Saleh

MAKOCHA 100 WAOMBA KAZI SIMBA

INATAJWA kwamba makocha zaidi ya 100 wametuma CV zao kwa ajili ya kuoma dili la kuifundisha Klabu ya Simba. Simba kwa sasa ipo chini ya Kaimu Kocha, Seleman Matola ambaye anafanya kazi ya kusimamia mipango ya timu hiyo. Alikuwa ni Pablo Franco ambaye amefutwa kazi Mei 31 kutokana na kushindwa kutimiza malengo ya Simba. Habari…

Read More

BANDA AINGIA ANGA ZA YANGA

 UONGOZI wa Yanga baada ya kuona uwezekano mdogo wa kumpata mshambuliaji Moses Phiri, sasa umehamia kwa mshambuliaji Ricky Banda mwenye uraia wa Zambia anayekipiga Red Arrows. Hapo awali Yanga ilikuwa ikihusishwa kwa karibu katika usajili wa mshambuliaji wa Zesco, Moses Phiri ambaye kwa sasa ni wazi ana asilimia kubwa ya kujiunga na Simba. Katika suala…

Read More

SADIO MANE APANDIWA DAU TENA NA BAYERN MUNICH

BAYERN Munich wanajiandaa kuwasilisha ofa kwa ajili ya kumpata winga Sadio Mane ambaye anakipiga ndani ya Liverpool inayoshiriki Ligi Kuu England. Ni zaidi ya pauni milioni 30 zimetengwa na Bayern Munich kwa ajili ya kumpata mchezaji huyo raia wa Senegal ambaye anahitaji kuondoka hapo. Dau la kwanza lilikuwa pauni milioni 30 mabosi wa Liverpool waliligomea…

Read More

ZLATAN BADO YUYUPO AC MILAN

NYOTA wa Klabu ya AC Milan,Zlatan Ibrahimovic anatarajiwa kuendelea kutumika ndani ya kikosi hicho kwa msimu mwingine tena kwa mujibu wa taarifa. Nyota huyo mwenye miaka 40 alifanyiwa upasuaji wa goti Mei 25 mwaka huu na anatarajiwa kukaa nje ya uwanja kwa muda wa miezi sita. Staa huyo msimu wa 2021/22 licha ya majeraha ya…

Read More

NAMNA CAF WALIVYOWEKA ZUIO KOCHA MPYA SIMBA

IMEELEZWA kuwa Rais wa Heshima ya Klabu ya Simba, Mohammed Dewji ‘Mo’ amezuia mipango ya kumleta Kocha Mkuu wa APR ya nchini Rwanda, Mohammed Adil Erradi kutokana kutokidhi vigezo vya Shirikisho la Soka Afrika (CAF). Erradi ni kati ya makocha waliokuwa wakipewa nafasi kubwa ya kuja kuchukua nafasi ya Mhispania, Pablo Franco aliyesitishiwa mkataba wa…

Read More

BIASHARA UNITED YAPATA KOCHA MPYA

UONGOZI wa Biashara United umetangaza benchi jipya la ufundi kwa ajili ya kumaliza mechi nne za msimu 2021/22.  Ni Vivier Bahati ambaye alikuwa kocha mkuu, msaidizi wake Daddy Gilbert na meneja Frank Wabale hawa wote wamefutwa kazi. Kocha Mkuu ni Khalid Adam atakuwa kocha Mkuu wa Biashara United ambayo inapambana kushuka daraja kwa sasa. Kwa…

Read More

TANZANIA YAPOTEZA MBELE YA ALGERIA

TIMU ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars inayonolewa na Kocha Mkuu,Kim Poulsen leo Juni 8,2022  imeambulia kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa Timu ya Taifa ya Algeria katika mechi ya pili ya kufuzu kushiriki fainali za mataifa ya Afrika AFCON zinazotarajiwa kufanyika 2023 nchini Ivory Coast. Ndani ya dk 40 Stars iliweza kujilinda lakini makosa…

