
MAANDALIZI YA MSIMU MPYA YAANZE MAPEMA
BAADA ya kusimama kwa muda kupisha ratiba ya mashindano ya kimataifa, Ligi Kuu Bara msimu huu wa 2022/23 ilirejea rasmi Juni 6 Jumanne kwa michezo nane kupigwa kwenye viwanja mbalimbali nchini. Kufuatia matokeo ya Juni 6 kila mmoja alianza kuona picha kamili baada ya kesi ya ubingwa kufungwa mapema na Yanga kufanikisha malengo yao. Yanga…