Saleh

POLISI TANZANIA KUWEKA KAMBI DAR

KUTOKANA na kuwa na malengo ya kuhitaji kumaliza ndani ya nne bora, mabosi wa Polisi Tanzania wanafikiria kuweka kambi Dar ili kuweza kufanya maandalizi kwa mechi zilizobaki.  Ofisa Habari wa Polisi Tanzania, Hassan Juma amesema kuwa watapambana kuwashusha waliopo juu yao kwa kutoka chini hivyo watafanya kazi kubwa kwenye mechi zilizobaki. “Baada ya mchezo wetu…

Read More

ORODHA YA MASTAA 14 WATAKAOPIGWA PANGA YANGA

MASTAA 14 ndani ya kikosi cha Yanga, wapo kwenye hesabu za kufyekwa kwa ajili ya kukiboresha kikosi hicho kuelekea msimu ujao wa 2022/23. Msemaji wa Yanga, Haji Manara, alisema kuwa usajili wa msimu ujao utakuwa ni mkubwa na wenye kuzingatia ripoti ya benchi la ufundi. “Tuna malengo makubwa na tunajua wapi ambapo tulishindwa msimu huu…

Read More

STARS YAWASILI BENINI,YABEBA MATUMAINI

KIKOSI cha timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars jana jioni Alhamisi ya Juni 2 kilikwea pipa kuelekea nchini Benini kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo wa kuwania kufuzu Afcon 2023 dhidi ya Niger unaotarajiwa kuchezwa kesho Juni 4. Leo Juni 3 tayari kimewasili salama Benin ambapo mchezo huo utachezwa. Benchi la ufundi…

Read More

SIMBA NA YANGA ZASHINDANA KUCHANGA MKWANJA

WATANI wa jadi Yanga na Simba kupitia Azam TV wamefungua kampeni ya NANI ZAIDI ambayo itakuwa inawahusisha mashababiki wa timu hizo mbili ambao watakuwa wanashindana kuchangia pesa kwenye timu zao. Watachangia pesa hizo kupitia mitandao ya simu ikiwa ni Tigo, Airtel na Vodacom kisha baadaye mshindi atachaguliwa na kutangazwa. Mtendaji Mkuu wa Simba,(CEO), Barbra Gonzalez…

Read More

SIMBA YAFUNGUKIA KUHUSU KUMSAJILI SAIDO WA YANGA

BAADA tetesi nyingi kuzagaa za kiungo Mrundi, Saidi Ntibanzokiza ‘Saido’ kutua Simba, uongozi wa timu hiyo umeibuka na kutamka hauna mpango wa kumsajili. Hiyo ikiwa ni siku chache tangu Yanga itangaze kutomuongezea mkataba kiungo uliomalizika Juni 30, mwaka huu. Mmoja wa mabosi wa Simba, amesema kuwa, ngumu kwao kumsajili mchezaji ambaye ameachwa na timu yake…

Read More

SINGIDA BIG STARS WAFUNGUKIA USAJILI WA BEKI SIMBA

UONGOZI wa Singida Big Stars imeweka wazi kuwa unatambua ubora wa beki wa Simba, Pascal Wawa ila haina mpango wa kumsajili kwa muda huu. Timu hiyo ambayo ilikuwa inaitwa DTB ilipokuwa inashiriki Championship inatajwa kuwa katika mazungumzo na Wawa ambaye mkataba wake unakaribia kuisha msimu utakapomeguka.  Mtendaji Mkuu wa Singida Big Stars,Muhibu Kanu amesema kuwa…

Read More

MASAU BWIRE:TUPO KWENYE NAFASI MBAYA

OFISA Habari wa Ruvu Shooting, Masau Bwire ameweka wazi kwamba wapo kwenye nafasi mbaya katika ligi jambo ambalo haliwaridhishi kuwa hapo walipo kwa sasa. Kwenye msimamo Ruvu Shooting ipo nafasi ya 13 ikiwa na pointi 28 baada ya kucheza mechi 26 msimu huu huku safu yake ya ushambuliaji ikiwa imefunga mabao 24.  Bwire amesema kuwa…

Read More

KUMBE!CHAMA HAKUTAKIWA KUSAJILIWA SIMBA

MWAMBA wa Lusaka, Clatous Chama hakutakiwa kusajiliwa ndani ya kikosi cha Simba msimu huu wa 2021/22 na badala yake alitakiwa kusajiliwa mshambuliaji wa kazi ambaye angetatua tatizo la ubutu wa ushambuliaji. Kiongozi mmoja wa Simba ambaye yupo ndani ya kamati inayofanya masuala ya usajili ameeleza kuwa ni mapendekezo yaliyofanywa na mtu mmoja pekee ambaye alitaka…

Read More

AZIZ KI ATAJWA KUINGIA RADA ZA YANGA

 IMEELEZWA kuwa Yanga ipo kwenye mpango wa kuinsa saini ya kiungo mshambuliaji wa ASEC Mimosas Aziz Ki ili aweze kuongeza nguvu kwa msimu ujao wa 2022/23. Nyota huyo alikuwa anapigiwa hesabu pia na Simba ambayo kwa sasa ipo chini ya Kaimu Kocha Mkuu, Seleman Matola baada ya Pablo Franco kuchimbishwa ndani ya kikosi hicho. Ni…

Read More

MORRISON AGOMEA KURUDI SIMBA,YANGA YATAJWA

BERNARD Morrison kiungo mshambuliaji wa Simba amegomea kurudi ndani ya timu hiyo kwa kile kinachoelezwa kuwa kutokuwa na maelewano mazuri na moja ya viongozi wenye maamuzi makubwa. Nyota huyo ambaye alisimamishwa kwa muda na mabosi wa Simba kwa kile ambacho kilieleza kwamba anashughulikia matatizo ya kifamilia mkataba wake unameguka mwisho wa msimu huu. Na muda…

Read More

TIMU YA WANAWAKE KILIMANJARO KESHO INAANZA KAZI

TIMU ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Queens’kesho inatarajia kutupa kete yake ya kwanza mbele ya Sudan Kusini. Ni kwenye mchezo wa mashindano ya CECAFA wanawake,ambayo imeanza kutimua vumbi leo Juni,Mosi 2022 nchini Uganda. Pia Waamuzi wa Tanzania Florentina Zablon, Janeth Balama, Tatu Nuru nao pia wapo kwenye orodha ya waamuzi ambao watachezesha…

Read More

JEMBE HILI LA KAZI NYIA NYEUPE KUTUA SIMBA

IMEFAHAMIKA kuwa, uongozi wa Yanga umeachana na mipango ya kumsajili kiungo mshambuliaji wa Zanaco, Mzambia, Moses Phiri na kumuachia kwenda Simba. Awali Yanga ilikuwa katika mipango ya kumsajili kiungo huyo katika kukiimarisha kikosi chao kwa ajili ya michuano ya kimataifa watakayoshiriki msimu ujao. Yanga imeanza kukiboresha kikosi chao kwa ajili ya msimu ujao kwa kuwaongezea…

Read More