
AZIZ KI KIBAO KIMEGEUKA
MTAALAMU wa mapigo huru ndani ya Yanga, Aziz KI amekuja na mtindo mpya kwa msimu wa 2023/24 kwa kuwavuruga makipa waliokariri ubora wake wa kutumia mguu wa kushoto kufunga. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2022/23 Aziz KI alitupia mabao 9 na alitengeneza pasi tano za mabao kwenye mechi za ligi. Mabao yote na pasi hizo alizotoa katika mechi 24 alizocheza akikomba dakika…