POLISI TANZANIA KUWEKA KAMBI DAR
KUTOKANA na kuwa na malengo ya kuhitaji kumaliza ndani ya nne bora, mabosi wa Polisi Tanzania wanafikiria kuweka kambi Dar ili kuweza kufanya maandalizi kwa mechi zilizobaki. Ofisa Habari wa Polisi Tanzania, Hassan Juma amesema kuwa watapambana kuwashusha waliopo juu yao kwa kutoka chini hivyo watafanya kazi kubwa kwenye mechi zilizobaki. “Baada ya mchezo wetu…