Napoli, Juve, Dortmund, City… Timu Kubwa Zote Zinacheza Leo, Hakuna Kulala! Bashiri Ushinde!

Ni siku nyingine ya wababe wa Ulaya kukutana katika viwanja mbalimbali na kusaka pointi 3 muhimu kabisa. Chelsea, Napoli, Juventus, Dortmund na wengine kibao wapo kuhakikisha hutokei patupu. Unangoja nini sasa?. Ingia na ubashiri na Meridianbet sasa. Tukianza na Manchester City wao watakuwa Etihad kumenyana vikali dhidi ya Bayer Leverkusen ya kule Ujerumani. City ametoka…

Read More

Mourinho: “Sikubaliani na wachezaji wanaonisaliti” – awajia juu mastaa wa Benfica licha ya ushindi wa 2-0

Kocha wa Benfica, Jose Mourinho, ameibua mjadala mpya baada ya kutoa lawama kali kwa wachezaji wake licha ya timu yake kushinda 2-0 dhidi ya Atletico CP katika mchezo wa Kombe la Ureno hatua ya raundi ya nne. Benfica iliepuka fedheha dhidi ya timu hiyo ndogo kutoka daraja la tatu, lakini Mourinho – maarufu kwa matamshi…

Read More

Wanaowania Tuzo za TFF 2024/25 Wapo Hapa… Tuzo Kutolewa Desemba 5, 2025, The Super Dome, Dar

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limefahamisha wanaowania Tuzo za Msimu wa Ligi Kuu 2024/2025, huku tukitarajia watakaoibuka washindi rasmi Desemba 5, 2025 katika ukumbi wa The Super Dome, Dar es Salaam. Wanaowania Wakuu wa Tuzo za Ligi Kuu NBC: Mchezaji Bora: Dickson Job (Yanga), Pacome Zouzoua (Yanga), Maxi Nzengeli (Yanga), Jean Ahoua (Simba),…

Read More

Hii Hapa Orodha ya Washindi wa Tuzo za CAF 2025 Zilizofanyika Morocco

Sherehe za utoaji wa Tuzo za Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF Awards 2025) zimefanyika kwa kishindo na kushuhudia wachezaji, makocha, marefa na timu mbalimbali zikitambuliwa kwa mafanikio ya mwaka. Mwaka huu Morocco imeendelea kung’ara kwa namna ya kipekee katika tuzo nyingi, huku Afrika Mashariki pia ikipata mwakilishi kupitia bao la mwaka. Washindi wa Tuzo…

Read More

Saudi Arabia Yajenga Uwanja Wa Mpira Angani – Una Vituo Vya Burudani Na Mazoezi…

Katika siku za hivi karibuni, Saudi Arabia imekuwa ikifanya juhudi kubwa kujiweka kwenye ramani ya dunia kama kiongozi katika maendeleo ya michezo, na mojawapo ya miradi mikubwa zaidi ni ujenzi wa uwanja wa mpira wa mawinguni, ambao unalenga kuwa kivutio cha kipekee katika sekta ya michezo duniani. Uwanja huu, unaojulikana kama Neom Sky Stadium au…

Read More

Mechi 8 za Kihistoria Leo – Ni Siku ya Washindi na Meridianbet! England On The Move! Albania Mna Bahati?

Leo hii ukiwa na Meridianbet unaweza ukabadilisha maisha yako kirahisi sana kwani Meridianbet wamekupa nafasi kubwa kwa kukuletea mechi zote za ligi mbalimbali ambazo pia zina machaguo zaidi ya 1000. Italy watakuwa dimbani kusaka ushindi dhidi ya Norway huku timu hizi mbili zikiwa zinafatana kwenye msimamo wa Kundi lao kwani mwenyeji ni wa kwanza akiwa…

Read More

JKT QUEENS MGUU SAWA ANGA LA KIMATAIFA

Baada ya timu ya JKT Queens FC kutoa sare ya pili mfululizo katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa Wanawake Afrika, yanayoendelea hatua ya makundi, Ismailia nchini Misri, kocha wa timu hiyo Kessy Abdallah, amewaomba mashabiki wa timu hiyo wawe na amani, kwani, kuelekea mchezo wa mwisho wanaandaa mpango mkakati kuhakikisha timu inakwenda hatua ya nusu…

Read More

Meridianbet Yaendelea na Moyo wa Ukarimu: Yatoa Msaada Kwa Kituo cha Urekebishaji MRC

Meridianbet wameonyesha tena moyo wa huruma kwa kutoa msaada wa mahitaji muhimu kwa kituo cha MRC Rehabilitation Centre kilichopo Dar es Salaam. Hatua hii imeonyesha jinsi kampuni hiyo inavyoweka mbele ustawi wa jamii kama sehemu muhimu ya utendaji wake wa kila siku. Msaada huo ulihusisha bidhaa mbalimbali kama vyakula, sabuni, mafuta ya kupikia na bidhaa…

Read More

Man City vs Liverpool, Real Madrid vs Rayo – Bashiri, Shinda, na Furahia Ukiwa na Meridianbet

Leo hii ukiwa na Meridianbet unaweza ukabadilisha maisha yako kirahisi sana kwani Meridianbet wamekupa nafasi kubwa kwa kukuletea mechi zote za ligi mbalimbali ambazo pia zina machaguo zaidi ya 1000. Tukianza na LALIGA kule Hispania itaendelea ambapo bingwa wa mtetezi wa ligi Real Madrid atakuwa ugenini kumenyana dhidi ya Rayo Vallecano ambao wapo nafasi ya…

Read More