
UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMAPILI
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumapili
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumapili
REAL Madrid wametwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa kuitungua bao 1-0 Liverpool kwenye mchezo wa hatua ya fainali iliyochezwa Uwanja wa de France. Licha ya Liverpool kuwa na matumaini ya kuweza kulipa kisasi cha mwaka 2018 walipokutana kwenye fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya na Real Madrid kuweza kushinda bado wakati huu wameshindwa…
KIKOSI cha Simba kimepoteza mchezo wa hatua ya nusu fainali mbele ya Yanga kwa kufungwa bao 1-0 uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba. Pablo Franco ameongoza kikosi chake ndani ya dakika 90 na kushuhudia wakishindwa kupata ushindi. Bao pekee la ushind kwa Yanga limefungwa na Feisal Salum ilikuwa dk ya 25 kwa shuti kali akiwa nje…
UWANJA wa CCM Kirumba, dk 45 za kipindi cha kwanza kwa watani wa jadi kutoana jasho zimekamilika na ubao unasoma Yanga 1-0 Simba. Dakika 15 za mwanzo ilikuwa ni msako kwa kila timu kutafuta bao la kuongoza ambapo hakukuwa na aliyeweza kuona lango la mpinzani. Yanga ilibidi wasubiri mpaka dk ya 25 huku mtupiaji akiwa…
KIKOSI cha Simba ambacho kitaanza dhidi ya Yanga, Uwanja wa CCM Kirumba kipo namna hii:- Beno Kakolanya Jimmysone Mwanuke Zimbwe Joash Onyango Henock Inonga Taddeo Lwanga Pape Sakho Sadio Kanoute Chris Mugalu Mzamiru Kibu Dennis Akiba Manula Ally Gadiel Kennedy Nyoni Bwalya Kagere Mhilu
KETE ya Yanga dhidi ya Simba, Uwanja wa CCM Kirumba hatua ya nusu fainali ipo namna hii:- Djigui Djuma Kibwana Mwamnyeto Job Bangala Aucho Sure Boy Feisal Mayele Makambo
LEO ni nusu fainali ya Kombe la Shirikisho ambapo watani wa jadi Yanga na Simba wanatarajiwa kumenyana kwenye mchezo unaosubiriwa kwa shauku kubwa. Hamna namna mshindi lazima apatikane na tunajua kwamba kila timu imefanya maandalizi vizuri kwa ajili ya mchezo huu muhimu. Atakayeshinda leo anauhakika wa kucheza fainali na huko pia ni muhimu kila mmoja…
WAKATI leo nyota wawili wa Yanga, Said Ntibanzokiza na Dickson Ambundo wakitarajiwa kuukosa mchezo wa nusu fainali dhidi ya Simba mikoba yao inatarajiwa kuwa mikononi mwa Jesus Moloko. Ni kwenye suala la mapigo ya mipira huru hasa kona ambapo kwenye mechi za hivi karibuni ni Ntibanzokiza alikuwa akitumika mara kwa mara na Ambundo kidogo. Kwenye…
PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema wanajua mechi ya leo nusu fainali Kombe la Shirikisho itakuwa ngumu ila watajitahidi kutafuta ushindi mbele ya Yanga Simba ina kazi ya kusaka ushindi mbele ya Yanga kwenye mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa CCM Kirumba. Kocha Pablo ameweka wazi kwamba maandalizi ambayo wameyafanya yanawapa nafasi ya kuweza kupata…
KOCHA Mkuu wa Yanga Nasreddine Nabi amesema wameukamata vizuri mchezo wa nusu fainali Kombe la Shirikisho dhidi ya Simba utakaochezwa Uwanja wa CCM Kirumba. Ni leo Mei 28 mchezo huo ambao umeshika hisia za mashabiki wengi unatarajiwa kuchezwa kwa timu ambayo itatinga hatua ya fainali. Mshindi wa mchezo wa leo anatarajiwa kucheza na mshindi wa…
IMEELEZWA kuwa kipa namba mbili wa Simba, Beno Kakolanya ameandaliwa kubeba mikoba ya Aishi Manula kwenye mchezo wa leo hatua ya nusu fainali. Simba ina kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Yanga kwenye mchezo ambao unaotarajiwa kuchezwa leo Uwanja wa CCM Kirumba. Taarifa zimeeleza kuwa Manula yeye alipata maumivu kwenye mchezo dhidi ya Geita Gold…
RIPOTI kutoka nchini Ujerumani zinadai kuwa Sadio Mane atawaaga wachezaji wenzake wa Liverpool baada ya mchezo wa fainali ya Ligi ya mabingwa barani Ulaya kesho Mei 28, 2022 mchezo watakaocheza dhidi ya Real Madrid. Mkataba wa Mane ndani ya Liverpool unaisha Juni 2023 na alipoulizwa juu ya hatma yake kama atasalia klabu hapo alisema ataweka…
STAA wa Tottenham Son Heung-min ameweza kuweka rekodi yake ndani ya Ligi Kuu England baada ya kutwaa tuzo ya kiatu cha ufungaji bora alipoweza kufikisha mabao 23. Nyota huyo anakuwa raia wa kwanza kutoka bara la Asia kuweza kutwaa tuzo ya ufungaji bora ndani ya Ligi Kuu England iliyoisha msimu wa 2021/22 alipoweza kufikisha mabao…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumamosi
MAKOCHA wawili ambao wanatarajiwa kuongoza vikosi vyao Uwanja wa CCM Kirumba kwenye mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho wameibiana mbinu ndani ya dakika 90 kabla ya kukutana uwanjani. Ni Nasreddine Nabi Kocha Mkuu wa Yanga wa alianza kuweza kuiba mbinu za Pablo Franco Uwanja wa Kirumba baada ya kushuhudia dk 90 za kazi…
MKAZI wa mkoa wa Kagera, Baraka Lugwisha Shoki amejishindia kitita cha Sh 168,972, 500 baada ya kubashiri kiusahihi mechi 12 za mchezo wa Perfect 12 unaondeshwa na kampuni ya M-Bet Tanzania. Shoki ambaye ni shabiki wa Simba, Geita Gold FC na Chelsea alisema kuwa haikuwa kazi rahisi kwa yeye kushinda kiasi kikubwa cha fedha hicho kutokana na…
MENEJA wa Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally, amesema nyota wawili waliokuwa majeruhi katika kikosi chao, Aishi Manula na Shomari Kapombe, wameanza mazoezi rasmi kujiandaa kuikabili Yanga SC kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini hapa, Jumamosi hii. Manula alipata maumivu ya mkono muda mfupi kabla ya mchezo wa ligi kati ya Geita Gold v…