VIDEO:HILI HAPA SEMAJI LA CAF LIKIFANYA UTALII WA NDANI
MTAZAME Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari Simba, ‘Semaji la CAF’likifanya utalii wa ndani Zanzibar
MTAZAME Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari Simba, ‘Semaji la CAF’likifanya utalii wa ndani Zanzibar
MBOTO shabiki wa Yanga ameweka wazi kuwa utaalamu zaidi unafanyika ndani ya Yanga ikiwa ni pamoja na suala la Ofisa Habari huku akimtaja Ally Kamwe na amebanisha kuwa Yanga imekuwa ikifanya mazoezi yake Kigamboni na mechi za kirafiki zinachezwa kwa mujibu wa ratiba
MBOTO shabiki wa Yanga ameweka wazi kuwa Kocha Mgunda anapaswa kufanya vizuri kwenye mechi zao kwa kuwa akifungwa kuna nyimbo huwa wanaimbiwa, amebainisha kuwa Juma Mgunda atafukuzwa tena na makofi kwa kuwa mashabiki wa Simba wameumbiwa hasira
INAELEZWA kuwa Robertinho Oliviera raia wa Brazil ametuma CV zake kuomba kazi ya kuifundisha Simba iliyo chini ya Kocha Mkuu Juma Mgunda
HUKU wengi wakiamini Yanga SC kuanzia nyumbani katika mchezo wa hatua ya kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Hilal itawazuia kufuzu hatua ya makundi, kocha msaidizi wa timu hiyo, Cedric Kaze ameibuka na kushusha presha kwa kusema kikosi chao kinaweza kupata ushindi popote. Yanga ambao ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, wamefuzu…
LEO Septemba 27, Yanga imemtambulisha CEO mpya ambaye ni Andre Mtine na Rais wa Yanga, Injinia Hers Said amebainisha kuwa kocha huyo ana uzoefu mkubwa wa mechi za kimataifa
RIO Ferdinand amefichua kuwa Sir Alex Ferguson alikuwa akiwaita Arsenal, ‘Watoto’ili kuamsha ari ya wachezaji wake wa Manchester United wakawachape wanapokutana. Beki huyo wa zamani wa Man United amefichua kuwa Fergie daima alikuwa anawaambia wachezaji wake kuwa ‘nendeni mkawafunge watototo hao’ wakati akizungumza nao kwenye vyumba vya kubadilishia nguo. Ferdinand alisema:”Sir Alex Ferguson alikuwa akisema…
Dar-es salaam: Kampuni ya Meridianbet Tanzania, Jumatatu hii tarehe 26 Septemba 2022, walitembelea hospitali ya Madale na kutoa vifaa vya usafi na vifaa tiba katika hospitali ya hiyo ambayo inapatikana Tegeta, Kata ya Wazo. Timu ya Meridianbet ilifunga safari hadi hospitali hiyo, ikiongozwa na Twaha Ibrahim ambaye ni Afisa Masoko wa Kampuni. Timu hii ilikaribishwa…
UONGOZI wa Yanga leo Septemba 27,2022 umemtangaza Adre Mtine kutoka Zambia kuwa Ofisa Mtendaji Mkuu mpya wa klabu hiyo. Ni mkataba wa miaka miwili CEO huyo amepewa kufanya kazi ndani ya Yanga ambapo utambulisho wake umefanywa na Rais wa Yanga, Injinia Hers Said. Anakuja kuchukua mikoba ya Senzo Mbatha raia wa Afrika Kusini ambaye mkataba…
MASTAA watatu wa kikosi cha Simba wameingia kwenye fainali ya kuwania tuzo ya mchezaji bora kwa mwezi Septemba. Nyota hao wanawania Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashabiki (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month) ambapo mshindi huchaguliwa na mashabiki. Ni mshambuliaji Moses Phiri na kiungo Clatous Chama hawa wote ni raia wa Zambia pamoja…
KWENYE Ligi Kuu Bara, ukuta wa Yanga unaoongozwa na nahodha Bakari Mwamnyeto umeruhusu mabao matatu ya kufungwa huku safu ile ya ushambuliaji ikiwa imetupia jumla ya mabao 9. Kwa sasa Yanga ipo kwenye maandalizi ya mchezo wao ujao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Hila unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Ni Oktoba 8,2022…
IMERIPOTIWA kuwa Klabu ya Juventus ipo kwenye mpango wa kuwania saini ya kipa namba moja wa Manchester United, David de Gea. Hesabu za Juventus ni kuinasa saini ya nyita huyo kwa ajili ya msimu ujao ili apate cangamoto mpya. Mkataba wa kipa huyo ndani ya United unatarajiwa kugotea ukingoni mwishoni mwa msimu huu ingawa kuna…
Mgunda ajilipua Simba, Nabi awaingiza chaka Wasudan ndani ya Spoti Xtra Jumanne
DENIS Jean, Kocha Mkuu wa Azam FC raia wa Ufaransa amesema kuwa kwa sasa mpango kazi uliopo ni kuandaa utimamu wa kikosi hicho kuelekea kwenye mechi za kimataifa pamoja na ligi. Kocha huyo ambaye amesaini dili la mwaka mmoja kuchukua mikoba ya Abdi Hamid Moallin mchezo wake wa kwanza wa ligi alishuhudia timu hiyo ikishinda…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa taarifa za Patrick Aussems aliyekuwa kocha wa timu hiyo pamoja na makocha wengine wanaotajwa itajulikana hivi karibuni uongozi utakapokamilisha mchakato wa kufanya tathmini. Simba kwa sasa ipo chini ya Kocha Mkuu,Juma Mgunda ambaye amepewa mkataba wa muda na yupo na kikosi hicho Zanzibar kwa ajili ya mechi mbili za…
MWANDISHI Mkongwe kwenye masuala ya mpira Bongo, Saleh Ally ‘Jembe’ amesema kuwa winga wa Klabu ya Yanga Bernard Morrison anatakiwa kurekebisha tabia yake ya kushindwa kujizuia hasira zake na mwishowe kufanya matukio ambayo yanampa hasara. Nyota huyo kutokana na makosa hayo amesababisha afungiwe kucheza michezo mitatu ya Ligi Kuu ya NBC pamoja na faini ya…
TABASAMU limeanza kurejea taratibu aada ya timu zetu za Taifa kupata matokeo mazuri kwenye mechi za mwanzo za kirafiki hili ni jambo ambalo linahitaji kuwa na mwendelezo. Wakiwa Libya, Taifa Stars walipata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Uganda na Serengeti Boys pia kwenye mchezo wao wa kirafiki walishinda bao 1-0 dhidi ya Sudan U…