VIDEO: de AGOSTO KUPELEKEWA PUMZI YA MOTO KWA MKAPA
AHMED Ally, Meneja Habari na Mawasiliano Simba amesema kuwa wanajipanga kuelekea mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya de Agosto unaotarajiwa kuchezwa Jumapili, Uwanja wa Mkapa ambapo tayari wachezaji wameanza mazoezi