JKT Tanzania vs Simba SC, pointi tatu kwenye msako

JKT Tanzania vs Simba SC ni mchezo wa ligi unaofuata ikiwa ni msimu mpya wa 2025/26 kwa wababe wawili kusaka pointi tatu muhimu. Novemba 8,2025 kazi kubwa itafanyika kwa timu zote mbili kusaka pointi tatu Uwanja wa Mej Jenerali Isahmuyo. Katika mchezo uliopita msimu wa 2024/25, Simba SC ikiwa ugenini ilivuna pointi kwa ushindi wa…

Read More

Clement Mzize kuikosa Yanga SC vs KMC FC

CLEMENT Mzize mshambuliaji wa Yanga SC ataukosa mchezo ujao wa ligi dhidi ya KMC FC unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC Complex. Nyota huyo anatarajiwa kuwa nje kwa muda wa wiki kati ya 8 mpaka 10 baada ya kufanyiwa upasuaji wa goti ambalo lilikuwa linamsumbua. Kutokana na hali ambayo anaendelea nayo kwa sasa ni wazi kwamba…

Read More

Meridianbet Yabeba Bendera ya Matumaini Katika Mapambano Dhidi ya Saratani ya Matiti

Mwezi Oktoba kila mwaka, dunia nzima huungana kwa ajili ya matumaini, mapambano, na upendo. Kwa kampuni ya Meridianbet, huu si mwezi wa alama tu, bali ni muda wa kutekeleza matendo halisi yanayogusa maisha ya watu, hasa wanawake wanaopambana dhidi ya saratani ya matiti. Kupitia mpango wao wa kijamii unaoitwa “Tuko Pamoja Nanyi”, Meridianbet imeendelea kuwa…

Read More

Simba SC vs TRA United kitaumana Oktoba 30,2025

Simba SC itakaribishwa na TRA United kwenye mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Oktoba 30. Ofisa Habari wa TRA United, Christina Mwagala amesema kuwa wapo tayari kuwakabili wapinzani wao kuelekea mchezo huo na maandalizi yapo tayari. Viingilio kwenye mchezo wa Oktoba 30 ni 20,000 VIP na mzunguko ni 10,000 ambapo tiketi…

Read More