MGUNDA AJILIPUA SIMBA, NABI AWAINGIZA CHAKA WASUDAN
Mgunda ajilipua Simba, Nabi awaingiza chaka Wasudan ndani ya Spoti Xtra Jumanne
Mgunda ajilipua Simba, Nabi awaingiza chaka Wasudan ndani ya Spoti Xtra Jumanne
DENIS Jean, Kocha Mkuu wa Azam FC raia wa Ufaransa amesema kuwa kwa sasa mpango kazi uliopo ni kuandaa utimamu wa kikosi hicho kuelekea kwenye mechi za kimataifa pamoja na ligi. Kocha huyo ambaye amesaini dili la mwaka mmoja kuchukua mikoba ya Abdi Hamid Moallin mchezo wake wa kwanza wa ligi alishuhudia timu hiyo ikishinda…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa taarifa za Patrick Aussems aliyekuwa kocha wa timu hiyo pamoja na makocha wengine wanaotajwa itajulikana hivi karibuni uongozi utakapokamilisha mchakato wa kufanya tathmini. Simba kwa sasa ipo chini ya Kocha Mkuu,Juma Mgunda ambaye amepewa mkataba wa muda na yupo na kikosi hicho Zanzibar kwa ajili ya mechi mbili za…
MWANDISHI Mkongwe kwenye masuala ya mpira Bongo, Saleh Ally ‘Jembe’ amesema kuwa winga wa Klabu ya Yanga Bernard Morrison anatakiwa kurekebisha tabia yake ya kushindwa kujizuia hasira zake na mwishowe kufanya matukio ambayo yanampa hasara. Nyota huyo kutokana na makosa hayo amesababisha afungiwe kucheza michezo mitatu ya Ligi Kuu ya NBC pamoja na faini ya…
TABASAMU limeanza kurejea taratibu aada ya timu zetu za Taifa kupata matokeo mazuri kwenye mechi za mwanzo za kirafiki hili ni jambo ambalo linahitaji kuwa na mwendelezo. Wakiwa Libya, Taifa Stars walipata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Uganda na Serengeti Boys pia kwenye mchezo wao wa kirafiki walishinda bao 1-0 dhidi ya Sudan U…
KARIM Mandonga ni sawa na kachumbari ya mchezo wa ngumi kipindi hiki, hili halina ubishi. Mandonga sasa ni gumzo haswa, kama mtu ni mgeni, anaweza kuamini Mandonga ni bondia mwenye mikanda kadha wa kadha kutokana na ubora wa kazi yake ulingoni. Bondia huyu si maarufu kutokana na ushindi ulingoni, amepata bahati ya aina yake kuwa…
SHABIKI wa Klabu ya Simba na timu ya Manchester United, Derick Mustafa, ameshinda Sh 49.8 milioni baada ya kubashiriki kwa kwa usahihi mechi 14 za ligi mbalimbali za soka duniani kupitia ‘mkeka’ wa kampuni ya 10 Bet. Mustafa ambaye ni mkazi wa Kigamboni jijini Dar es Salaam amesema kuwa haikuwa kazi rahisi kushinda kiasi kikubwa…
MWARABU aliyepigwa kwa pointi na Kiduku kwenye pambano lililochezwa Mtwara, Uwanja wa Nangwanda Sijaona ametaja visingizo ambavyo vimemfanya apigwe kwenye pambano hilo
MCHAMBUZI wa masuala ya michezo Mzee wa Kudere amewazungumzia wapinzani wa Simba kimataifa na kumzungumzia Mzungu Dejan
BONDIA Twaha Kiduku mzee wa ShoShow ameweka wazi kuwa haikuwa rahisi kumpa kichapo Mwarabu Abdo Khaled na kutetea ubingwa wa UBO kwenye pambano lao Mtwara ambapo alishinda kwa pointi
MSHAMBULIAJI wa Tottenham, Harry Kane raia wa England ameweka wazi kuwa kasi ambayo ameanza nayo mshambuliaji mpya ndani ya Manchester City, Erling Haaland ni nzuri ila naye ataongeza juhudi kutimiza majukumu yake. Haaland raia wa Norway amekuwa chachu ya matokeo mazuri uwanjani ametupia jumla ya mabao 14 kwenye mechi za mashindano yote. Ni namba moja…
SIMBA ilee makundi CAF, Nabi awaongezea program Mayele, Kisinda Yanga ndani ya Championi Jumatatu
Kwa wapenzi wa ubashiri, kushinda jackpot ni kitu kikubwa sana ambacho kila mbashiri anatamani kufanikisha siku moja. Jackpot imekuwa Maarufu sana kwa kubadilisha Maisha ya watu, kuthibitisha ule msemo wa kulala maskini na kuamka Tajiri, hasa ukizingatia wengi wanaopata bahati hushinda pesa nyingi sana ukilinganisha na kiasi ambacho Wanaweza kuingiza kwa shuguli zao za kawaida….
KARIM Mandonga ametangaza vita baada ya kutoka ulingoni Mtwara
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara Yanga ambao wanaiwakislisha Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika mikataba yao imeboreshwa na kunampango wa kuboresha bonasi kila wanaposhinda
KLABU ya Soka ya Al-Ahli kutoka Saudi Arabia leo Jumapili Septemba 25, 2022 imemtangaza Pitso Mosimane kuwa Kocha Mkuu wa Klabu hiyo. Kabla ya Mosimane kujiunga na klabu hiyo alikuwa akiitumikia Klabu ya Al Ahly ya Misri. Al-Ahli inashiriki Ligi Daraja la pili nchini Saudi Arabia baada ya kushuka daraja msimu uliopita wa 2021/ 2022….