SAUTI:TUISILA KISINDA AFUMUA KIKOSI YANGA
INGIZO jipya ndani ya kikosi cha Yanga, Tuisila Kisinda limeweza kufumua kikosi cha timu hiyo kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi
INGIZO jipya ndani ya kikosi cha Yanga, Tuisila Kisinda limeweza kufumua kikosi cha timu hiyo kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi
HII hapa ndinga mpya la Klabu ya Simba Queens ambao wanaipeperusha bendera ya Tanzania kimataifa
OFISA Habari wa KMC, Christina Mwagala ameweka wazi kuwa sababu ambazo zimewafanya waweze kuwaondoa baadhi ya wachezaji katika kikosi hicho ni kufanya mabadiliko huku akibainisha kuwa mechi yao ya kirafiki dhidi ya Yanga licha ya kufungwa mabao 2-1 vijana wao walicheza pira la maana na kuwaachia salumu Yanga
TAARIFA iliyotolewa leo Septemba 2,2022 na Klabu ya Simba ni kuhusu kutangulia mbele za haki kwa daktari wa timu hiyo. Taarifa hiyo imeeleza namna hii: “Kwa masikitiko makubwa tunatangaza kifo cha aliyekuwa daktari wa timu yetu ya wanaume (Senior Team) ambaye kwa sasa alikuwa daktari wa timu ya vijana (Youth Team). “Dkt. Yassin Gembe kifo…
MKAZI wa Dar es Salaam Raphael Daudi amejishindia kitita cha Sh 113,789, 620 baada ya kubashiri kiusahihi mechi 12 za mchezo wa Perfect 12 unaondeshwa na kampuni ya M-Bet Tanzania. Daudi ambaye ni muuza duka eneo la Ubungo Riverside na shabiki wa Simba amesema kuwa haikuwa kazi rahisi kwa yeye kushinda kiasi kikubwa cha fedha…
KOCHA Mkuu wa Newcastle United, Eddie Howe amesema kuwa hajaelewa mpaka sasa kwa nini ziliongezwa dakika nyingi kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu England dhidi ya Liverpool. Ni mabao 2-1 walifungwa kwenye mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Anfield na bao la ushindi lilifungwa dakika za lala salama. Ni Fabio Carvalho alifunga bao la ushindi dakika…
KUKAMILISHA usajili wa nyota Tuisila Kisinda ambaye ni kiungo kunaongeza nguvu kwenye kikosi hicho kwenye mechi za ushindani. Huenda Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi akaamua kuanza na nyota wake wapya amoja na wale ambao walikuwa na kikosi hicho kwa msimu uliopita wa 2022/23 kwenye mchezo wake mmoja wa ligi ama kitaifa. Nyota hao 11…
BAO la ushindi ambalo alifunga Jadon Sancho kwenye mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya Leicester City wakiwa ugenini limemfanya achaguliwe kuwa mchezaji bora wa mchezo huo. Ilikuwa ni Uwanja wa King Power Manchester United walifanikiwa kukusanya pointi tatu wakiwa ugenini. Ushindi huo unaifanya timu hiyo kufikisha jumla ya pointi 9 ikiwa nafasi ya tano…
STAA wa Klabu ya Real Madrid, Karim Benzema amebainisha kuwa nyota Cristiano Ronaldo amefanya kazi kubwa kumsaidia yeye kuwa bora baada ya kuondoka hapo na kumuachia majukumu. Benzema na Ronaldo walicheza pamoja Real Madrid kuanzia 2009 mpaka 2018 kwa mafanikio makubwa ndani ya La Liga. Mpaka Ronaldo anaondoka Madrid alikuwa ametupia mabao zaidi ya 420…
KEY Mziwanda ameweka wazi kuwa kuna watu wamekimbia mashindano hivyo watakutana nao kwenye ligi, amebainisha kwamba Simba ni timu kubwa anachojivunia ni uweza kufanya usajili mzuri wakiwa tofauti na mabingwa wa Yanga
MASTAA wa Simba ikiwa ni pamoja na Dejan, All Salim wamerejea Dar wakitokea Sudan walipoalikwa kwenye mashindano maalumu na kucheza mechi mbili za kimataifa
BAADA ya kurejea kutoka nchini Sudan kikosi cha Simba kesho kinatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya AS Arta Solar, Uwanja wa Mkapa. Simba ilialikwa kwenye michuano maalumu iliyoandaliwa na Al Hilal ambapo iliweza kucheza mechi mbili za kirafiki. Mchezo wa kwanza Kocha Mkuu wa Simba, Zoran Maki alishuhudia timu hiyo ikishinda mabao 4-2…
MADILI yote ambayo yalikuwa yanatajwa juu yake mwisho yamezimwa na sasa ni rasmi mwaba Fiston Mayele bado yupo sana ndani ya Yanga. Nyota huyo alikuwa anatajwa kuwa kwenye rada za timu kubwa Afrika ikiwa ni pamoja na Morocco, Afrika ya Kusini ambazo zilikuwa zinahitaji saini yake. Yanga wameamua kumpa dili lingine ambalo litamfanya adumu…
NYOTA Gael Bigirimana ameoa mke mzungu huyu hapa namna alivyoweza kumpata
KIKOSI cha Yanga kipo kwenye maandalizi ya mchezo wao wa ligi ujao dhidi ya Azam FC unaotarajiwa kuchezwa Septemba 6,2022 Uwanja wa Mkapa. Timu hiyo inanolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ambaye ameongoza kwenye mechi mbili za ligi bila kuonja ladha ya kupoteza. Ilikuwa mchezo wake dhidi ya Polisi Tanzania iliposhinda mabao 2-1 na mchezo…
WAKIWA Uwanja wa Anfield, Liverpool walipindua meza kwa kuwa walifungwa bao la mapema na Alexander Isak dakika ya 38 nyota wa Newcastel United. kipindi cha pili mabao ya Roberto Firmino dakika ya 61 na bao la ushindi lilifungwa na Fabio Carvalho dakika ya 90+8 na kuwafanya wabaki na pointi zote tatu muhimu. Ushindi huo unaifanya…
BAADA ya kumaliza kazi kwenye mechi mbili za kirafiki ambazo walialikwa nchini Sudan na Klabu ya Al Hilal, kikosi cha Simba leo Septemba Mosi kinatarajiwa kurejea Dar. Timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Zoran Maki iliweza kupata matokeo kwenye mchezo mmoja chanya na mwingine waliweza kupata matokeo hasi. Kwenye mchezo wa kwanza walipata ushindi wa…