JIUNGE NA MASHINDANO YA EXPANSE SLOT YA MERIDIANBET UPATE NAFASI YA KUSHINDA.

Wapenzi wa michezo ya kubashiri mnaalikwa kushiriki katika Mashindano ya Expanse Slot, yaliyopo mubashashara katika tovuti ya Meridianbet hadi Desemba 31, 2024. Tukio hili maalum linapatikana kwa wachezaji wote waliosajiliwa kwenye tovuti na programu ya Meridianbet. Washiriki wanayo nafasi ya kushiriki michezo mbalimbali ya Expanse slot na kushindania zawadi za kusisimua. Ili kushiriki mashindano haya,…

Read More

WAZIRI MKUU MAJALIWA AFIKA LILIPOPOROMOKA JENGO KARIAKOO – ATOA TAMKO la SERIKALI…

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Mambo ya Ndani kwa kushirikiana na Kamati za Ulinzi kuhakikisha manusura waliofukiwa na kifusi cha ghorofa lililoporomoka Wanaokolewa Aidha, Waziri Mkuu ameagiza Mitungi ya Hewa ya #Oxygen ipelekwe kwenye eneo hilo ili kuwasaidia manusura waliopo chini ambao bado hawajaokolewa wakati zoezi la uokozi likiendelea Hadi sasa watu kadhaa…

Read More

RUSHWA YA NGONO SABABU YA KUDUMAZA VIPAJI KWA WANAWAKE

SOKA la Wanawake linazidi kukua kila iitwapo leo kutokana na wachezaji kupata fursa ya kucheza kitaifa na kimataifa. Yote haya yanatokana na jitihada ambazo zinafanyika kila siku kwenye kupunguza changamoto huku rushwa ya ngono ikitajwa kuwa miongoni mwa sababu zinazodumaza vipaji hivyo ni muhimu kwa wahusika kutoipa nafasi kuokoa vipaji vingi. Suala la ukatili kwa…

Read More

YANGA MBELE YA JKT TANZANIA REKODI HIZI HAPA

CHINI ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi, Yanga walikomba pointi tatu mazima baada ya ubao wa Uwanja wa Azam Complex kusoma Yanga 2-0 JKT Tanzania. Hapa tunakuletea baadhi ya rekodi za wachezaji wa timu zote mbili namna hii:- DJIGUI DIARRA Kipa namba moja wa Yanga mchezo wake wa sita mfululizo ambazo ni dakika 540 amekaa langoni…

Read More

TIRA YAJA NA SULUHISHO HILI KUHUSU MALAMIKO YA WATEJA

OKOKA Mgavilenzi, Meneja Utekelezaji Sheria na kushughulikia malalamiko, Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tazania, (TIRA) amesema kuwa wateja wanaopata matatizo kwenye soko la bima wanachotakiwa kufanya ni kufika kwenye mamlaka na watashughulikia haraka. Mgavilenzi amesema kuwa wametoea elimu kwa Tanzania Insurance Brokers, (TIBA) kwa lengo la kuongeza ufanisi na weledi sokoni kwenye kutoa huduma kwa…

Read More

AJALI YA NDEGE YAUWA WATU 61 BRAZIL

Ndege chapa ATR 72-500 inayomilikiwa na kampuni ya Voepass ilianguka jioni ya jana katika mji wa Vinhedo, wakati ikitokea jimbo la kusini la Parana kuelekea uwanja wa ndege wa kimataifa wa Sao Paulo. Juhudi za kuipata na kuitambua miili zilikuwa zinaendelea hadi alfajiri ya leo. Mamlaka ya ajali za anga ya Brazil, CENIPA, imetangaza kuanza…

Read More