Simba SC njiani kurudi Bongo baada ya kipigo ugenini

WAWAKILISHI wa Tanzania katika anga la kimataifa Simba SC baada ya kupoteza mchezo wa pili hatua ya makundi wanatarajia kuwasili kwenye ardhi ya nyumbani Novemba 2,2025. Tayari kikosi hicho chini ya Meneja Mkuu, Dimitar Pantev kimeanza safari kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bamako Senou, Mali tayari kuanza safari ya kurejea Dar, kupitia Addis…

Read More

Hii hapa ratiba ya NBC Premier League Novemba 29,2025

MARA baada ya mwisho wa reli Kigoma Novemba 28 kutopatikana mbabe ndani ya dakika 90 kazi inatarajiwa kuendelea leo kwa wababe wengine uwanjani. Kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Lake Tanganyika Kigoma ubao ulisoma Mashujaa FC 0-0 Dodoma Jiji wababe hawa wakigawana pointi mojamoja. Pamba Jiji leo Novemba 29,2025 watashuka Uwanja wa Kirumba kusaka pointi tatu…

Read More

JS Kabyllie 0-0 Yanga SC, CAF Champions League

JS Kabyllie 0-0 Yanga SC ni matokeo ya mchezo wa CAF Champions League group stage Novemba 28,2025 kwa kundi B. Mchezo huo umechezwa Uwanja wa Hocine Ait Ahmed, Ijumaa kwa wababe hao kuwa katika msako wa pointi tatu. Licha ya majaribio ambayo yalifanyika mara kwa mara kwa kila upande bado milango ilikuwa migumu kwa pande…

Read More