SIMBA SC KUMTAMBULSHA MSHAMBULIAJI MWALIMU

INAELEZWA kuwa uongozi wa Simba SC umekamilisha usajili wa mshambuliaji wa Wydad Casablanca ya Morocco, Selemani Mwalimu. Nyota huyo anatajwa kuwa muda wowote atajiunga na kikosi cha Simba SC, Misri kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa 2025/26. Kikosi cha Simba SC chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids kinaendelea na maandalizi ya msimu mpya…

Read More

AZAM FC KUANZA KAZI LEO RWANDA

AZAM FC wakiwa nchini Rwanda ambapo wameweka kambi wanatarajiwa kushiriki michuano ya Inkera Y’abahizi baada ya kualikwa na wenyeji wao APR FC na leo Agosti 19 2025 watakuwa na kibarua kuhesabu mechi nne za ushindani. Ipo wazi kwamba Azam FC inapeperusha bendera ya Tanzania kwenye anga la kimataifa ikiwa ni katika Kombe la Shirikisho na…

Read More

SIMBA SC YATANGAZA SIMBA DAY 2025

UONGOZI wa Simba SC umeweka wazi siku mpya ambayo itakuwa ni maalumu kwa utambulisho mpya wa wachezaji wao na benchi la ufundi kuelekea msimu mpya wa 2025/26. Kwa sasa timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids imeweka kambi nchini Misri ikiwa ni maandalizi ya msimu mpya. Msimu uliopita katika anga la kimataifa iligotea hatua…

Read More

AZAM FC KWENYE MPANGO MKUBWA MSIMU MPYA

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa msimu mpya wa 2025/26 watafanya kazi kubwa kuleta ushindani kutokana na uwepo wa wachezaji wenye uwezo mkubwa na uzoefu. Timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Florent Ibenge imeweka kambi nchini Rwanda kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya. Miongoni mwa wachezaji wapya waliopo katika kikosi hicho ni Himid…

Read More

LEONEL ATEBA KUACHWA SIMBA SC

INAELEZWA kuwa kuna uwezekano mkubwa mshambuliaji wa Simba SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids huenda akaachwa katika kikosi hicho kuelekea msimu mpya. Simba SC inatajwa kuwa kwenye mazungumzo ya kuachana na mshambuliaji huyo raia wa Cameroon, Lionel Ateba kutokana na kutoridhishwa na mwendo wake msimu uliopita. Inaelezwa kuwa mshambuliaji huyo anajiandaa kuondoka kambini Cairo,…

Read More

PORTO, LEEDS, DORTMUND NA BETIS WAKO DIMBANI LEO

Meridianbet inakukaribisha uweze kubashiri mitanange ya leo kwenye mechi zote za ligi mbalimbali zinazoendelea hapa. Leeds, Porto, Kasimpasa na wengine kibao wapo dimbani leo kukupatia ushindi. Bashiri na mabingwa sasa. Tukianza na Ureno kuna mechi moja kali pia ya kubashiri kati ya FC Porto ambao watakuwa ugenini dhidi ya Gil Vicente Barcelos ambao kushinda mechi…

Read More

MOROCCO KUKUTANA NA MOROCCO, KIVUMBI CHAN 2024

TIMU ya Taifa ya Tanzania inayofundishwa na Kocha Mkuu, Hemed Suleman maarufu kwa jina la Morocco itacheza na timu ya taifa ya Morocco kwenye mchezo wa robo fainali CHAN 2024 Uwanja wa Mkapa. Tanzania inaongoza kundi B ikiwa na pointi 10 baada ya mechi nne ambapo katika mechi hizo ilipata ushindi mechi tatu na kugawana…

Read More

MZIZE BADO ANA MKATABA NA YANGA SC

MSHAMBULIAJI namba moja kwa wazawa wenye mabao mengi msimu wa 2024/25 Clement Mzize bado ana mkataba na Yanga SC kuelekea msimu wa 2025/26. Mzize amekuwa akitajwa kuwa katika rada za timu mbalimbali ambapo kuna timu moja kutoka Tunisia inatajwa kuweka dau kubwa mezani kupata saini yake kwa ajili ya changamoto mpya. Rekodi zinaonyesha kuwa msimu…

Read More

WALLACE KARIA APITISHWA TENA KUONGOZA TFF KWA ASILIMIA 100

Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) wamempitisha kwa kishindo Rais wa sasa, Wallace Karia, baada ya kumpigia kura za ndiyo kwa asilimia 100. Karia alikuwa mgombea pekee wa nafasi ya urais, kufuatia wagombea wengine kuenguliwa na Kamati ya Uchaguzi kwa kushindwa kutimiza vigezo vya kikanuni. Kwa ushindi huo, Karia…

Read More

AZAM FC NA WAPYA WALIOTAMBULISHWA, KAMBI RWANDA

RASMI Azam FC imewatambulisha wachezaji wapya wawili ambao watakuwa chini ya Kocha Mkuu, Florent Ibenge ikiwa ni maandalizi kuelekea msimu mpya unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Ipo wazi kwamba Azam FC itapeperusha bendera ya Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho Afrika ambapo itaanzia hatua za awali na mchezo wa kwanza unatarajiwa kuchezwa ugenini katika kusaka ushindi….

Read More