
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMAPILI
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumapili
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumapili
DAKIKA 90 zimekamilika Uwanja wa Mkapa kwa ubao kusoma Yanga 0-0 Simba. Ulikuwa ni mchezo mkali wa mzunguko wa pili na kufanya dk 180 kukamilika bila kufungana. Ule wa awali,ubao ulisoma Simba 0-0 Yanga hivyo katika msako wa pointi 6 wamegawana pointi mbilimbili. Mwamuzi wa kati Ramadhan Kayoko alionekana kuwa na presha mwanzo kabla ya…
KUELEKEA mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa leo kati ya Yanga v Simba, vinara wa Ligi Kuu Bara, wametaja idadi ya mabao ambayo wanaamini watashinda. Vinara wa ligi ni Yanga wenye pointi 54 na wamecheza mechi 20 wanafuatiwa na Simba ambao ni mabingwa watetezi wakiwa na pointi 41 baada ya kucheza mechi 19. Ni…
MAPILATO wa mchezo wa leo wa Yanga v Simba unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa unaambiwa weka mbali na watoto kutokana na rekodi zao kuwa ni za moto kila wanapochezesha mechi. Waamuzi ambao wapo kwenye orodha iliyotolewa na Shirikisho la Soka Tanzania ambao ni Ellyi Sasii, Mohamed Mkono, Frank Komba na Ramadhan Kayoko ambaye atakuwa mwamuzi…
KLABU ya Liverpool leo Aprili 30,2022 inatarajiwa kusaka pointi tatu mbele ya Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu England. Ni katika Uwanja wa St James Park mchezo huo unatarajiwa kupigwa ambapo kila timu inahitaji ushindi. Liverpool ipo nafasi ya pili ikiwa na pointi 79 baada ya kucheza mechi 33 huku vinara wakiwa ni Manchester…
ULE utundu wa kutamba sasa unakaribia lakini kwa jeshi hili la Yanga na Simba, Aprili 30 unadhani nini kitatokea? Ngoma inatarajiwa kupigwa kwa watani hawa wa jadi ambapo vinara wa ligi ni Yanga wenye pointi 54 na mabao 35 na Simba wao wana pointi 41 na safu ya ushambuliaji imefunga mabao 23. Hapa tunakuletea jeshi…
MAMBO mengi yana mwisho na leo inaweza kuwa hivyo kwa kuwa watani wa jadi Yanga na Simba wanatarajiwa kumaliza zile kelele za kitaa nani mkali. Ofisa Habari wa Yanga Hassan Bumbuli aliweza kufanya mahojiano maalumu na Global Radio kwenye kipindi cha Krosi Dongo aliweka wazi mipango yao namna hii:- “Kwenye mechi za misimu mitatu tulianza…
WAKIWA Uwanja wa de la Meinau wababe PSG waligawana pointi mojamoja na Strasbourg katika mchezo wa Ligue 1. Ilikuwa ni mabao ya Kevin Gameiro dk 3 Marco Verralti alijifunga dk 75 na bao la usiku lilifungwa na Anthony Caci dk 90+2. Kwa wababe PSG wao walifunga kupitia kwa Kylian Mbappe aliyetupia mabao mawili ilikuwa dk…
WINGA wa kimataifa wa Senegal anayecheza Simba, Pape Ousmane Sakho, amesema wala hana presha kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga, huku akibainisha kwamba, anauchukulia mchezo huo kama mingine aliyowahi kucheza. Sakho ambaye amejiunga na Simba mwanzoni mwa msimu huu, amekuwa moja ya wachezaji bora ndani ya kikosi hicho kutokana na kiwango alichokionesha…
WAKALA mkubwa duniani Mino Raiola amelazimika kujibu mitandaoni akiwa kwenye kitanda kukanusha taarifa ambazo zimesambaa zikidai kwamba amefariki. Taarifa ziliibuka nyumbani kwao Italia ambapo zilieleza kuwa wakala huyo mkubwa amefariki baada ya kuugua. Ikumbukwe kwamba miongoni mwa wachezaji ambao anawasimamia ni pamoja na Paul Pogba,Erling Haaland ambao ni wachezaji wakubwa. Kumekuwa na meseji nyingi za…
APRILI 30,2022 leo Uwanja wa Mkapa majira ya saa 11:00 jioni unatarajiwa kuchezwa mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Yanga v Simba. Huenda Pablo Franco, Kocha Mkuu wa Simba akapanga kete zake namna hii:- Aishi Manula Zimbwe Henock Inonga Joash Onyango Shomari Kapombe Pape Sakho Sadio Kanoute Jonas Mkude Clatous Chama Meddie Kagere Bernard…
DABI ya Kariakoo inasubiriwa kwa shauku kubwa ambapo kila timu inasaka pointi tatu muhimu. Huenda kikosi cha Yanga kikawa namna hii:- Diara Djigui Djuma Shaban Bakari Mwamnyeto Dickson Job Kibwana Shomari Yannick Bangala Farid Mussa Sure Boy Khalid Aucho Fiston Mayele Feisal Salum
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Ijumaa
LICHA ya kuweza kuongoza mpaka dakika ya 87,Geita Gold inayonolewa na Kocha Mkuu, Felix Minziro imekwama kusepa na pointi tatu mazima. Ilikuwa ni kwenye mchezo dhidi ya Azam FC ambao ni wa ligi umechezwa leo Aprili 29,2022 Uwanja wa Nyankumbu. Ni mabao ya George Mpole dk ya 26 na anafikisha bao la 11 ndani ya…
CEDRICK Kaze, Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa wamewasisistiza wachezaji wote wa timu hiyo kuweza kucheza kwa umakini ili kupata matokeo chanya mbele ya Simba.
PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema anatambua mchezo wao dhidi ya Yanga utakuwa mgumu ila watajitahidi kupata ushindi ili kuwapa furaha mashabiki. Kesho Aprili 30,2022 Uwanja wa Mkapa saa 11:00 jioni unatarajiwa kuchezwa mchezo wa ligi kati ya Yanga v Simba
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mtunisia, Nasreddine Nabi, amepanga kubadilisha mbinu dhidi ya Simba kutokana na ubora wa watani wao hao wa jadi. Kauli hiyo aliitoa mara baada ya Yanga kuingia kambini mapema wiki hii kujiandaa na mchezo huo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Jumamosi kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar. Nabi amesema katika mchezo huo, wanakwenda…