
BREAKING:ONANA NI MALI YA SIMBA
NI Essomba Onana nyota mpya ndani ya kikosi cha Simba ukiwa ni usajili wa kwanza kutangazwa kuelekea msimu wa 2023/24. Nyota huyo amepewa dili la miaka miwili alikuwa anakipiga ndani ya Rayon Sports. Mwamba huyo anakuja kushiriki ligi ya Bongo akitokea Rwanda huku mabingwa watetezi wakiwa ni Yanga. Simba inatarajiwa kuweka kambi Uturuki kwa ajili…