KIVUMBI FAINALI FA MANCHESTER UNITED V CITY

MENEJA Erik ten Hag amesema Manchester United hawana uwezekano wa kuwa na Antony kwenye fainali ya Kombe la FA Jumamosi dhidi ya Man City. Itakuwa kivumbi watakapokutana kwenye mchezo huo ambao unasubiriwa kwa shauku kubwa na mashabiki duniani. Ten Hag alikuwa na matumaini zaidi kuhusu nafasi ya mshambuliaji wa Brazil baada ya kupata jeraha kwenye…

Read More

SEVILLA WASEPA NA TAJI LA SABA LIGI YA EUROPA

KLABU ya Sevilla imefanikiwa kuongeza rekodi ya taji la saba la Ligi ya Europa baada ya kuwalaza Roma 4-1 katika mikwaju ya penalti kwenye Uwanja wa Puskas Arena mjini Budapest. Gonzalo Montiel huyu alifunga penalti ya ushindi kwa Argentina katika fainali ya Kombe la Dunia, alifunga mkwaju huo wa kuamua. Wataalamu hao wa Ligi ya…

Read More

MWAMBA HUYU ANGA ZA CHELSEA

INAELEZWA kuwa Chelsea wamefanya mazungumzo juu ya kumsajili kiungo wa Sporting Lisbon Manuel Ugarte kwa ajili ya kupata saini yake. Nyota huyo dau lake linatajwa kuwa na kipengele cha kuachiliwa kwa gharama ya Pauni 60. Mkataba wa Ugarte unamalizika 2026 na Kocha Mkuu wa Sporting Ruben Amorim amekiri itakuwa vigumu kuwabakisha wachezaji kama Ugarte kufuatia…

Read More

TEN HAG: MANCHESTER UNITED LAZIMA IWEKEZE

KOCHA Mkuu wa Manchester United, Erik ten Hag amesema kwamba Manchester United lazima wawekeze ikiwa wanataka kusalia katika nafasi nne za juu za Premier League. Ten Hag ameirudisha United kwenye Ligi ya Mabingwa kwa mara ya kwanza huku pia akishinda Kombe la Carabao. Lakini kocha huyo alikuwa na wachezaji watatu pekee waliosajiliwa kwa mkopo katika…

Read More

WASIWASI DAWA, WAARABU SIO WA KUWABEZA

WASIWASI ni dawa wanasema hivyo hivyo kwa wawakilishi kwenye anga la kimataifa Yanga hampaswi kujiamini kupita kiasi. Mwendo ambao mlianza nao kwenye kila hatua hakika unapaswa kupongezwa na ili uwe na mwendelezo mzuri ni muhimu kupata ushindi leo kwenu Yanga. Moja ya fainali kubwa na ngumu kupata kutokea ni hii hapa kwa kuwa kosa moja…

Read More

LIVERPOOL YAKAMWA KUTINGA NNE BORA, WAJIVUNIA HIKI

MENEJA wa Liverpool, Jurgen Klopp ameweka wazi kuwa licha ya timu hiyo kukwama kumaliza ndani ya nne bora bado wachezaji walikuwa na ushirikiano mkubwa. Amebainisha kuwa licha ya kukatishwa tamaa kwa kukosa kufuzu kwa soka ya Ligi ya Mabingwa, Klopp amesifu umoja wa wachezaji na wafuasi baada ya kuwa kwenye msimu mgumu. Mshambuliaji Mohamed Salah…

Read More

NEWCASTEL UNITED HAO LIGI YA MABINGWA ULAYA

SASA Newcastle United uhakika kushiriki Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao kwa mara ya kwanza tangu 2003 baada ya sare ya 0-0 dhidi ya Leicester. Kikosi cha Eddie Howe kilijihakikishia nafasi ya nne bora kwa kuonyesha uwezo mkubwa na kuwaacha wageni ambao walipiga shuti moja pekee kwenye lango la wapinzani. Newcastle walidhibiti mechi lakini walichanganyikiwa…

