MWAMBA KASEKE BADO YUPO NDANI YA SINGIDA FOUNTAIN GATE

NYOTA Deus Kaseke ni miongoni mwa wale watakaokuwa kwenye kikosi cha Singida Fountain Gate kwa ajili maandalizi ya msimu wa 2023/24. Timu hiyo kambi yake itakuwa Arusha baada ya mpango wa kuelekea Tunisia kusitishwa. Kaseke ni Legend ndani ya timu hiyo kutokana na uwezo wake kwenye eneo la kiungo na aliibuka hapo akitokea Yanga. Mchezo…

Read More

AZAM FC NDANI TUNISIA

KIKOSI cha Azam FC kimewasili jijini Sousse, Tunisia kwa kambi ya wiki tatu ya maandalizi ya msimu mpya 2023/24. Miongoni mwa nyota ambao wapo kwenye msafara huo ni pamoja na Feisal Salum, Ayoub Lyanda, Idris Mbombo. Timu hiyo ilipitia Dubai kabla ya kuibukia Tunisia kwa maandalizi ya msimu mpya. Mchezo wa kwanza kwa Azam FC…

Read More

UMAKINI HAUKWEPI MUDA WA MAVUNO

MAVUNO yanaongeza tabasamu hasa kila kitu kinapokwenda sawa ila inapokuwa tofauti hakuna ambaye anapata furaha katika hilo. Wahusika ni wote kuanzia mabingwa wa ligi ambao ni Yanga nao wana jukumu la kuongeza umakini kwenye usajili pamoja na maandalizi ya msimu ujao. Singida Fountain Gate nao inawahusu bila kuwasahau Namungo mpaka Geita Gold. Maisha mapya ndani…

Read More

CHUMA KINGINE CHA KAZI NDANI YA SIMBA

KUTOKA Mtibwa Sugar inayotumia Uwanja wa Manungu kwa mechi za nyumbani amerejea ndani ya kikosi cha Simba beki wa kupanda na kushuka. Beki huyo ni shuhuda Yanga wakitwaa ubingwa wa ligi msimu wa 2022/23 huku Simba ikigotea nafasi ya pili. Mchezo wa kwanza kwa Simba utakuwa wa Ngao ya Jamii dhidi ya Singida Fountain Gate…

Read More

SportPesa YAIPA YANGA 405 MILIONI

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya SportPesa Tarimba Abbas amesema kuwa wanajivunia kuidhamini Klabu ya Yanga kwa kuwa imeitendea haki nembo yao na kufaya vizuri kwa msimu wa 2022/23. Yanga imetwaa mataji matatu Ngao ya Jamii, Ligi Kuu Bara inayodhaminiwa na NBC, Azam Sports Federation kwa ushindi dhidi ya Azam FC. Julai 10…

Read More

MASHINE MBILI ZA KAZI HIZI HAPA SIMBA

KUTOKA Morogoro izilipo safu za milima Uluguru mpaka Dar ulipo Uwanja wa Mkapa, Uhuru na Chamanzi na mingine yote unayoitambua mwamba Shomari Kapombe bado yupoyupo. Ni dili la miaka miwili ameongeza ndani ya kikosi cha Simba hivyo atakuwepo mpaka 2025. Kapombe ni namba moja kwa mabeki wenye pasi nyingi ambazo ni 8 kwa msimu wa…

Read More

AZAM FC KUANZA NA YANGA

MATAJIRI wa Dar, Azam FC msimu mpya wa 2023/24 watafungua kete yao ya kwanza kwa kucheza na Yanga katia mchezo wa Ngao ya Jamii. Azam FC wataanza msimu mpya wa 2023/24 kwa kucheza mchezo wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga, utakaofanyika Uwanja wa Mkwakwani, Tanga Agosti  2023. Mchezo huo utachezwa saa…

Read More

JEMBE LA KAZI LINATUA YANGA

GIFT Fred kutoka SC Villa ya Uganda anatajwa kuwa kwenye hesabu za mabosi wa Yanga. Yanga ipo kwenye mpango wa kuboresha timu hiyo kwa ajili ya msimu wa 2023/24. Ni Nikson Kibabage huyu ni mchezaji wa kwanza kutambulishwa ndani ya kikosi cha Yanga na wengine wanafuata. Mwamba huyu ni beki ambaye dili lake likikamilika atakuja…

Read More

CHUMA KIPYA CHA KAZI SIMBA HIKI HAPA

NI Che Malone Fondoh yeye ni beki ametambulishwa ndani ya kikosi cha Simba ikiwa ni ingizo jipya kwa washindi hao wa pili kwenye ligi. Yanga ni mabingwa wakiwa ni washindi wa kwanza ambapo nao wanajipanga kwa ajili ya kupambania ubingwa wao. Timu hizo za Yanga na Simba ikiwa kila timu itashinda kwenye mchezo wa hatua…

Read More

JOASH ONYANGO NDANI YA CHANGAMOTO MPYA

JOASH Onyango beki wa Simba rasmi kwa msimu wa 2023/24 atakuwa kwenye changamoto mpya na timu mpya ndani ya Singida. Nyota huyo mkataba wake na Simba unatarajiwa kumeguka msimu ujao na mabosi wa Simba wamefikia makubaliano ya kumtoa kwa mkopo kuelekea Singida Fountain Gate. Atakuwa ndani ya Singida Fountain Gate kwa mkopo msimu wa 2023/24…

Read More

KIUNGO MPYA AZAM FC ATOA KAULI YA KIBABE

KIUNGO mpya wa Azam FC Feisal Salum amesema kuwa anafurahia kuwa kwenye changamoto mpya ndani ya Azam FC. Ni ingizo jipya ndani ya Azam FC akitokea kikosi cha Yanga kilichotwaa ubingwa wa ligi 2022/23. Fei alipokuwa ndani ya Yanga alikuwa anavaa jezi namba sita anaendelea kuivaa pia akiwa ndani ya Azam FC. Kiungo huyo anatarajiwa…

Read More

YANGA KUSUKA KIKOSI CHA KAZI

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa utafanya usajili makini kwa ajili ya kuwa na kikosi imara kwa msimu wa 2023/24 kuendeleza ushindani. Ipo wazi kuwa Julai Mosi dirisha la usajili lilifunguliwa na linatarajiwa kufungwa Agosti 31 hivyo ni muda wa kuongeza nguvu ndani ya timu hiyo. Yanga tayari imeanza kufikia hatua ya kuachana na baadhi…

Read More