YANGA YATUMA UJUMBE HUU BAADA YA PABLO KUCHIMBISHWA
BAADA ya Klabu ya Simba kutangaza kuvunja mkataba na kocha wake mkuu, Pablo Franco, Raia wa Hispania, Ofisa Habari wa Klabu ya Yanga, Haji Manara amesema kuwa ni moja ya makocha wenye nidhamu. Pablo alisaini dili la miaka miwili kutumika ndani ya Simba na alitua Bongo Novemba 10,2021 na mchezo wake wa kwanza alishinda mabao 3-1…