
HAIJAWAHI TOKEA, UJENZI UWANJA WA YANGA NOMA, MGUNDA HATUJAMALIZA
HAIJAWAHI tokea, ujenzi Uwanja wa Yanga noma, Mgunda hatujamaliza ndani ya Championi Jumatano
HAIJAWAHI tokea, ujenzi Uwanja wa Yanga noma, Mgunda hatujamaliza ndani ya Championi Jumatano
JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho dhidi ya Tanzania Prisons huku akiwataja nyota ambao wataukosa mchezo huo ikiwa ni pamoja na Sadio Kanoute ambaye anaumwa, Shomari Kapombe
WACHEZAJI wa Yanga leo wameshinda mabao 3-0 dhidi ya Mtibwa Sugar, tazama ambacho wamekifanya baada ya kukamilisha kazi ya kusaka pointi tatu
BEKI wa kati wa Simba, Joash Onyango ni miongoni mwa nyota wa kikosi hicho ambao wamewasili salama Mbeya, kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Tanzania Prisons unaotarajiwa kuchezwa kesho, Septemba 14, Uwanja wa Sokoine Mbeya. Wengine ni pamoja na Aishi Manula ambaye leo ni kumbukizi yake ya kuletwa duniani, Clatous Chama,…
WAKATI Yanga ikishinda mabao 3-0 dhidi ya Mtibwa Sugar ni mabao ya Djuma Shaban dakika ya 32, Fiston Mayele dakika ya 37 na Aziz KI dakika ya 90 yalitosha kuipa pointi tatu Yanga inayofikisha pointi 10 ikiwa nafasi ya kwanza kwenye msimamo. Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amesema kuwa wachezaji walicheza kwa umakini kipindi…
LEO Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Honour Janza ametangaza kikosi cha Stars ambacho kinatarajiwa kuingia kambini Jumamosi. Ni kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya kirafiki iliyo kwenye kalenda ya FIFA dhidi ya Libya. Wachezaji hao ni Aishi Manula, (Simba) Beno Kakolanya, (Simba),Said Kipao, (Kagera Sugar),Kibwana Shomari, (Yanga), Datius Peter, (Kagera Sugar),…
JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba ameanza kazi yake na kuanza na rekodi 7 akiwa benchi kwenye mchezo dhidi ya Big Bullets uliochezwa Uwanja wa Bingu. Mgunda ni kocha wa muda akichukua mikoba ya Zoran Maki aliyeiongoza Simba kwenye mechi mbili za ligi na rekodi zake zipo namna hii:- Wazawa na wageni kukiwasha Mgunda alishuhudia…
MASTAA wa Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu, Denis Lavagne raia wa Ufaransa ambaye amepewa dili la mwaka mmoja kuiona timu hiyo wakiongozwa na mshambuliaji Prince Dube wamepewa kazi ngumu kufunga kila nafasi. Azam FC baada ya kucheza mechi tatu, safu yake ya ushambuliaji imetupia mabao matano na kinara ni kiungo Tepsi Evance mwenye mabao…
THOBIAS Kifaru, Ofisa Habari wa Mtibwa Sugar amesema wanahitaji kupata ushind kwenye mechi zote ambazo watacheza ikiwa ni pamoja na mchezo wao dhidi ya Yanga. Mtibwa Sugar imeanza msimu kwa mwendo wake ikiwa imecheza mechi tatu, ushindi ni kwenye mechi mbili ina sare moja pointi zake kibindoni ni 7. Kifaru amesema kuwa wanatambua wana kazi…
Wabobezi wa mambo wanasema unaweza kuifanya ndoto yako kuwa kweli. Kama umeota ndoto nyingi ambazo haijawa kweli, bila shaka unafaa kuanza kupanga vyema mipango yako ya ndoto, na kubadilisha vipaumbele – ndoto za ushindi ni mipango. Twende na hii; Umewahi kuota ndoto ukifurahia kuona wanyama mbugani? Au ukipiga mbizi kwenye fukwe bora duniani, au…
BEKI Joash Onyango anatajwa kubaki Simba SC mpaka mkataba wake utakapogota mwisho huku Tuisila Kisinda wa Yanga akitajwa kuwa nafasi yake itakuwa ndani ya kikosi hicho mpaka dirisha dogo. Mashauriano ya wachezaji haya yalikuwa yanasikilizwa na Kamati ya Sheria, Wanachama na Hadhi za Wachezaji ambapo Kisinda yeye alisajiliwa muda mfupi kabla dirisha la usajili kufungwa…
MSHAHARA Yanga kufuru, Mgunda aweka wazi hatma yake Simba ndani ya Spoti Xtra Jumanne
LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea leo ambapo mechi mbili zinatarajiwa kuchezwa ikiwa ni mzunguko wa nne. Mbeya City wataikaribisha Azam FC kwenye mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Azam FC imetoka kulazimisha sare ya kufungana mabao 2-2 dhidi ya Yanga inakaribishwa na Mbeya City ambayo imecheza mechi tatu. Mchezo wake wa mwisho…
UONGOZI wa Yanga leo Septemba 12,2022 umeingia makubaliano na GSM kwa kusaini mikataba miwili ya miaka mitano ambayo itawafanya wavune zaidi ya bilioni 10. Rais wa Yanga, Injinia Hersi Said amebainisha kuwa sababu kubwa ya kuinga makubaliano hayo ni utekelezaji wa sera yake ambayo aliingia nayo wakati wa uchaguzi iliyokuwa inalenga kuimarisha nguvu ya uchumi….
AHMED Ally, Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ndani ya kikosi cha Simba ameweka wazi kuwa wachezaji wamefanya kazi kubwa kimataifa jambo ambalo limekuwa ni heshima kwao kwa kupata ushindi mbele ya Big Bullets mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika wakiwa ugenini
RELLIATS Lusajo ni namba moja kwa utupiaji Bongo akiwa ametupia mabao manne na bao lake la nne aliwatungua Ruvu Shooting, mchezo uliochezwa Uwanjawa Majaliwa. Kwenye mchezo huo ambao ni wa kwanza kwa Namungo kucheza Uwanja wa Majaliwa msimu wa 2022/23 kutokana na kufanyiwa marekebisho walijitokeza mashabiki wengi na burudani ilikuwa kubwa. Bao pekee la Lusajo…
KOCHA Mkuu wa Simba Juma Mgunda amebainisha wazi kuhusu suala la vyeti vyake vya kazi