FT: Wiliete SC 0-3 Yanga SC

FT: Wiliete SC 0-3 Yanga SC Mchezo umekamilika Yanga SC ikiwa ugenini ikipata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Wiliete. Mabao ya Yanga SC yamefungwa na Aziz Andambilwe dakika ya 31, Edmund John dakika ya 71 na Prince Dube dakika ya 79. Dakika ya 88 nahodha wa Wiliete anaonyeshwa kadi ya njano kwa kumchezea faulo nyota…

Read More

LIGI YA MABINGWA ULAYA YARUDI KWA UBABE!

Mechi za ligi ya Mabingwa Ulaya siku ya leo zinatarajiwa kuendelea kwa mechi kali za pesa. Barcelona, City, Galatasaray na wengine wanakusubiri usuke jamvi lako la ushindi. Ingia sasa kwenye akaunti yako na uanze safari yako ya ushindi sasa. Kutoka kule Ujerumani, Eintracht Frankfurt watakipiga dhidi ya Galatasaray ya kule Uturuki ambao ndio mabingwa wa…

Read More

JOSÉ MOURINHO ARUDI BENFICA KAMA KOCHA MKUU

Baada ya kupoteza mchezo wao wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Qarabağ, Benfica imefanya uamuzi mkubwa kwa kutengana na kocha wake mkuu na kumrejesha gwiji wa soka, José Mourinho. Kwa mujibu wa taarifa za ndani zilizoripotiwa na Fabrizio Romano, Mourinho amekubali ofa ya Benfica, kwa makubaliano ya mdomo yatakayomuweka pale hadi Juni…

Read More

Phased Achievements of China-Tanzania “Chinese + Vocational Skills” Project Realized: Educational Outcomes Deepen Bilateral Vocational Education Cooperation

The four teachers participating in the 2025 China-Tanzania “Chinese + Vocational Skills” Project are respectively from Zhengzhou Railway Vocational & Technical College, Zhengzhou Vocational College of Information Technology, and Henan College of Surveying and Mapping. Locally, they taught specialized courses in Civil Engineering, Mechatronics Technology, Artificial Intelligence Technology Application, and Survey and Mapping Engineering Technology…

Read More

China-Tanzania cooperation gains momentum with launch of “Chinese + Vocational Skills” Training ate closely with UDSM and VETA Kipawa.

The China-Tanzania “Chinese + Vocational Skills” project organized by Henan Lianfei Business Information Consulting Co., Ltd. is implemented at the University of Dar es Salaam (UDSM) and VETA Kipawa ICT Centre. The short-term project will help young people master the practical skills necessary for Tanzania’s industrial transformation and sustainable development and empower them to acquire…

Read More