. Nyota Jean Baleke amekwama kusepa na dakika 90 baada ya kupata maumivu dakika ya 15 nafasi yake…

Read More

MBEYA CITY WAGAWANA POINTI NA YANGA, MORRISON AWACHETUA

MBEYA City wamekubali kugawana pointi mojamoja na Yanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara Uwanja wa Sokoine. Ni Mbeya City walitangulia kufunga mabao mawili kipindi cha kwanza kupitia kwa George Sangija dakika ya pili na lile la pili likifungwa na Richardson Ng’odya aliyefunga mabao mawili. Bao la pili alifunga dakika 53 ikiwa ni kipindi cha…

Read More

MBEYA CITY 2-0 YANGA, LIGI KUU BARA

UBAO wa Uwanja wa Sokoine Mbeya unasoma Mbeya City 2-0 Yanga ambao ni mabingwa wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23. Mbeya City wameanza kwa kasi kupachika bao la kuongoza dakika ya pili kupitia kwa George Sangija. Bao la pili limepachikwa na Richardson Ng’odya dakika ya 43 akiwa ndani ya 18. Jitihada za mastaa wa…

Read More

SPIKA WA BUNGE USO KWA USO NA VIONGOZI WA SIMBA

JUNI 6,2023 Spika wa Bunge la Tanzania, Dkt. Tulia Ackson leo amekutana na kufanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Klabu ya Simba Murtaza Mangungu. Mbali na Mangungu pia Mkurugenzi Mtendaji, Imani Kajula ni miongoni mwa viongozi waliokuwa kwenye mazungumzo hayo yaliyofanyika ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Viongozi hao waliambatana Mjumbe wa Bodi na Mwenyekiti wa Tawi…

Read More

YANGA NA SHANGWE NDANI YA MBEYA

BAADA ya kuwa kwenye hafla maalumu iliyoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kikosi cha Yanga leo kitakuwa na kazi Mbeya. Wachezaji wa Yanga pamoja na Benchi la ufundi Juni 5, 2023 walikuwa kwenye halfa ya pongezi kwa Yanga kwa kufanikiwa kufika Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Safari…

Read More

MTAMBO WA MABAO WAPIKWA UPYA SIMBA

MTAMBO wa mabao ndani ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira unaendelea kupikwa upya kwa ajili ya mechi zilizobaki za Ligi Kuu Bara. Timu hiyo ikiwa imegotea nafasi ya pili na pointi zake 67 ina kete mbili za kukamilisha mzunguko wa pili ndani ya ligi msimu wa 2022/23 vinara wakiwa ni Yanga. Mbali na…

Read More