Read More

BAYERN WAZIDI KUMKOMALIA MANE

BAYERN Munich wanajiandaa kuwasilisha ofa ya pili ya dau la pauni milioni 30, kwa ajili ya kukamilisha usajili wa staa wa kimataifa wa Liverpool raia wa Senegal, Sadio Mane mara baada ya Liverpool kukataa ofa ya kwanza na sasa wanataka pauni milioni 42.5. Sportsmail limeripoti kuwa Liverpool ilitupilia mbali ofa ya kwanza ya Bayern ya…

Read More

UBAGUZI WA RANGI WAITESA ENGLAND

KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya England, Gareth Southgate amekiri kuwa kwenye mtego wa kupata ugumu wa kuchagua wapigaji wa penalti kwenye kikosi chake kutokana na hofu kubwa ya baadhi ya nyota wa kikosi hicho kukumbana na masuala ya ubaguzi wa rangi. Bukayo Saka, Marcus Rashford na Jadon Sancho wote walifanyiwa ubaguzi mbaya mtandaoni…

Read More

MAN CITY KUMNG’OA SAKA ARSENAL

Manchester, England MABINGWA wa Ligi Kuu England, Manchester City wametajwa kuwa wanafuatilia kwa karibu mustakabali wa staa wa Arsenal, Bukayo Saka katika kipindi cha miaka miwili ya mwisho ya mkataba wake ili kuona uwezekano wa kumng’oa mchezaji huyo kutoka Emirates. Inaelezwa kuwa City pamoja na wapinzani wao wakubwa Liverpool wote wanamtazama staa huyo wa Arsenal…

Read More

SAIDO: SIKUTAKA KUONDOKA YANGA

MARA baada ya Yanga kutangaza kuachana rasmi na Said Ntibazonkiza ‘Saido’, mashabiki na wadau wengi wa soka walishitushwa na taarifa hiyo wengine hawakuamini kabisa kilichotokea. Hii inatokana na jinsi gani Saido alikuwa na mchongo mkubwa ndani ya timu hii ndio iliwafanya watu wawe wagumu kuamini. Mashabiki wa Yanga na wengine ambao sio wa timu hiyo…

Read More

WAKALI WA KUTUPIA BONGO

NDANI ya Ligi Kuu Bara kuna wakali wa kucheka na nyavu ambao wanatimiza majukumu yao katika timu zao. Ni George Mpole mali ya Geita Gold huyu ni mzawa mwenye mabao mengi kwa msimu huu akiwa ametoa pia pasi tatu za mabao. Mpole kahusika kwenye mabao 17 kati ya 26 ambayo yamefungwa na timu hiyo inayonolewa…

Read More

PLATIN NA BLATTER KESI YAO INAUNGURUMA

SEPP Blatter na Michel Platin ni majina makubwa katika soka ambao kwa pamoja leo wanaingia mahakamani kuendelea kujibu mashtaka ya kujihusisha na rushwa enzi za utawala wao.  Blatter na Platin wanashitakiwa kwa kosa la kuhamisha zaidi ya kiasi cha Euro milioni 1.6 mwaka 2011 kinyume na utaratibu kutoka akaunti ya benki ya Blatter kwenda Platin…

Read More

MANCHESTER CITY WAMTAKA SAKA

IMEELEZWA kuwa mabingwa wa Ligi Kuu England, Manchester City wanahitaji saini ya staa wa Arsenal, Bukayo Saka katka kipindi cha miaka miwili ya mwisho ya mkataba wake. City wanahitaji kumpata nyota huyo ili aweze kuondoka ndani ya kikosi cha Arsenal kinachonolewa na Kocha Mkuu, Mikel Arteta. Inaelezwa kuwa City pamoja na wapinzani wao wakubwa Liverpool…

Read More

YANGA YAPIGA 8-0 FRIENDS RANGERS

KIKOSI cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi jana kiliibuka na ushindi wa mabao 8-0 Friends Rangers katika mchezo wa kirafiki. Mabao ya Yanga yalifungwa na kiungo Dennis Nkane ambaye alitupia kamba mbili, Fiston Mayele alitupia kambani mara moja mzee wa kuwajaza Heritier Makambo yeye alitupia kamba mbili. Mshambuliaji chipukizi wa timu hiyo Yusuph…

Read More