Barcelona Yatolewa Nje ya Copa del Rey Baada ya Kipigo cha Jumla 4-3
Barcelona imefutika kwenye michuano ya Copa del Rey baada ya kipigo cha jumla cha 4-3 dhidi ya Atletico Madrid. Mabao 4-0 waliopokea kwenye mchezo wa kwanza yalichukua nafasi kubwa, licha ya ushindi wao wa 3-0 kwenye marudiano. Matokeo ya Marudiano: Barcelona 3–0 Atletico Madrid 29’ ⚽ Bernal 45+5’ ⚽ Raphinha 72’ ⚽ Bernal Jumla ya…