Saleh

CAF KUFANYA MKUTANO WAKE ARUSHA

KESHO Agosti 10,2022 mkutano mkuu wa CAF unatarajiwa kufanyika Arusha,mahali ambapo upo mlima Kilimanjaro ambao ni namba moja kwa urefu Afrika. Mkutano huo ni wa 44 unatarajiwa kufanyika mapema asubuhi ya kesho hapo Arusha. Wiki hii Arusha itajumuisha nchi 51 ambazo zitashiriki mkutano huo wa 44 ambao ni mkubwa na utahudhuriwa na viongozi mbalimbali. Taarifa…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA YANGA MSIMU WA 2022/23

HII hapa orodha ya wachezaji wa kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu,Nasreddine Nabi pamoja na jezi namba zao zipo namna hii:-  Djigui Diarra -39 Bakari Mwamnyeto-30 Aboutwalib Mshery-28 Eric Johora-38 Kibwana Shomari-15 David Bryson-22 Abdalah Shaibu-23 Ibrahim Bacca-2 Dickson Job-5 Zawad Mauya-20 Dennis Nkane-16 Yusuph Athuman-14 Crispin Ngushi-30 Khalid Aucho-8 Djuma Shaban-21 Salim Aboubhakari-18…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA SIMBA MSIMU WA 2022/23

KIKOSI cha Simba msimu wa 2022/23 ambacho kilitambulishwa Agosti 8/2022 kwenye kilele cha Simba Day ambapo walicheza mchezo wa kirafiki dhidi ya St George na Simba ilishinda mabao 2-0. Ally Salim-1 Beno Kakolanya-30 Aishi Manula-28 Israel Mwenda-5 Shomari Kapombe-12 Gadiel Michael-2 Mhamed Hussein-15 Nassoro Kapama-35 Erasto Nyoni-18 Kennedy Juma-26 Joash Onyango-16 Mohamed Ouattra-33 Henock Inonga-29…

Read More

AZAM WAREJEA BONGO NA LEO WANAANZA KAZI

 BAADA ya kikosi cha Azam FC kurejea Agosti 8 kutoka Misri ambapo kilikuwa kimeweka kambi,leo Agosti 9 wachezaji wa timu hiyo wanatarajiwa kuendelea na mazoezi kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa 2022/23. Azam FC ilikuwa ni timu ya pili kutoka Tanzania kuweka kambi nchini Misri kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa 2022/23….

Read More

NABI APIGA HESABU ZA NGAO YA JAMII DHIDI YA SIMBA

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa kupoteza mchezo wa kimataifa dhidi ya Vipers SC ni njia kwake kuweza kushinda Ngao ya Jamii dhidi ya Simba.  Agosti 6,2022 Yanga ilipoteza kwa kufungwa mabao 2-0 dhidi ya Vipers ina kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Simba,Agosti 13, Uwanja wa Mkapa. Mchezo huo ulikuwa ni wa…

Read More

KWENYE JUMUIYA YA MADOLA TANZANIA IMEPATA MEDALI

TANZANIA imehitimisha ushiriki wake katika Michezo ya 22 ya Jumuiya ya Madola  jijini Birmingham, Uingereza, ikiwa katika nafasi ya 28 baada ya mategemeo yake manne ya mwisho kushindwa kuambulia chochote. Kwanza alianza bondia Yusuf Lucasi Changalawe kwa kupambana na  Sean Lazzerini wa Scotland katika nusu finali ya kwanza ya uzani wa 75kg-80kg (Light Heavyweight )…

Read More

FT:SIMBA 2-0 ST GEORGE,UWANJA WA MKAPA

SIMBA imeshinda mabao 2-0 dhidi ya St George kwenye mchezo wa kirafiki uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Ni mchezo maalumu kwenye kilele cha Wiki ya Simba ikiwa ni mchezo wa kwanza kwa Zoran Maki ambaye ni raia wa Serbia. Mabao ya Simba yamefungwa na mzawa Kibu Dennis na Nelson Okwa ambaye aliingia kipindi cha pili akitokea…

Read More

MAPUMZIKO:SIMBA 1-0 ST GEORGE

UWANJA wa Mkapa, mchezo wa kirafiki ni mapumziko, Simba 1-0 Saint George SC mtupiaji ni Kibu Denis. Mzawa huyo ametupia bao hilo kwa shuti kali akitumia mguu wake wa kulia lililomshinda mlinda mlango wa St.George. Leo ni kielel cha Simba Day ambapo kuna burudani zinaendelea Uwanja wa Mkapa. Pia mastaa wa Simba ikiwa ni pamoja…

Read More

MAANDALIZI MUHIMU KWA SERENGETI GIRLS

KUWEZA kufuzu Kombe la Dunia ni hatua moja muhimu na kuweza kufanya maandalizi mazurini hatua ambayo inahitajika kuweza kufanyika kwa sasa. Tunaona kwamba Serengeti Girls ambayo ni Timu ya Taifa ya Wasichana chini ya miaka 17 ina kibarua cha kufanya kimataifa. Kombe la Dunia lipo njiani ambapo inatarajiwa kuweza kufanyika nchini India kuanzia Oktoba 11-30…

Read More

HAJI MANARA NA INJINIA WAITWA KWENYE KAMATI YA MAADILI

KITENDO cha kuibuka Uwanja wa Mkapa,Agosti 6,2022 na kuwatambulisha wachezaji, Haji Manara aliyekuwa msemaji wa Yanga akiwa kifungoni kimemrejesha kwa mara nyingine Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF). Ikumbukwa kwamba Manara alifungiwa miaka miwili na hakupaswa kushughulika na masuala ya mpira kwa muda huo.  Pia Rais wa Yanga, Injinia Hersi Said naye…

Read More

JONAS MKUDE NI MKALI WAO SIMBA,ANASTAHILI PONGEZI KIDOGO

KWENYE tamasha la leo la Simba Day ambalo linatarajiwa kufanyika Uwanja wa Mkapa kwa mastaa wa Simba kuna Legend mmoja anaitwa Jonas Mkude. Kiungo huyo anastahili heshima kutokana na kudumu ndani ya kikosi hicho kwa muda mrefu akiwa ni mchezaji pekee ambaye amedumu hapo tangu alipopandisha msimu wa 2011/12 kutoka Simba B. Mastaa wengine wote…

Read More

PITSO:YANGA INAHITAJI MUDA KUWA IMARA

KOCHA mwenye uzoefu mkubwa Afrika raia wa Afrika Kusini ambaye aliweza kubwaga manyanga ndani ya Klabu ya Al Ahly ya Misri,Pitso Mosimane amesema kuwa Klabu ya Yanga ina wachezaji bora lakini wanahitaji muda kuwa imara. Pitso alikuwepo kwenye Tamasha la Wiki ya Mwananchi,Agosti 6,2022 alishuhudia Uwanja wa Mkapa ubao ukisoma Yanga 0-2 Vipers kwenye mchezo…

Read More

GEITA GOLD WASHUSHA MTU MWINGINE WA KAZI

 WACHIMBA madini,Geita Gold hawatanii kwa kuwa wana jambo lao na leo Agosti 7,2022 wameweza kumtambulisha nyota mpya katika kikosi hicho. Timu hiyo inakwenda kushiriki mashindano ya kimataifa Afrika baada ya kumaliza ligi ikiwa nafasi ya nne hivyo inajipanga kuwa ya kipekee. Ni beki Yahya Mbegu leo ametambulishwa kuwa mchimba madini mapya baada ya Agosti 4…

Read More