MKANDAJI KIBU D APATA KITETE ISHU YA KARIAKOO DABI

KIBU Dennis kiungo wa Simba maarufu kwa jina la Kibu Mkandaji amepata kigugumizi kuhusu mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya Yanga unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Machi 8 2025. Mkandaji lilipata umaarufu baada ya kufunga kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi uliochezwa Uwanja wa Mkapa alipomtungua Djigui Diarra kwa shuti kali akiwa nje ya 18 ….

Read More

ATEBA NA MUKWALA NGOMA NZITO SIMBA

MASTAA wawili kwenye eneo la ushambuliaji ndani ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu,Fadlu Davids ngoma ni nzito kutokana na kuliamsha dude kwenye eneo la ufungaji katika mechi ambazo wamechza. Ni Machi 8 2025 Uwanja wa Mkapa unatarajiwa kuwa kazini kwa wababe wawili Yanga na Simba kukutana uwanjani kwenye msako wa pointi tatu huku…

Read More

KASINO YA FRUIT SALAD 100 USHINDI 95.06%

Ni wakati mwingine tena wa kufahamu kuhusu Michezo ya Kasino ya Mtandaoni iliyopo Merdianbet. Fruit Salad 100 unakupa nafasi ya kushinda kwa kiwango cha 96.06% Bonasi za kasino na alama nyingi za ushindi. Fruit Salad 100 ni kasino ya mtandaoni kutoka kwa mtoa huduma Gaming Global. Katika mchezo huu, kuna ishara mbili maalum. Majokeri huonekana…

Read More

BEI YA VIINGILIO KARIKOO DABI

JOTO la Kariakoo Dabi linazidi kupasua anga ambapo mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Machi 8 2025 mchezao wa mzunguko wa pili. Ni mchezo ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa wababe hawa wawili ambapo kila timu imetoka kupata ushindi kwenye mchezo wake uliopita. Yanga ambao watakuwa nyumbani walishuhudia ubao ukisoma Pamba Jiji 0-3 Yanga wakasepa na…

Read More

MAKIPA YANGA NA SIMBA KWENYE VITA YAO HUKO

KUNA kazi nzito ndani ya uwanja kwenye msako wa pointi tatu muhimu kwa wababe wawili ambapo kila kona kuna kisanga cha maana kutokana na ubora wa Ligi Kuu Bara inayodhaminiwa na NBC ikiwa ni namba nne kwa ubora Afrika. Weka kando vita ya kusaka ushindi ndani ya uwanja kwenye Kariakoo Dabi mchezo unaotarajiwa kuchezwa Machi…

Read More

HUYU HAPA PILATO WA YANGA V SIMBA, KARIAKOO DABI

AHMED Arajiga ametangazwa kuwa mwamuzi wa kati wa mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Machi 8 2025 ambapo wababe wawili wanatarajiwa kukutana Yanga na Simba. Ikumbukwe kwamba Arajiga alikuwa mwamuzi kwenye mchezo wa Mzizima Dabi uliochezwa Uwanja wa Mkapa baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba 2-2 Azam FC wababe hao…

Read More

DEUCES WILD POKER KASINO YA KIFALME

Deuces Wild Poker Karata moja ya mchezo bomba kabisa na rahisi kuucheza kama ukituliza akili, ule usemi wa changa karata zako vizuri una maana kubwa sana kwenye mchezo huu wa kasino ya mtandaoni uliopo Meridianbet. Unapoanza kuucheza hakikisha karata zako umezichanga vizuri na kisha subiri mchezeshaji ajichanganye umpune. Jisajili Meridianbet uwe wa kwanza kufurahia promosheni…

Read More

TABORA UNITED KUTUMIA CCM KIRUMBA

Timu ya Tabora United itatumia Uwanja wa CCM Kirumba uliopo jijini Mwanza kama Uwanja wa wake wa nyumbani katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya JKT Tanzania, utakaochezwa siku ya ljumaa Machi 07 saa 10:00 jioni. Tabora United FC itatumia Uwanja huo kutokana na kufungiwa kwa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi ambao ulikuwa ukitumika kwa…

Read More

REAL MADRID, PSV, NA WENGINE KUKUPATIA USHINDI LEO

Jumanne ndio hiyo imefika ya kuchukua maokoto yako ya maana na mabingwa wa odds kubwa Meridianbet leo kwani mechi za UEFA zenye pesa zitakuwa uwanjani hapo baadae kusaka pointi 3. Tukianza na Borussia Dortmund yeye atatunishana mbavu dhidi ya Lille ya Ufaransa ambao wapo nafasi ya 5 kwenye ligi na mwenyeji yupo nafasi ya 10…

Read More

MZEE WA WAA ATUMA UJUMBE HUU

NYOTA Steven Mukwala mshambuliaji wa Simba amesema kuwa kazi kubwa ni kupambana kwenye mech izote kupata matokeo mazuri kutokana na ushirikiano ambao upo kwenye timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Kwenye msimamo wa ligi Simba ni namba mbili baada ya mechi 21 imekusanya jumla ya pointi 54 vinara wakiwa ni Yanga inayonolewa na…

Read More