MANCHESTER UNITED WAPOTEZA POINTI JIONI

POINTI tatu za kikatili wamesepa nazo Brighton mbele ya Manchester united ambao walikuwa wanadhani wangeweza kupata angalau pointi moja ugenini. Ubao wa Uwanja wa Falmer ulibadilika usomaji wake dakika ya 90+9 uliposoma Brigton 1-0 Man U. Bao la pekee la ushindi mtupiaji ni Alexis Mac Allister aliwanyanyua mashabiki wa timu yake na kuwapa maumivu wale…

Read More

MKIA UNAPOKUWA MKUBWA KULIKO NG’OMBE

MWENDELEZO mwingine wa ile burudani kwa kila timu kusaka pointi tatu baada ya safari kuwa ndefu kwenye mzunguko wa kwanza huku vinara wakiwa ni Yanga. Kwa sasa ngoma ipo mzunguko wa pili kila timu zikipambana kusaka ushindi uwanjani. Ni Mei yule Ng’ombe aliyekuwa anakatwa vipande vidogovidogo kama anakaribia kufikia kwenye mkia ila upepo unaweza kubadilika…

Read More

LIVERPOOL YASHINDA USIKU KWELI

JURGEN Klopp Kocha Mkuu wa Liverpool ameshuhudia vijana wake wakivuja jasho dakika 90 mbele ya Spurs. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Anfield umesoma Liverpool 4-3 Spurs. Liverpool walianza kupachika bao dakika ya 3 kupitia kwa Curtin Jones kisha dakika ya 5 Luis Diaz alipiga msumari wa pili na Mohamed Salah dakika ya…

Read More

MAN U YASEPA NA POINTI TATU KUBWA

MANCHESTER United inayonolewa na Kocha Mkuu, Ten Hag imesepa na pointi zote tatu muhimu dhidi ya Aston Villa. Katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Old Trafford ubao umesoma Manchester United 1-0 Aston Villa. Bao pekee la ushindi limefungwa na Bruno Fernandez dakika ya 39 kipindi cha kwanza na kuimaliza kazi mapema. United inafikisha pointi 63 nafasi…

Read More

WYDAD 1-0 SIMBA

UBAO wa Uwanja wa Mohamed V unasoma Wydad 1-0 Simba. Safu ya ulinzi ya Simba imekwama kuwazuia Wydad Casablanca kwa kusababisha kosa la kona ambalo limeigharimu timu hiyo. Junior Boll kaonyesha ukomavu wake mbele ya ukuta wa Simba na kupachika bao la kuongoza dakika ya 23. Huu ni mchezo wa maamuzi utakaotoa picha nani atasonga…

Read More

BRIGHTON YACHAPWA UGENINI

WAKIWA ugenini wameshuhudia ubao ukisoma Nottm Forest 3-1 Brighton kwenye mchezo wa Ligi Kuu England. Ilikuwa dakika ya 45 alijifunga Pascal Grob, Danilo dakika ya 69 na Morgan Gibbs-White dakika ya 90. Ni Facundo Buonanotte dakika ya 38 alipachika bao ndani ya City Ground. Nottm Forest imecheza mechi 33 ikiwa na pointi 30 huku Brighton…

Read More

WASHIKA BUNDUKI MAMO MAGUMU, CITY WAPIGA 4G

MANCHESTER City wakiwa Uwanja wa Etihad walibaki na pointi zote tatu muhimu dhidi ya Arsenal. Baada ya dakika 90 ubao ulisoma Manchester City 4-1 Arsenal katika mchezo wa Ligi Kuu England. Kevin De Bruyne alipachika mabao mawili dakika ya 7,54 huku John Stones alipachika bao moja dakika ya 45 na msumari wa nne Mali ya…

Read More

MECHI DUME CITY NA ARSENAL INAPIGWA LEO

MECHI dume kabisa, mechi ya kibabe na mechi ya kibingwa inapigwa leo pale Dimba la Etihad, wana wanakwambia mshindi wa leo anaasilimia kubwa ya kuwa bingwa wa Premier League msimu huu. Leo Jumatano Manchester City chini ya Kocha Pep Guardiola itaikaribisha Arsenal kwenye Uwanja wa Etihad katika mchezo wa Ligi Kuu ya England ambao unatarajia…

Read More

HAALAND YUKO NJIANI KUTENGENEZA REKODI YAKE

MSHAMBULIAJI wa Manchester City Erling Haaland yuko njiani kutengeneza rekodi zake binafsi bora zaidi katika historia ya Premier League. Haaland ana umri wa miaka 22 tu na tayari amezoea ligi na nchi mpya kwa haraka sana sasa anafurahia msimu wake wa kwanza bora akiwa na Man City chini ya Kocha Pep Guardiola. Man City bado…

Read More

KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA RIVERS UNITED

UWANJA wa Godswill Akpabio nchini Nigeria, wawakilishi wa Tanzania, Yanga kwenye Kombe la Shirikisho Afrika watakuwa na kibarua cha kusaka ushindi mchezo wa robo fainali Kombe la Shirikisho Afrika. Kikosi cha Yanga kitakachoanza kipo namna hii:- Diarra Djigui Djuma Shaban Lomalisa Bakari Mwamnyeto Dickson Job Bacca Bangala Farid Mussa Fiston Mayele Mudhathir Yahya Aziz KI

Read More

KIMATAIFA HAKUNA MWENYE KAZI NYEPESI,KUJITUMA MUHIMU

SIO Simba wala Yanga kwenye anga za kimataifa hakuna mwenye kazi nyepesi kutokana na mechi zao wote kuwa ngumu katika hatua ya robo fainali. Kwa mashabiki wakati huu lazima kuungana na kufanya kazi moja kushangalia timu zao huku wachezaji nao akili zao zikiwa kwenye mechi uwanjani. Kwenye hatua za robo fainali ambacho kinaangaliwa ni ushindi mechi zote…

Read More

MANE APIGWA FAINI NDEFU KWELI BAYERN

BAADA ya Sadio Mane kumpiga mchezaji mwenzake wa bayern Munich, Leroy Sane wiki iliyopita nyota huyo amepigwa faini ya pauni 250,000, (Sh.724,445,000). Pia inatajwa kuwa staa huyo raia wa Senegal yupo kwenye hesabu za kuuzwa mwishoni mwa msimu huu. Mane alimchapa ngumi ya mdomo Sane kwenye chumba cha kubadilishia nguo wiki iliyopita kwa madai kuwa…

Read More

LIVERPOOL NGOMA NZITO KWA ARSENAL

WAKIWA ndani yà Anfield Liverpool wamekubali kugawana pointi mojamoja na Arsenal ikiwa ni ngoma nzito kwa timu zote kusepa na poiti tatu. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Liverpool 2-2 Arsenal huku kipindi cha kwanza kikiwa ni mali ya Arsenal na kile cha pili wenyeji walifanya kazi kubwa kusaka ushindi nakugotea kuongeza bao moja pekee….

Read More

CHELSEA WANALIPA MSHAHARA MKUBWA ILA TABU TUPU

CHELSEA wanapita kwenye kipindi kigumu huku wakiwa wanalipa mshahara mkubwa wachezaji wao. Hadi sasa wameondolewa kwenye mashindano yote mawili ya vikombe vya nyumbani. WANALIPA MISHAHARA MIKUBWA Chelsea ndio klabu ya pili kwa Premier League ambayo inalipa mishahara mikubwa kwa mwaka, wakitanguliwa na Manchester United. Kwa mujibu wa mtandao ambao unahusika na mishahara ya klabu za…

Read More