
LUIS BADO ANAENDELEA KUJITAFUTA
TAYARI ameanza kurejea katika hesabu za rekodi lakini maamuzi bado anajitafuta kufikia ubora wake wa 2021 aliposepa ndani ya kikosi hicho na kujiunga na Al Ahly ya Misri. Kukaa muda mrefu bila kucheza ni sababu iliyofanya kiwango chake kikaporomoko kwa kasi. Yule Luis Miquissone mwenye kasi ya haraka na maamuzi akiwa nje ama ndani ya…