‘Kiti Moto’ Madrid: Xabi Alonso Chini ya Shinikizo Kubwa Baada ya Kipigo
Kocha wa Real Madrid, Xabi Alonso, yupo kwenye wakati mgumu baada ya timu yake kupoteza tena, safari hii 2-1 mbele ya Manchester City katika dimba la Santiago Bernabeu. Huu ni mchezo wa pili mfululizo kupoteza, baada ya wiki iliyopita Madrid kulala 2-0 dhidi ya Celta Vigo, hali inayowafanya mashabiki na uongozi kuanza kuhoji mwenendo wa…