KARIAKOO DABI KITAWAKA LEO

MACHI 18 2025 kutakuwa na kazi kwa wababe wawili kwenye Kariakoo Dabi ya Wanawake Uwanja wa KMC, Complex kwa wababe wawili Simba Queens dhidi ya Yanga Yanga Princess kukutana uwanjani kwenye msako wa pointi tatu ndani ya dakika 90 za kazikazi. Ikumbukwe kwamba Simba Queens ni vinara wa ligi wakiwa na pointi 34 baada ya…

Read More

CHEZA KASINO UPATE FAIDA KUBWA MPAKA 96%

Chaguo ni lako kukamilisha ndoto zako kwa njia ya rahisi, kazi ya Meridianbet kasino ya mtandaoni ni kukuletea michezo mingi na sloti za kijanja ambazo zinakupa urahisi wa wewe kucheza na kushinda. Ukiachilia mbali bonasi, ofa, odds kubwa na promosheni kedekede, kasino ya mtandaoni inakuletea mchezo wa Mini Power Roulette uliotengenezwa na Expanse Studios. Roulette…

Read More

SHINDA MKWANJA NA BLACKJACK LIVE YA MERIDIANBET

Mchezo wa Blackjack Live        Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet inakuletea mchezo bomba wa Blackjack Live unaopatikana mubashara ukiwa umetengenezwa na watenganezaji maarufu wa michezo ya kasino, Expanse Studios. Blackjack Live ni mchezo wenye maudhui na sheria za Ulaya unaochezeshwa mubashara kwakutumia  kibunda chenye karata 8. Mchezo wa Blackjack Live ni mchezo unaopendwa na kuchezwa sana…

Read More

GAMOND AACHANA NA AL NASR YA LIBYA KISA MSHAHARA

Miguel Gamondi Aachana na Al Nasr SC Libya Kwa Sababu ya Malipo Ya kutolipwa mshahara na marupurupu mengine Miguel Gamondi, kocha wa soka mwenye umri wa miaka 58, ameamua kuachana na klabu ya Al Nasr SC ya Libya kwa sababu ya klabu hiyo kushindwa kulipa mishahara na ada zake. Gamondi alijiunga na klabu hiyo mnamo…

Read More

KIBU D ALIYEYUSHA MWAKA BILA KUFUNGA BONGO

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Kibu Dennis ambaye ni maarufu kwa jina la mkandaji alipitisha mwaka mzima bila kufunga ndani ya ligi kwenye mechi za ushindani ambapo mara ya mwisho alifanya hivyo msimu wa 2023/24 jambo ambalo lilikuwa ni gumzo kubwa. Ikumbukwe kwamba nyota huyo ambaye ni chaguo la kwanza katika kikosi cha Simba kinachonolewa na…

Read More

KOCHA YANGA KWENYE HESABU NDEFU

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hamdi Miloud ameweka wazi wachezaji wake wanafanya kazi kubwa kutafuta matokeo uwanjani jambo ambalo linapaswa kuwa endelevu kutokana na ushindani uliopo ndani ya ligi. Ipo wazi kwamba ndani ya Februari kocha huyo ametwaa tuzo ya kocha bora baada ya kuwashinda wawili aliongia nao kwenye fainali ya kumtafuta kocha bora. Katika mechi…

Read More

SINGIDA BLACK STARS KUZINDUA UWANJA KUKIPIGA NA YANGA

Klabu ya Singida Black Stars itazindua uwanja wake mpya wa ’AIRTEL STADIUM’ Machi 24, 2025. Uwanja huo utazinduliwa kwa mechi ya kirafiki katibya Singida Black stars dhidi ya Yanga SC. Kwenye taarifa yao, Singida wamesema kuwa uwanja huo umejengwa kwa viwango vya kimataifa na unatarajiwa kuwa kitovu cha mashindano makubwa ya kitaifa na kimataifa. Je,…

Read More