
MILIONI 400 ZAWEKWA MEZANI YANGA ISEPE NA POINTI ZA SIMBA
KATIKA kuhakikisha wanapata ushindi dhidi ya Simba, Mdhamini wa Yanga, Bilionea Gharib Said Mohammed ‘GSM’,hivi karibuni alifanya kikao kizito na wachezaji wakiongozwa na mshambuliaji Fiston Mayele. Katika kikao hicho ambacho kilienda sambamba na kufturu pamoja, pia benchi lote la ufundi la timu hiyo linaloongozwa na Kocha Mkuu, Mtunisia, Nasreddine Nabi, lilikuwepo. Hiyo ni katika kuweka…