Esperance Waishtua Afrika, Wawasukumiza Nje Al Ahly Ligi Ya Mabingwa
Mabingwa mara 12 wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Al Ahly SC, wameaga rasmi michuano ya CAF Champions League baada ya kupokea kichapo cha mabao 3-2 kutoka kwa Espérance de Tunis katika mchezo wa robo fainali, na hivyo kutolewa kwa jumla ya mabao 4-2. Katika mchezo huo uliokuwa na ushindani mkubwa, Al Ahly walianza vyema kwa…