Read More

HALLA CITY YAWAVUA UBINGWA REAL MADRID

MANCHESTER City imetinga hatua ya Fainali ya UEFA Champions League 2022/23 itamenyana na Inter Milan hatua ya fainali. Real Madrid ambao walikuwa ni mabingwa watetezi wamevuliwa taji hilo rasmi ugenini. Chini ya Pep Guardiola katika mchezo wa hatua ya nusu fainali ya pili uliochezwa Uwanja wa Etihad iliibuka na ushindi wa mabao 4-0. Ni Bernardo…

Read More

GALLANTS MARUMO 0-1 YANGA KIMATAIFA

IKIWA ugenini Klabu ya Yanga imeendeleza ubabe ndani ya dakika 45 za mwanzo. Ubao unasoma Marumo Gallants 0-1 Yanga mtupiaji ni Fiston Mayele. Mayele kapachika bao hilo dakika ya 44 baada ya kuwazidi ujanja mabeki wa Gallants ambao walikuwa wanakwenda kufanya shambulizi. Mlima mzito kwa Gallants kupindua meza wakiwa nyumbani wanadaiwa mabao matatu kuweka usawa…

Read More

LIVERPOOL YAPETA UGENINI

LIVERPOOL wakiwa ugenini wamesepa na pointi tatu muhimu na kuwashusha wapinzani wao Leicester City. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Leicester City 0-3. Mabao ya Curtis Jones dakika ya 33 na 36 huku msumari wa tatu ukipachikwa na Trent Alexander-Arnold dakika ya 71. Ndani ya King Power Leicester City walipiga mashuti manne yaliyolenga lango huku…

Read More

BRIGHTON WAWAPIGA WASHIKA BUNDUKI

BRIGHTON hawana kazi ndogo palepale wakiwa ugenini wamemtungua Arsenal na kusepa na pointi tatu mazima mbele ya washika bunduki. Ni Julio Enciso dakika ya 51, Deniz Undav dakika ya 86 na Pervis Estupinan dakika ya 90+6 alitupia kambani. Ilikuwa Uwanja wa Emirates wakati kazi hiyo ikipigwa ñdani ya dakika 90. Arsenal inabakiwa na pointi 81…

Read More

NGOMA NZITO UEFA

NGOMA imekuwa ngumu kwa wababe wote wawili kusepa na ushindi katika mchezo wa UEFA Champions League. Ubao wa Uwanja wa Santiago Bernabeu umesoma Real Madrid 1-1 Manchester City ikiwa ni hatua ya nusu fainali ya Kwanza. Vini Jr alianza kutupia upande wa Real Madrid dakika ya 36 kipindi cha kwanza bao ambalo lilisawazishwa kipindi cha…

Read More

EVERTON YATEMBEZA MKONO HUKO

WANABAKI na pointi zao zilezile 55 baada ya kucheza mechi 33 ndani ya Ligi Kuu England ni Brighton ambao wamepokea kichapo wakiwa nyumbani. Ubao wa Uwanja wa Falmer ulisoma Brighton 1-5 Everton iliyofikisha pointi 32 nafasi ya 17. Maajabu ya mpira kwenye rekodi mashuti 23 walipiga Brighton na matano pekee yakilenga lango huku Everton walipiga…

Read More

WAPINZANI WA YANGA KUTUA BONGO

MARUMO Gallants kutoka Afrika Kusini ambao ni wapinzani wa Yanga kwenye hatua ya nusu fainali Kombe la Shirikisho Afrika wanatarajiwa kutua Bongo, Mei 8,2023. Ni Kesho Jumatatu wanatarajiwa kutua Dar tayari kwa mchezo wao wa kwanza wa nusu fainali ya kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Yanga. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa Dar…

Read More

ISHU YA FEISAL TFF HUKUMU IMEGOTEA HAPA

KAMATI ya Sheria na Hadhi za Wachezaji la Shirikisho la MPIRA wa Miguu Tanzania,(TFF) limetupilia mbali maombi ya Feisal Salum kuhusu kesi yake na Yanga. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Ofisa Habari wa TFF, Clifford Ndimbo imeeleza kuwa Mei 4,2023 pamoja na mambo mengine lilisikiliza shauri la mchezàji Feisal Salum aliyewasilisha malalamiko akitaka kuvunja…

Read More