
DODOMA JIJI YAIPIGIA HESABU RUVU SHOOTING
UONGOZI wa Dodoma Jiji FC umeweka wazi kuwa mchezo wao wa mwisho dhidi ya Ruvu Shooting unaotarajiwa kupigwa Juni 9 Uwanja wa Jamuhuri, Morogoro wataingia kwa tahadhari kuwakabili. Timu hiyo imekusanya pointi 34 baada ya kucheza mechi 29 nafasi ya 10 vinara ni Yanga wenye pointi 74 kibindoni. Yanga wao kete yao ya mwisho itakuwa…