Ally Kamwe Asema Yanga Imejiandaa: “Kesho Tunakwenda Kutafuta Heshima Yetu”
Msemaji wa Klabu ya Yanga, Ally Kamwe, amesema kuwa licha ya baadhi ya watu ndani ya makundi ya wapenzi wa soka kuitazama Yanga kama timu dhaifu katika mchezo wao ujao dhidi ya AS FAR Rabat, kikosi cha Yanga kimejipanga kikamilifu kwenda kuonesha ubora wao na kutafuta heshima uwanjani. Akizungumza leo kuelekea mchezo huo muhimu unaotarajiwa…