MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Ijumaa
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Ijumaa
“HAYA mafanikio tuliyoyapata SportPesa kwa kipindi cha miaka mitano tuliyoyaanza Mei 9, 2017, tumepanga kuyaendeleza zaidi ya hapa. “Kikubwa tunataka kuona tunaendelea kuongoza hapa nchini katika uendeshaji kwa kuanzia mifumo mbalimbali ikiwemo kuweka uwazi kwa washindi na kisasa kabisa kutoka 20% hadi kufikia 40%. “Tunataka akifikiria kucheza ubashiri, basi afikirie kucheza na SportPesa na sio…
PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kwenye mchezo wake dhidi ya Kagera Sugar kipindi cha pili aliamua kwenda na mfumo tofauti kwa kuwa walipata ushindi wa mapema. Mei 11, Uwanja wa Mkapa, Simba iliweza kushinda mabao 2-0 dhidi ya Kagera Sugar na mabao yalitupiwa na Kibu Dennis dk ya 14 na John Bocco…
PEP Guardiola,Kocha Mkuu wa Manchester City amesema kuwa ni lazima nyota wake Kevin De Bruyne,(KDB) awe kwenye furaha kubwa kutokana na kutumia uwezo wake kufunga mabao kila anapopata nafasi. Kevin De Bruyne alitupia mabao 4 mbele ya Wolves wakati timu hiyo ikishinda mabao 5-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu England na kuweza kusepa na pointi…
HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wakati uliopo kwa sasa ni mashabaki kuendelea kuwa bega kwa bega na timu hiyo na kuacha kujadili suala la mchezaji wao Fiston Mayele kukosa penalti mbele ya Tanzania Prisons kwa kuwa wanaamini kwamba ni jambo la kawaida kutokea kwenye mchezo. Ameweka wazi kwamba Mayele ni mpigaji mzuri…
UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa umekuwa na msimu mbaya ndani ya 2021/22 kutokana na kushindwa kupata matokeo wanayohitaji kwenye mechi zake. Chini ya Kocha Mkuu, Abdi Hamid Moallin juzi ikiwa Uwanja wa Sokoine ubao ulisoma Mbeya City 2-1 Azam FC na kuwafanya wayeyushe pointi tatu mazima. Msemaji wa Azam FC, Zakaria Thabit amesema…
BERNARD Morrison kiungo wa kikosi cha Simba anatajwa kuwa kwenye hesabu za kurejea ndani ya kikosi cha Yanga ambacho alicheza hapo kabla ya kujiunga na mabingwa hao watetezi. Morrison kwa hivi karibuni amekuwa nje ya uwanja kwa muda huku Kocha Mkuu, Pablo Franco akibainisha kwamba ambacho kinamuweka nje nyota huyo ni majeruhi. Mkataba wake unatarajia…
IMEELEZWA kuwa mshambuliaji wa kikosi cha AS Roma, Tammy Abraham yupo kwenye hesabu za kutua ndani ya kikosi cha Arsenal kinachoshiriki Ligi Kuu England huku bosi wake akiweka wazi kwamba hadhani kama anaweza kurudi huko. Roma ilimsajili Tammy msimu uliopita akitokea Chelsea na ilikuwa ni baada ya Kocha Mkuu Jose Mourinho kujiunga na timu hiyo….
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Alhamisi
Wikiendi yako inaenda kuwa namna gani? Naamini umeshandaa majamvi yako ya faida, na ninakukumbusha mitanange muhimu inayoweza kukupa pesa wiki hii pamoja na machaguo mapya ya Meridianbet kwenye Ligi Ndogo. Wikiendi hii Eintracht Frankfurt anavaana na Rangers kwenye Fainali ya EUROPA, wakati Chelsea pia akijiandaa kukutana na Liverpool kwenye Fainali Kombe la FA. Unaweza kuamua…
LEO Mei 11,2022 mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba wamelipa kisasi cha kutunguliwa mbele ya Kagera Sugar kwenye mchezo wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Kaitaba. Ushindi wa mabao 2-0 ambao wameupata leo wamelipa kisasi cha mzunguko wa kwanza baada ya Hamiss Kiza kuweza kumtungua bao 1-0 Aishi Manula walipokutana. Leo wamekutana kwenye mzunguko wa…
STAA wa Klabu ya Geita Gold FC, George Mpole amesema kuwa siri iliyopo nyuma ya uwezo wake mkubwa wa kufunga kwenye ligi msimu huu ni ubora wa washambuliaji na wachezaji wakigeni ambao wamekuwa wakitesa kwenye ligi ya Tanzania. Mpole alisema, wachezaji hao wamekuwa wakimpa chachu ya kuendelea kupambana zaidi akiwa uwanjani ili kuweza kupambania nao…
BAADA ya mashabiki wa Yanga kuja juu kupinga mabadiliko ya kumtoa Salum Aboubakari ‘Sure Boy’ na kuingia Heritier Makambo, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Mtunisia Nasreddine Nabi ameibuka na kutaja sababu ya kumtoa nyota huyo. Tukio hilo la aina yake lilitokea mara baada ya Nabi kufanya mabadiliko hayo akitafuta ushindi wakati timu yake ilipovaana dhidi…
MARA baada ya kupata suluhu katika michezo mitatu mfululizo kwenye ligi kuu, benchi la ufundi la timu hiyo, limesema kuwa kwa sasa inatosha na litapambana kuhakikisha kuwa timu hiyo inapata ushindi katika michezo inayofuata na kuendeleza matumaini ya ubingwa msimu huu. Yanga imeshindwa kupata ushindi wala kufunga bao katika michezo mitatu iliyopita mfululizo dhidi ya…
BEKI wa kati wa Simba raia wa Kenya, Joash Achieng Onyango, amekubali kuongeza mkataba wa kuendelea kukipiga ndani ya timu hiyo. Hiyo ikiwa ni siku chache tangu tetesi zizagae za beki huyo tegemeo kunako Simba kugomea mazungumzo ya awali kati yake na uongozi wa timu hiyo. Onyango ni kati ya wachezaji wanaomaliza mikataba katika kikosi…