VIDEO: NABI, HATUONGEI SANA, TUNATAKA MATOKEO
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wamejiaandaa kupata matokeo kwenye mchezo dhidi ya Al Hilal ili kuweza kufikia malengo yao ikiwa ni kutinga hatua ya makundi. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa leo Uwanja wa Mkapa ikiwa