YANGA YAPIGA 8-0 FRIENDS RANGERS
KIKOSI cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi jana kiliibuka na ushindi wa mabao 8-0 Friends Rangers katika mchezo wa kirafiki. Mabao ya Yanga yalifungwa na kiungo Dennis Nkane ambaye alitupia kamba mbili, Fiston Mayele alitupia kambani mara moja mzee wa kuwajaza Heritier Makambo yeye alitupia kamba mbili. Mshambuliaji chipukizi wa timu hiyo Yusuph…