
POCHETTINO KUTIMULIWA PSG
IMEELEZWA kuwa Klabu ya PSG ipo mbioni kumtimua kocha Mauricio Pochettino kutokana na kushindwa kufikia malengo ambayo walikuwa wanahitaji. Kocha ambaye anapewa chapuo la kuwa kocha ndani ya kikosi cha PSG ni Zinedine Zidane pamoja na Antonio Conte. Wikiendi iliyopita Pochettino aliiongoza PSG kutwaa taji la Ligue 1 lakini kocha huyo yupo mbioni kutimuliwa. Uongozi…